Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Wakimbizi wa Burundi waliopo Tanzania kuanza kurejea nyumbani Alhamisi hii

    Wakimbizi wa Burundi waliopo Tanzania kuanza kurejea nyumbani Alhamisi hii

    Oct 01, 2019 13:27

    Burundi leo imetangaza kuwa kundi la kwanza la wakimbizi wa nchi hiyo walioko Tanzania watarejea nyumbani Alhamisi wiki hii. Wakimbizi hao watarejea Burundi kwa umati kama sehemu ya mpango ulioratibiwa na serikali za nchi mbili hizo.

  • SAUTI, Mvutano kati ya Kanisa Katoliki na serikali ya Burundi washtadi, CNDD yahoji iwapo kanisa hilo nalo lina mgombea?

    SAUTI, Mvutano kati ya Kanisa Katoliki na serikali ya Burundi washtadi, CNDD yahoji iwapo kanisa hilo nalo lina mgombea?

    Sep 23, 2019 17:08

    Vutanikuvute kati ya serikali ya Burundi na Kanisa Katoliki imeendelea kushika kasi, huku mashirika yenye mafungamano na serikali yakilikosoa kanisa hilo na kuhoji iwapo linataka kusimika mgombea wake kwenye uchaguzi wa 2020.

  • AU yalaani mauaji ya askari wa Burundi nchini Somalia

    AU yalaani mauaji ya askari wa Burundi nchini Somalia

    Sep 18, 2019 02:39

    Umoja wa Afrika umelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya askari wa kulinda amani wa Burundi waliokuwa wanahudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (Amisom).

  • Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu dhulma na ukandamizaji Burundi

    Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu dhulma na ukandamizaji Burundi

    Sep 05, 2019 07:45

    Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wamesema katika ripoti yao waliyoitoa jana kuwa Burundi iko katika hatari ya kukumbwa na wimbi la ukandamizaji mpya wakati ikikaribia kuingia katika uchaguzi mkuu wa 2020. Taarifa hiyo imetolewa huku mgogoro wa kisiasa ulioigubika Burundi ukisalia bila ya ufumbuzi na nchi hiyo ikiwa na Rais anaendelea kujidhihirisha kuwa ni mtawala wa Kimungu.

  • Safari za meli baina ya Kigoma Tanzania na Bujumbura Burundi zaanza tena baada ya miaka 15 + Sauti

    Safari za meli baina ya Kigoma Tanzania na Bujumbura Burundi zaanza tena baada ya miaka 15 + Sauti

    Aug 30, 2019 16:52

    Njia ya usafiri ya "Central Corridor" imezinduliwa rasmi kwa meli ya kwanza tangu miaka 15 kufika katika bandari ya Bujumbura Burundi kutokea Kigoma Tanzania, baada ya meli hiyo kusafirishwa kwa reli kutoka Dar es Salaam hadi Kigoma. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.

  • Burundi na DRC zahimiza ushirikiano mkubwa zaidi baina yao + Sauti

    Burundi na DRC zahimiza ushirikiano mkubwa zaidi baina yao + Sauti

    Aug 28, 2019 07:01

    Meya wa jiji la Bujumbura na mkuu wa jimbo la kivu kusini mashariki mwa DRC wameafikiana kuimarisha ushirikiano ili kukabiliana na makundi ya watu wenye kubebelea silaha wanao hatarisha usalama mara kwa mara katika nchi hizi 2. Pia kuimarisha vita dhidi ya ugonjwa wa Ebola

  • Burundi yaanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wahudumu wa afya

    Burundi yaanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wahudumu wa afya

    Aug 15, 2019 12:02

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa serikali ya Burundi imeanza kutoa chanjo ya virusi vya ugonjwa hatari wa Ebola kwa wahudumu wa afya hususan wale wanaofanyakazi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • SAUTI, Burundi yaadhimisha Siku ya Ziwa Tanganyika, kwa lengo la kulienzi ziwa hilo

    SAUTI, Burundi yaadhimisha Siku ya Ziwa Tanganyika, kwa lengo la kulienzi ziwa hilo

    Jul 26, 2019 15:11

    Nchi ya Burundi imeadhimisha Siku ya Kitaifa ya Ziwa Tanganyika kwa ajili ya kulienzi ziwa hilo.

  • Burundi yaadhimisha miaka 57 ya Uhuru + Sauti

    Burundi yaadhimisha miaka 57 ya Uhuru + Sauti

    Jul 01, 2019 16:06

    Leo Jumatano tarehe Mosi Julai 2019, Burundi imesherehekea mwaka wa 57 tangu ilipopata uhuru wake kutoka kwa mkoloni wa Ulaya, Ubelgiji. Rais Pierre Nkurunzinza ametumia fursa hiyo kutangaza hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kuondoa michango ya lazima kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.

  • Jumatatu tarehe Mosi Julai 2019

    Jumatatu tarehe Mosi Julai 2019

    Jul 01, 2019 01:32

    Leo ni Jumatatu tarehe 27 Shawwal 1440 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2019.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS