-
Rais Nkurunziza wa Burundi ameaga dunia kufuatia 'mshtuko wa moyo'
Jun 09, 2020 15:45Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameaga kutokana na kile ambacho kimetajwa ni mshtuko wa moyo.
-
SAUTI, Asasi za kiraia Burundi zawajibu maaskofu waliopinga matokeo ya uchaguzi kwamba; 'wafundishe tu Biblia na waachane kabisa na siasa'
May 28, 2020 17:05Wakati Kanisa Katoliki nchini Burundi likitilia shaka matokeo ya uchaguzi wa rais wa tarehe 20 mwezi huu uliompa ushindi mgombea wa chama tawala CNDD-FDD, mashirika ya kiraia yenye kuiunga mkono serikali yamelijia juu kanisa hilo.
-
Kanisa Katoliki Burundi lasema uchaguzi wa rais uligubikwa na kasoro nyingi
May 28, 2020 07:56Kanisa Katoliki nchini Burundi limetilia shaka matokeo ya uchaguzi wa rais wa Mei 20 uliompa ushindi mgombea wa chama tawala CNDD-FDD.
-
Evariste Ndayishimiye rais mpya wa Burundi + Sauti
May 26, 2020 02:20Tume ya uchaguzi ya Burundi, jana Jumapili ilimtangaza Evariste Ndayishimie kuwa rais mpya wa nchi hiyo huku ishara zote zikiwa zimeonesha tangu awali kabisa kwamba mgombea huyo wa chama tawala angelitangazwa mshindi katika uchaguzi wa rais.
-
Polisi ya Burundi yawakamata mamia ya waangalizi wa uchaguzi
May 23, 2020 08:02Polisi nchini Burundi imewatia mbaroni mamia ya waangalizi wa uchaguzi wa upinzani, waliokuwa wakifuatilia uchaguzi mkuu uliofanyika siku chache zilizopita.
-
SAUTI, Uchaguzi mkuu wa Jumatano ijayo nchini Burundi maandalizi yamekamilika, kusimamiwa na mabalozi
May 18, 2020 16:59Maandalizi ya uchaguzi mkuu nchini Burundi utakaofanyika siku ya Jumatano ya wiki hii yamekamilika.
-
Burundi yawatimua nchini humo maafisa wa WHO wakati huu wa corona
May 15, 2020 00:28Serikali ya Burundi imemfukuza nchini humo Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini humo na maafisa watatu wa timu yake waliokuwa wakifuatilia mwenendo wa mlipuko wa ugonjwa wa Covid-19 (corona) katika nchi hiyo.
-
SAUTI, Burundi yasema kuwa, wasimamisi wa uchaguzi watakaoingia nchi hiyo watawekwa kwanza karantini kwa siku 14
May 11, 2020 14:49Uchaguzi wa urais, bunge na madiwani wa tarehe 20 ya mwezi huu nchini Burundi huenda utafanyika bila kuwepo waangalizi kutoka nje ya nchi.
-
SAUTI, Kampeni za uchaguzi wa rais wa kumtafuta mrithi wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi zimezinduliwa rasmi Jumatatu ya leo
Apr 27, 2020 16:36Kampeni za uchaguzi mkuu wa wa rais, bunge na madiwani nchini Burundi utakofanyika tarehe 20 mwezi ujao, zimezinduliwa rasmi Jumatatuu ya leo kwa shamrashamra.
-
Kampeni za uchaguzi mkuu kuanza kesho Jumatatu nchini Burundi
Apr 26, 2020 11:35Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametia saini rasmi amri ya kuanza kampeni za uchaguzi mkuu wa rais bunge na madiwani nchini humo. Kampeni hizo zitaanza kesho Jumatatu na kuendelea hadi Jumapili ya tarehe 17 mwezi ujao wa Mei.