Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Burundi

  • Burundi yaadhimisha miaka 57 ya Uhuru + Sauti

    Burundi yaadhimisha miaka 57 ya Uhuru + Sauti

    Jul 01, 2019 11:36

    Leo Jumatano tarehe Mosi Julai 2019, Burundi imesherehekea mwaka wa 57 tangu ilipopata uhuru wake kutoka kwa mkoloni wa Ulaya, Ubelgiji. Rais Pierre Nkurunzinza ametumia fursa hiyo kutangaza hatua kadhaa ikiwa ni pamoja na kuondoa michango ya lazima kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2020. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.

  • Jumatatu tarehe Mosi Julai 2019

    Jumatatu tarehe Mosi Julai 2019

    Jun 30, 2019 21:02

    Leo ni Jumatatu tarehe 27 Shawwal 1440 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2019.

  • Rwanda yaitaka Burundi iwashughulike wahalifu 6,000 wa mauaji ya kimbari

    Rwanda yaitaka Burundi iwashughulike wahalifu 6,000 wa mauaji ya kimbari

    Jun 07, 2019 03:38

    Mwendesha mashtaka mkuu wa Rwanda Jean Mutangana ametoa wito kwa nchi jirani ya Burundi kushughulikia watu ambao amedai walihusika na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda dhidi ya Watutsi.

  • Lugha tamu ya Kiswahili yazidi kung'ara nchini Burundi + Sauti

    Lugha tamu ya Kiswahili yazidi kung'ara nchini Burundi + Sauti

    May 13, 2019 13:34

    Lugha ya Kiswahili inazidi kunawiri nchini Burundi hasa baada ya nchi hiyo kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ambayo sehemu kubwa ya watu wake wanazungumza lugha hiyo. Mwandishi wetu Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.

  • Wanamgambo kadhaa wa Rwanda wakamatwa nchini Burundi

    Wanamgambo kadhaa wa Rwanda wakamatwa nchini Burundi

    May 01, 2019 03:23

    Serikali ya Burundi imetangaza habari ya kuwatia mbaroni wanamgambo saba wa Rwanda na kisha kuwakabidhi kwa serikali ya Kigali.

  • Ubakaji waongezeka Burundi, baadhi ya viongozi wa Kanisa watuhumiwa + Sauti

    Ubakaji waongezeka Burundi, baadhi ya viongozi wa Kanisa watuhumiwa + Sauti

    Apr 29, 2019 12:29

    Baadhi ya wachungaji na viongozi wa Kanisa wanatuhumiwa kujihusika na visa vya upakaji na unyanyasaji wa kijinsia vinavyozidi kuongozeka nchini Burundi licha ya kuweko juhudi kubwa za kupambana na unyanyasaji wa kingono na kijinsia nchini humo. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.

  • SAUTI, Ufaransa ambayo ni mkandamizaji mkubwa wa vuguvugu la Vizibao vya Njano, yawawekea vikwazo maafisa wa polisi wa Burundi

    SAUTI, Ufaransa ambayo ni mkandamizaji mkubwa wa vuguvugu la Vizibao vya Njano, yawawekea vikwazo maafisa wa polisi wa Burundi

    Apr 22, 2019 11:53

    Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali ya Capes+ na Pisc Burundi, yamesema kuwa viukwazo vilivyotangazwa na serikali ya Ufaransa dhidi ya maafisa kadhaa wa polisi nchini Burundi, vimedhihirisha chuki ya hali ya juu iliyonayo Paris kwa nchi hiyo.

  • Jeshi la Kongo DR laua wanamgambo 36 wa Burundi

    Jeshi la Kongo DR laua wanamgambo 36 wa Burundi

    Apr 12, 2019 10:40

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limetangaza habari ya kuua wanachama 36 wa magenge mawili ya wanamgambo wa Burundi wanaobeba silaha, mashariki mwa nchi.

  • BBC yapigwa marufuku nchini Burundi + Sauti

    BBC yapigwa marufuku nchini Burundi + Sauti

    Mar 29, 2019 21:35

    Bodi ya Uandishi wa Habari nchini Burundi imevunja mkataba wake na Shirika la Utanganzaji la Ufalme wa Uingereza BBC, huku shirika la utangazaji la Marekani VOA nalo likiendelea kusimamishwa kwa muda. Burundi inayatuhumu mashirika hayo ya utangazaji kuwa yanakiuka sheria za uandishi nchini humo. Hamida Issa ametuandalia ripoti maalumu kuhusu habari hiyo...

  • Wanafunzi waliochora picha ya kumdhihaki Rais wa Burundi washitakiwa

    Wanafunzi waliochora picha ya kumdhihaki Rais wa Burundi washitakiwa

    Mar 21, 2019 11:32

    Wanafunzi watatu wa kike wamefunguliwa mashitaka ya kumdhihaki Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza, na huenda wakahukumiwa kifungo cha hadi miaka mitano jela.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS