-
HRW: Tanzania inakiuka sheria kuwarejesha kwa nguvu wakimbizi kutoka Burundi
Oct 30, 2019 00:54Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema serikali ya Tanzania imewarejesha kwa nguvu makwao zaidi ya wakimbizi 200 kutoka Burundi.
-
SAUTI, Idadi ya wa wagonjwa wa ukoma inazidi kuongezeka nchini Burundi, wananchi watakiwa kupima afya mapema
Oct 24, 2019 13:27Wagonjwa wa maradhi ya ukoma wametajwa kuongezeka nchini Burundi, licha ya serikali ya nchi hiyo kutokuwa na idadi kamili ya wagonjwa hao.
-
Wakimbizi wa Burundi waliopo Tanzania kuanza kurejea nyumbani Alhamisi hii
Oct 01, 2019 09:57Burundi leo imetangaza kuwa kundi la kwanza la wakimbizi wa nchi hiyo walioko Tanzania watarejea nyumbani Alhamisi wiki hii. Wakimbizi hao watarejea Burundi kwa umati kama sehemu ya mpango ulioratibiwa na serikali za nchi mbili hizo.
-
SAUTI, Mvutano kati ya Kanisa Katoliki na serikali ya Burundi washtadi, CNDD yahoji iwapo kanisa hilo nalo lina mgombea?
Sep 23, 2019 13:38Vutanikuvute kati ya serikali ya Burundi na Kanisa Katoliki imeendelea kushika kasi, huku mashirika yenye mafungamano na serikali yakilikosoa kanisa hilo na kuhoji iwapo linataka kusimika mgombea wake kwenye uchaguzi wa 2020.
-
AU yalaani mauaji ya askari wa Burundi nchini Somalia
Sep 17, 2019 22:09Umoja wa Afrika umelaani shambulizi la kigaidi dhidi ya askari wa kulinda amani wa Burundi waliokuwa wanahudumu chini ya mwavuli wa Kikosi cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (Amisom).
-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu dhulma na ukandamizaji Burundi
Sep 05, 2019 03:15Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wamesema katika ripoti yao waliyoitoa jana kuwa Burundi iko katika hatari ya kukumbwa na wimbi la ukandamizaji mpya wakati ikikaribia kuingia katika uchaguzi mkuu wa 2020. Taarifa hiyo imetolewa huku mgogoro wa kisiasa ulioigubika Burundi ukisalia bila ya ufumbuzi na nchi hiyo ikiwa na Rais anaendelea kujidhihirisha kuwa ni mtawala wa Kimungu.
-
Safari za meli baina ya Kigoma Tanzania na Bujumbura Burundi zaanza tena baada ya miaka 15 + Sauti
Aug 30, 2019 12:22Njia ya usafiri ya "Central Corridor" imezinduliwa rasmi kwa meli ya kwanza tangu miaka 15 kufika katika bandari ya Bujumbura Burundi kutokea Kigoma Tanzania, baada ya meli hiyo kusafirishwa kwa reli kutoka Dar es Salaam hadi Kigoma. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.
-
Burundi na DRC zahimiza ushirikiano mkubwa zaidi baina yao + Sauti
Aug 28, 2019 02:31Meya wa jiji la Bujumbura na mkuu wa jimbo la kivu kusini mashariki mwa DRC wameafikiana kuimarisha ushirikiano ili kukabiliana na makundi ya watu wenye kubebelea silaha wanao hatarisha usalama mara kwa mara katika nchi hizi 2. Pia kuimarisha vita dhidi ya ugonjwa wa Ebola
-
Burundi yaanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wahudumu wa afya
Aug 15, 2019 07:32Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa serikali ya Burundi imeanza kutoa chanjo ya virusi vya ugonjwa hatari wa Ebola kwa wahudumu wa afya hususan wale wanaofanyakazi karibu na mpaka wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
-
SAUTI, Burundi yaadhimisha Siku ya Ziwa Tanganyika, kwa lengo la kulienzi ziwa hilo
Jul 26, 2019 10:41Nchi ya Burundi imeadhimisha Siku ya Kitaifa ya Ziwa Tanganyika kwa ajili ya kulienzi ziwa hilo.