Burundi na DRC zahimiza ushirikiano mkubwa zaidi baina yao + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i55644-burundi_na_drc_zahimiza_ushirikiano_mkubwa_zaidi_baina_yao_sauti
Meya wa jiji la Bujumbura na mkuu wa jimbo la kivu kusini mashariki mwa DRC wameafikiana kuimarisha ushirikiano ili kukabiliana na makundi ya watu wenye kubebelea silaha wanao hatarisha usalama mara kwa mara katika nchi hizi 2. Pia kuimarisha vita dhidi ya ugonjwa wa Ebola
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Aug 28, 2019 07:01 UTC

Meya wa jiji la Bujumbura na mkuu wa jimbo la kivu kusini mashariki mwa DRC wameafikiana kuimarisha ushirikiano ili kukabiliana na makundi ya watu wenye kubebelea silaha wanao hatarisha usalama mara kwa mara katika nchi hizi 2. Pia kuimarisha vita dhidi ya ugonjwa wa Ebola