Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • SAUTI, EAC: Tutatuma waangalizi wa uchaguzi nchini Burundi, pia yaipongeza serikali ya Bujumbura kwa maandalizi mazuri

    SAUTI, EAC: Tutatuma waangalizi wa uchaguzi nchini Burundi, pia yaipongeza serikali ya Bujumbura kwa maandalizi mazuri

    Feb 11, 2020 04:07

    Jumuia ya Afrika imepanga kuwatuma waangalizi wake kwa ajili ya kufuatilia zoezi la uchaguzi ujao nchini Burundi.

  • SAUTI, Majina ya wagombea wanaotaka kumrithi Rais Nkurunziza nchini Burundi, yawekwa wazi

    SAUTI, Majina ya wagombea wanaotaka kumrithi Rais Nkurunziza nchini Burundi, yawekwa wazi

    Feb 03, 2020 12:53

    Wagombea 10 wa kiti cha urais katika uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika tarehe 20 Mei mwaka huu, tayari wamefamika.

  • Chama tawala nchini Burundi chamteua mgombea wa urais

    Chama tawala nchini Burundi chamteua mgombea wa urais

    Jan 26, 2020 09:31

    Chama tawala cha CNDD-FDD nchini Burundi kimemteua Katibu Mkuu wa chama hicho, Evariste Ndayishimiye kuwa mgombea wa kiti cha urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika mwezi Mei mwaka huu.

  • Wakazi wa kaskazini mwa Bujumbura waendelea kuteseka kwa madhara ya mafuriko + Sauti

    Wakazi wa kaskazini mwa Bujumbura waendelea kuteseka kwa madhara ya mafuriko + Sauti

    Jan 07, 2020 05:01

    Waathiriwa wa mafuriko katika baadhi ya maeneo ya kaskazini mwa Bujumbura waliopiga kambi katika madarasa ya shule wametakiwa kuondoka ili kuruhusu sehemu ya pili ya mwaka wa shule kuanza. Hata hivyo raia hao wanalalamika kutokuwa na sehemu ya kwenda. Hali hiyo imepelekea baadhi ya shule katika eneo hilo kuakhirisha kufungua muhula mpya wa masomo. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura…

  • SAUTI, Shirika la Kutetea haki za Wafungwa nchini Burundi NDABARIZA lataka msamaha wa Rais Nkurunziza utekelezwa haraka

    SAUTI, Shirika la Kutetea haki za Wafungwa nchini Burundi NDABARIZA lataka msamaha wa Rais Nkurunziza utekelezwa haraka

    Jan 02, 2020 13:32

    Shirika la Kutetea Haki za Wafungwa nchini Burundi (NDABARIZA), limevitaka vyombo husika vya serikali kutekeleza agizo la Rais Pierre Nkurunziza la kuwaachilia huru wafungwa waliopewa msamaha na rais huyo.

  • Idadi ya waliokufa kutokana na mafuriko Burundi yafika 43, Uganda 22

    Idadi ya waliokufa kutokana na mafuriko Burundi yafika 43, Uganda 22

    Dec 08, 2019 08:40

    Idadi ya watu walipoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi kadhaa za Afrika Mashariki imeongezeka.

  • SAUTI, Wafanyabiashara wa jiji la Bujumbura waitaka serikali iwaonee huruma kutokana na amri ya meya wa mji huo

    SAUTI, Wafanyabiashara wa jiji la Bujumbura waitaka serikali iwaonee huruma kutokana na amri ya meya wa mji huo

    Nov 28, 2019 13:13

    Baada ya Meya wa jiji la Bujumbura Freddy Mbonimpa, kutangaza operesheni ya hatua 10 alizozitaja kama njia yenye lengo la kuinuwa uchumi na kuimarisha usalama mjini hapo, tayari polisia imeanzisha msako wa kuwakamata machinga wanaojishughulisha katika maeneo ambayo hayajaratibiwa kufanyia shughuli hizo.

  • Waziri wa Mambo ya Ndani wa Burundi atembelea eneo aliloshambuliwa na waasi + Sauti

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Burundi atembelea eneo aliloshambuliwa na waasi + Sauti

    Nov 25, 2019 12:34

    Wiki moja baada ya kushambuliwa na watu wenye silaha walotajwa na jeshi la Burundi kwamba walitokea katika nchi jirani ya Rwanda, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Burundi, Pascal Barandagiye, ametembelea tarafa ya Mabayi na kuwataka raia na watawala kuwa makini juu ya suala la usalama wakati huu ambapo imebakia miezi 6 tu kabla ya kufanyika uchaguzi nchini Burundi. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.

  • Burundi: Waasi wa Rwanda ndio wamewaua askari wetu 8 na kuwajeruhi wengine

    Burundi: Waasi wa Rwanda ndio wamewaua askari wetu 8 na kuwajeruhi wengine

    Nov 19, 2019 12:56

    Wizara ya Ulinzi pamoja na duru za kijeshi za Burundi zimetangaza kwamba askari wanane wa nchi hiyo wameuawa katika shambulio lililotokea karibu na mpaka wa Rwanda.

  • Watu 3 wauawa katika shambulio la mtutu wa bunduki Bujumbura, Burundi

    Watu 3 wauawa katika shambulio la mtutu wa bunduki Bujumbura, Burundi

    Nov 02, 2019 09:24

    Watu waliojizatiti kwa silaha huku wakiwa wamevalia magwanda ya jeshi na polisi wameshambulia klabu moja ya burudani na kuua watu watatu katika mji mkuu wa zamani wa Burundi, Bujumbura.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS