Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Rais Raisi: Misimamo ya rais wa China wakati wa safari yake katika eneo imeisikitisha Iran

    Rais Raisi: Misimamo ya rais wa China wakati wa safari yake katika eneo imeisikitisha Iran

    Dec 13, 2022 09:41

    Rais Ebrahim Raisi amesema, baadhi ya misimamo iliyotangazwa katika safari ya karibuni ya rais wa China katika eneo imelisikitisha taifa na serikali ya Iran.

  • China: Marekani isiitumie Afrika katika michezo yake ya kijiopolitiki

    China: Marekani isiitumie Afrika katika michezo yake ya kijiopolitiki

    Dec 13, 2022 03:29

    Balozi wa China nchini Marekani amepinga madai ya Washington kuwa nchi za Afrika zimenasa kwenye mtego wa Beijing kutokana na madeni.

  • Jibu la Iran kwa taarifa ya pamoja ya China na Saudia na madai yaliyoibuliwa

    Jibu la Iran kwa taarifa ya pamoja ya China na Saudia na madai yaliyoibuliwa

    Dec 11, 2022 23:11

    Mohammad Jamshidi, Mkuu wa masuala ya kisiasa katika Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Twitter kujibu matamshi ya Rais wa China aliyotoa wakati wa ziara yake nchini Saudi Arabia.

  • Xi Jinping: China itaendelea kuunga mkono juhudi za Wapalestina

    Xi Jinping: China itaendelea kuunga mkono juhudi za Wapalestina

    Dec 09, 2022 22:52

    Rais Xi Jinping wa China amesema serikali ya Beijing inaunga mkono jitihada za taifa la Palestina zinazolenga kuhuisha haki za msingi za Wapalestina.

  • Kuwa tayari Moscow na Beijing kukabiliana na mashinikizo ya makubwa ya Magharibi

    Kuwa tayari Moscow na Beijing kukabiliana na mashinikizo ya makubwa ya Magharibi

    Dec 06, 2022 04:07

    Waziri Mkuu wa Russia ametangaza kuwa, Moscow na Beijing zinataka kuasisi ngao ya kambi kadhaa na kujiandaa pamoja kukabiliana na changamoto mpya na mashinikizo makubwa ya nchi ajinabi.

  • Ombi la Ulaya kwa China, mshaurini Putin asitishe vita Ukraine

    Ombi la Ulaya kwa China, mshaurini Putin asitishe vita Ukraine

    Dec 02, 2022 22:53

    Charles Michel, Rais wa Baraza la Ulaya, amekutana na kuzungumza na Rais Xi Jinping katika ziara yake rasmi nchini China. Katika mkutano huu, Michel alimwomba Xi kutumia ushawishi wa Beijing kwa Russia ili kusitisha vita nchini Ukraine.

  • Russia na China zapinga azimio la Bodi ya Magavana ya Wakala wa IAEA dhidi ya Iran

    Russia na China zapinga azimio la Bodi ya Magavana ya Wakala wa IAEA dhidi ya Iran

    Nov 19, 2022 08:22

    Azimio jipya la Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) dhidi ya miradi ya nyuklia ya Iran yenye malengo ya amani limepasishwa ambapo limetuma ujumbe ulio wazi kufuatia kupungua kwa kura za nchi zilizoliunga mkono licha ya mashinikizo mapya ya kisiasa ya Marekani na Troika ya Ulaya dhidi ya Iran.

  • Lavrov asisitiza kushirikiana na Iran, China, Uturuki na India

    Lavrov asisitiza kushirikiana na Iran, China, Uturuki na India

    Nov 18, 2022 23:00

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Ijumaa alisisitiza kuwa kuna umuhimu Moscow kushirikiana na Tehran, Beijing, Ankara, New Delhi na nchi nyingine za pambizoni mwa bahari ya Kaspi.

  • China yapinga kutimuliwa Russia katika jumuiya ya nchi zinazounda G20

    China yapinga kutimuliwa Russia katika jumuiya ya nchi zinazounda G20

    Nov 15, 2022 21:33

    Waziri wa mambo ya nje wa China amesema anaunga mkono mchango wa Russia katika G20 na akasisitiza kuwa hakuna mtu yeyote mwenye haki ya kuinyima Moscow nafasi ya kushiriki katika jumuiya za pande kadhaa.

  • Afisa wa jeshi la Marekani: Karibuni hivi tutaingia kwenye mapigano ya muda mrefu na China

    Afisa wa jeshi la Marekani: Karibuni hivi tutaingia kwenye mapigano ya muda mrefu na China

    Nov 08, 2022 03:48

    Afisa mwandamizi wa jeshi la Marekani amesema karibuni hivi nchi hiyo itaingia kwenye mzozo na makabiliano ya muda mrefu na China na akatahadharisha juu ya kile alichoeleza kuwa ni kubaki nyuma Washington katika uwezo wa kijeshi mkabala na Beijing.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS