Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Bunge

  • Diplomasia ya Russia; kustawisha uhusiano na Iran

    Diplomasia ya Russia; kustawisha uhusiano na Iran

    Nov 15, 2016 02:50

    Katika kipindi hiki, Tehran imekuwa ikifikiwa na ugeni wa viongozi na maafisa wa nchi mbalimbali za Ulaya. Wakati László Kövér, Spika wa bunge la Hungary akiwa bado mjini Tehran kwa mazungumzo na mashauriano na maafisa wa Iran juu ya uhusiano wa mabunge ya nchi mbili Mwenyekiti wa Baraza la Shirikisho la Russia Valentina Ivanovna Matvienko, naye pia amewasili Tehran kwa safari rasmi ya kikazi.

  • Spika wa zamani wa Tanzania afariki dunia, Rais Magufuli atoa mkono wa pole

    Spika wa zamani wa Tanzania afariki dunia, Rais Magufuli atoa mkono wa pole

    Nov 07, 2016 08:03

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania ametoa mkono wa rambirambi kufuatia kifo cha spika wa zamani wa bunge la nchi hiyo, Samuel Sitta aliyefariki dunia usiku wa kuamkia leo nchini Ujerumaini alikokuwa anapatiwa matibabu.

  • Marekani hailipi uzito suala la vita dhidi ya ugaidi

    Marekani hailipi uzito suala la vita dhidi ya ugaidi

    Oct 26, 2016 08:11

    Alauddin Burujerdi Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Sera za Kigeni katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema Marekani hailipatii uzito suala la vita dhidi ya ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • Uchaguzi wa Bunge nchini Somalia waakhirishwa tena

    Uchaguzi wa Bunge nchini Somalia waakhirishwa tena

    Sep 26, 2016 14:13

    Uchaguzi wa Bunge nchini Somalia uliopangwa kufanyika kuanzia tarehe 24 mwezi huu hadi tarehe 10 ya mwezi ujao wa Oktoba umeakhirishwa.

  • Kenya yatathmini kutuma wanajeshi Sudan Kusini

    Kenya yatathmini kutuma wanajeshi Sudan Kusini

    Aug 19, 2016 02:52

    Bunge la Kenya linatazamiwa kujadili hoja ya iwapo serikali ya Nairobi itatuma wanajeshi wa nchi hiyo KDF nchini Sudan Kusini au la, wiki moja baada ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupasisha azimio la kutumwa askari 4,000 zaidi nchini humo.

  • Bunge la Tunisia lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu

    Bunge la Tunisia lapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu

    Jul 31, 2016 07:42

    Bunge la Tunisia limepitisha kwa wingi mkubwa, kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu wa nchi hiyo Habib Essid.

  • Watakaokiuka mapatano ya nyuklia ya Iran watajuta

    Watakaokiuka mapatano ya nyuklia ya Iran watajuta

    Jun 19, 2016 14:43

    Wabunge wa Iran leo wameonya kuwa watakaokiuka mapatano ya nyuklia yaliyofikiwa baina ya Iran na madola sita makubwa duniani watajuta.

  • Mbunge wa Uingereza afariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa risasi

    Mbunge wa Uingereza afariki dunia baada ya kujeruhiwa kwa risasi

    Jun 17, 2016 04:27

    Mbunge wa Uingereza Jo Cox amefariki dunia kutokana na majeraha aliyopata baada ya kupigwa risasi jana.

  • Bunge la Syria laanza vikao, lamchagua Spika mwanamke

    Bunge la Syria laanza vikao, lamchagua Spika mwanamke

    Jun 07, 2016 07:30

    Kwa mara ya kwanza kabisa, bunge la Syria limemteua mwanamke kuwa spika mpya wa bunge hilo.

  • Wabunge wa upinzani Afrika Kusini waburutwa nje ya Bunge kwa kuzuia hotuba ya Zuma

    Wabunge wa upinzani Afrika Kusini waburutwa nje ya Bunge kwa kuzuia hotuba ya Zuma

    May 17, 2016 14:37

    Kwa mara nyingine tena, Bunge la Afrika Kusini limegeuka na kuwa ukumbi wa mieleka na malumbano kufuatia hatua ya wabunge wa upinzani kuzusha fujo kwa lengo la kuzuia hotuba ya Rais Jacob Zuma wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS