Burundi na DRC zahimiza ushirikiano mkubwa zaidi baina yao + Sauti
Aug 28, 2019 07:01 UTC
Meya wa jiji la Bujumbura na mkuu wa jimbo la kivu kusini mashariki mwa DRC wameafikiana kuimarisha ushirikiano ili kukabiliana na makundi ya watu wenye kubebelea silaha wanao hatarisha usalama mara kwa mara katika nchi hizi 2. Pia kuimarisha vita dhidi ya ugonjwa wa Ebola
Tags