-
China yaitaka Marekani iiondolee Iran vikwazo haramu
Aug 03, 2022 07:27Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Kudhibiti Silaha katika Wizara ya Mambo ya China ameitaka Marekani iiondolee Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo haramu.
-
Onyo la moja kwa moja la Rais wa China kwa mwenzake wa Marekani
Jul 31, 2022 21:46Katika mazungumzo ya simu na mwenzake wa Marekani, Rais Xi Jinping wa China amemuonya kuwa Marekani haipaswi kuchezea moto kwa kujaribu kusambaratisha mfumo wa China Moja kuhusu kisiwa cha Taiwan.
-
Taiwan kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na US licha ya onyo la China
Jul 29, 2022 23:14Wizara ya Mambo ya Ndani ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Taiwan imesisitiza kuwa Taipei itaimarisha uhusiano wa ushirikiano wake wa kijeshi na Marekani licha ya onyo kali lililotolewa hivi karibuni na Rais Xi Jinping wa China.
-
Magharibi yahaha kukabiliana na makombora ya "Hypersonic" ya China na Russia
Jul 25, 2022 21:59Mashirika ya silaha ya Uingereza na Marekani hivi sasa yanahaha kuongeza nguvu zao za kiulinzi kwa ajili ya kukabiliana na makombora yanayokwenda kwa kasi ya ajabu maarufu kwa jina la makombora ya hypersonic, ya Russia na China.
-
Kwa mara nyingine China yataka Syria iondolewe vikwazo
Jul 25, 2022 21:57Naibu mwakilishi wa kudumu wa China katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba kuna wajibu wa kuondolewa haraka vikwazo ilivyowekewa Syria kwani vikwazo hivyo vinakwamisha juhudi za kupeleka misaada ya kibinadamu nchini humo.
-
China na Taiwan kwenye mzingo wa mivutano iliyoibuliwa na Washington
Jul 25, 2022 07:01Ziara iliyopangwa kufanywa na Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani na misaada ya silaha Washington kwa Taiwan vimezidisha hali ya wasiwasi katika Bahari ya China.
-
Onyo la China kwa Marekani iwapo Spika Pelosi atazuru Taiwan
Jul 19, 2022 21:49China imeionya vikali Washington na kusisitiza kuwa itachukua 'hatua za nguvu' iwapo Spika wa Kongresi ya Marekani Nancy Pelosi atafanya safari ya kuitembelea Taiwan mwezi ujao wa Agosti.
-
China na Marekani zatunishiana misuli katika maji ya Visiwa vya Paracel
Jul 13, 2022 04:55Jeshi la Wanamaji la China limeitimua manowari ya makombora ya Marekani ya USS Benfold iliyoingia bila kibali kwenye eneo la mpaka wa majini wa nchi hiyo katika Bahari ya China Kusini.
-
China yajibu mapigo kwa hati ya mkakati mpya wa NATO dhidi yake
Jul 01, 2022 03:33China imekosoa hati ya mkakati na stratejia mpya ya Muungano wa Kijeshi wa NATO na kueleza kwamba muungano huo ni changamoto ya kimfumo kwa usalama na uthabiti wa dunia.
-
China yaitaka Marekani kurekebisha makosa yake mkabala wa Iran
Jun 30, 2022 09:05China imeitaka Marekani irekebishe makosa yake katika mienendo yake dhidi ya Iran.