Ubakaji waongezeka Burundi, baadhi ya viongozi wa Kanisa watuhumiwa + Sauti
Apr 29, 2019 16:59 UTC
Baadhi ya wachungaji na viongozi wa Kanisa wanatuhumiwa kujihusika na visa vya upakaji na unyanyasaji wa kijinsia vinavyozidi kuongozeka nchini Burundi licha ya kuweko juhudi kubwa za kupambana na unyanyasaji wa kingono na kijinsia nchini humo. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.
Tags