Burundi: Kuna njama za kuvuruga uhusiano wetu na Tanzania + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i51030-burundi_kuna_njama_za_kuvuruga_uhusiano_wetu_na_tanzania_sauti
Mashirika ya Capes na Pisc ya nchini Burundi yamesema kuwa, kugunduliwa sare za jeshi la Tanzania katika kambi ya wakimbizi huko Burundi kunadhihirisha kuwepo njama za kutaka kuvuruga uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi hizo mbili. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.
(last modified 2026-01-02T07:57:23+00:00 )
Jan 21, 2019 18:21 UTC

Mashirika ya Capes na Pisc ya nchini Burundi yamesema kuwa, kugunduliwa sare za jeshi la Tanzania katika kambi ya wakimbizi huko Burundi kunadhihirisha kuwepo njama za kutaka kuvuruga uhusiano mzuri uliopo kati ya nchi hizo mbili. Hamida Issa na maelezo zaidi kutoka Bujumbura.