Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • SAUTI, Kampeni za uchaguzi wa rais wa kumtafuta mrithi wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi zimezinduliwa rasmi Jumatatu ya leo

    SAUTI, Kampeni za uchaguzi wa rais wa kumtafuta mrithi wa Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi zimezinduliwa rasmi Jumatatu ya leo

    Apr 27, 2020 12:06

    Kampeni za uchaguzi mkuu wa wa rais, bunge na madiwani nchini Burundi utakofanyika tarehe 20 mwezi ujao, zimezinduliwa rasmi Jumatatuu ya leo kwa shamrashamra.

  • Kampeni za uchaguzi mkuu kuanza kesho Jumatatu nchini Burundi

    Kampeni za uchaguzi mkuu kuanza kesho Jumatatu nchini Burundi

    Apr 26, 2020 07:05

    Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi ametia saini rasmi amri ya kuanza kampeni za uchaguzi mkuu wa rais bunge na madiwani nchini humo. Kampeni hizo zitaanza kesho Jumatatu na kuendelea hadi Jumapili ya tarehe 17 mwezi ujao wa Mei.

  • SAUTI, Wanachama wa Uprona nchini Burundi wamkataa mgombea wao, wasema bora wamchague mgombea wa chama tawala

    SAUTI, Wanachama wa Uprona nchini Burundi wamkataa mgombea wao, wasema bora wamchague mgombea wa chama tawala

    Apr 20, 2020 12:03

    Huku ukiwa umesalia muda wa wiki moja kabla ya kuzinduliwa kampeni ya uchaguzi wa urais nchini Burundi, yameibuka malumbano ndani ya chama cha Uprona kilichowahi kuiongoza nchi hiyo tangu mwaka 1962 hadi 1993.

  • Virusi vya Corona vyaendelea kusambaa kwa kasi barani Afrika

    Virusi vya Corona vyaendelea kusambaa kwa kasi barani Afrika

    Mar 17, 2020 04:27

    Somalia, Benin na Liberia ni nchi za hivi karibuni kabisa kuripoti kesi za ugonjwa wa Corona (Covid-19) barani Afrika, huku virusi hivyo vikiendelea kusambaa kwa kasi katika nchi za bara hilo.

  • Wagombea 6 wa urais nchini Burundi waidhinishwa, 4 watemwa

    Wagombea 6 wa urais nchini Burundi waidhinishwa, 4 watemwa

    Mar 11, 2020 04:14

    Tume ya Uchaguzi nchini Burundi (CENI) imeidhinisha majina ya wagombea sita wa uchaguzi wa urais unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu.

  • Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi

    Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi

    Feb 26, 2020 10:14

    Serikali ya Burundi imekiri kuua watu 22 ndani ya siku chache zilizopita, kwa tuhuma za kufanya 'makosa' yanayohusishwa na uchaguzi mkuu ujao.

  • SAUTI, Tume ya Kuandaa Uchaguzi nchini Burundi CENI yafungua milango kupokea fomu za wagombe

    SAUTI, Tume ya Kuandaa Uchaguzi nchini Burundi CENI yafungua milango kupokea fomu za wagombe

    Feb 24, 2020 11:19

    Tume ya Kuandaa Uchaguzi nchini Burundi CENI imetangaza utaratibu unaotakiwa kufuatwa na wagombea uchaguzi katika nafasi tofauti.

  • Tume ya Uchaguzi Burundi CENI yakutana na wapiga kura wa jamii ya mbilikimo + Sauti

    Tume ya Uchaguzi Burundi CENI yakutana na wapiga kura wa jamii ya mbilikimo + Sauti

    Feb 18, 2020 07:52

    Tume ya Uchaguzi Burundi CENI, imekutana na wajumbe wa mashirika ya kiraia ya watu wajamii ya mbilikimo ili kuwahamasisha wateue wagombea watakaowawakilisha katika uchaguzi wa bunge na seneti. Ceni imewaongezea mbilikimo hao muda wa siku 5 kwenye kalenda ya siku zilopangwa za kuhakikisha zoezi hilo limekamilika. Mwandishi wetu Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Burujumbura Burundi

  • Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais

    Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais

    Feb 17, 2020 04:30

    Chama kikuu cha upinzani nchini Burundi kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake katika uchaguzi wa rais wa Mei 20 mwaka huu.

  • Makaburi ya umati yenye maiti 6000 yagunduliwa Burundi

    Makaburi ya umati yenye maiti 6000 yagunduliwa Burundi

    Feb 16, 2020 03:25

    Kamisheni ya Ukweli na Maridhiano ya Burundi imetangaza habari ya kugundua makaburi sita ya umati yenye maiti elfu sita katika mkoa wa Karusi, mashariki mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS