-
Burundi yakosoa vikali ripoti ya haki za binadamu ya UN+SAUTI
Mar 14, 2019 12:26Serikali ya Burundi imekosoa vikali ripoti mpya iliyotolewa na Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, iliyobaini kuendelea kwa ukiukaji wa haki za binadamu nchini humo.
-
Burundi yafunga ofisi ya Umoja wa Mataifa nchini humo + Sauti
Mar 05, 2019 23:09Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imefunga ofisi yake nchini Burundi kufuatia agizo la serikali ya Bujumbura la kufanya hivyo mara moja. Burundi imekuwa ikisuguana na ofisi hiyo ya Umoja wa Mataifa tangu mwaka 2015 baada ya kuripuka mzozo wa kisiasa nchini humo. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti ya mwandishi wetu wa Bujumbura, Hamida Issa...
-
Burundi yaitaka UN ifunge ofisi zake za haki za binadamu
Mar 05, 2019 10:55Burundi imeulazimu Umoja wa Mataifa ufunge ofisi zake za haki za binadamu nchini humo baada ya miaka 23 ya kuendesha shughuli zake katika nchi hiyo ya mashariki mwa Afrika.
-
Kagame: Hata kama Rwanda isingekuwepo, Burundi ingelikuwa na matatizo tu
Feb 21, 2019 12:07Rais Paul Kagame wa Rwanda amevunja kimya chake na kuzungumzia uhasama wa miaka kadhaa sasa kati ya nchi yake na Burundi, huku akisisitiza kuwa mvutano huo sio mkubwa kiasi ambacho serikali ya Bujumbura inataka uonekane.
-
Burundi inakataa kuondoa askari wake Somalia
Feb 20, 2019 04:40Marais wa Burundi na Somalia wameitisha kikao cha dharura cha nchi zenye askari katika Kikosi cha Umoja wa Afrika Somalia, AMISOM, kujadili agizo la kutaka askari 1,000 wa kulinda amani wa Burundi waondoke Somalia kabla ya mwisho wa mwezi huu wa Februari.
-
Mjumbe Wa UN: Hali ya Burundi inaboreka
Feb 20, 2019 04:23Mjumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Burundi, Michel Kafando amesema hali ya kisiasa nchini humo imeanza kutia matumaini wakati huu ambapo taifa hilo linajiandaa kufanya uchaguzi mkuu hapo mwakani.
-
SAUTI, Serikali ya China yaikabidhi Burundi jengo jipya la ikulu ya rais mjini Bujumbura
Feb 14, 2019 11:51Ikulu mpya ya rais wa Burundi ilojengwa kwa udhamini wa nchi ya China, leo imekabidhiwa rasmi kwa serikali ya Bujumbura.
-
Kujiuzulu Benjamin Mkapa katika upatanishi kwapokewa kwa hisia tofauti nchini Burundi + Sauti
Feb 11, 2019 13:41Wananchi wa Burundi wamekuwa na hisia na maoni tofauti kuhusu msimamo uliotangazwa na msuluhishi wa mzozo wa nchi hiyo rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa wa kuamua kujiuzulu wadhifa huo. Kwa maelezo zaidi tuitegee sikio ripoti ya mwandishi wetu wa mjini Bujumbura, Hamida Issa...
-
Benki ya ADB yaridhishwa na miradi yake Burundi + Sauti
Feb 07, 2019 14:21Ujumbe wa Benki ya Mandeleo ya Afrika ADB baada ya ziara yake ya wiki moja nchini Burundi umesema kuwa umeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo iliyodhaminiwa na benki hiyo nchini humo. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura...
-
Mgogoro wa Burundi umeshindikana? Mkapa alia na EAC kumtelekeza
Feb 07, 2019 11:13Wachunguzi wa mambo wanasema kuwa kuna kila dalili za kuonesha kuwa mgogoro wa Burundi umeshindikana kutatuliwa.