Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Juhudi za G7 za kukabiliana kiuchumi na China

    Juhudi za G7 za kukabiliana kiuchumi na China

    Jun 28, 2022 21:48

    Viongozi wa mataifa saba yaliyoendelea kiviwanda, G7, wameafiki kuzindua mpango kabambe wa kuwekeza katika miundo msingi kwenye nchi zinazoendelea. Viongozi hao wametangaza kuwa, nchi za G7 zinakusudia kutenga dola bilioni 600 kwa ajili ya mpango huo ifikapo 2027.

  • China: Kuwepo kijeshi Marekani katika Ghuba ya Taiwan ni tishio kwa amani ya dunia

    China: Kuwepo kijeshi Marekani katika Ghuba ya Taiwan ni tishio kwa amani ya dunia

    Jun 25, 2022 21:57

    Afisa mmoja wa jeshi la China amesema, kuruka ndege za kivita na za ugunduzi za Marekani katika anga ya Ghuba ya Taiwan ni kitendo cha kichochezi na tishio kwa amani ya dunia.

  • Raeisi: Iran ni mshirika endelevu wa BRICS katika nishati

    Raeisi: Iran ni mshirika endelevu wa BRICS katika nishati

    Jun 24, 2022 23:51

    Rais Ebrahim Raeisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Iran inaweza kuwa mshirika endelevu wa kuunganisha nchi wanachama wa BRICS katika maeneo muhimu ya kupitisha nishati na masoko makubwa duniani kwa kuzingatia nafasi yake ya kipekee ya jiografia ya kisiasa na jiografia ya kiuchumi.

  • Harakati hatari za Marekani Mashariki mwa Asia

    Harakati hatari za Marekani Mashariki mwa Asia

    Jun 17, 2022 20:50

    China imeitaka Marekani ikomeshe harakati zake hatari na za kichochezi eneo la Asia Mashariki ilikiwa ni pamoja na harakati zake za kijasusi.

  • Kamishna wa UN wa Haki za Binadamu aitaka China ipitie upya sera zake dhidi ya ugaidi

    Kamishna wa UN wa Haki za Binadamu aitaka China ipitie upya sera zake dhidi ya ugaidi

    May 29, 2022 07:41

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka China kupitia upya sera zake za kupambana na ugaidi ili kuhakikisha zinazingatia viwango vya kimataifa vya haki za binadamu. 

  • China yawaasa viongozi wa Marekani wachunge kauli zao kuhusiana na Taiwan

    China yawaasa viongozi wa Marekani wachunge kauli zao kuhusiana na Taiwan

    May 24, 2022 02:48

    China imetoa jibu kali dhidi ya uingiliaji wa waziwazi wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo. Beijing imewaasa viongozi wa Washington wachunge kauli wanazotoa kuhusiana na Taiwan.

  • Safari ya Waziri wa Ulinzi wa China mjini Tehran; ukurasa mpya katika uhusiano wa kiulinzi na kijeshi wa pande mbili

    Safari ya Waziri wa Ulinzi wa China mjini Tehran; ukurasa mpya katika uhusiano wa kiulinzi na kijeshi wa pande mbili

    Apr 28, 2022 02:41

    Jenerali Wei Fenghe, Waziri wa Ulinzi wa China aliwasili mjini Tehran siku ya Jumatano kwa ajili ya kuonana na kufanya mazungumzo na Brigedia Jenerali Mohammad Reza Gharaei Ashtiani, Waziri mwenzake wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Onyo jipya la kijeshi la Marekani kwa China

    Onyo jipya la kijeshi la Marekani kwa China

    Apr 24, 2022 21:48

    Mashindano ya kijeshi na kiusalama baina ya Marekani na China katika eneo la Indo-Pasifiki yamechukua muelekeo mpya kutokana na jitihada za pande mbili za kujiimarisha kijeshi katika eneo hilo muhimu kistratijia.

  • Jumapili tarehe 24 Aprili 2022

    Jumapili tarehe 24 Aprili 2022

    Apr 23, 2022 21:52

    Leo ni Jumapili tarehe 22 Ramadhani 1443 Hijria sawa na Aprili 24 mwaka 2022.

  • China yaonya kuhusu matokeo mabaya kimataifa ya vikwazo dhidi ya Russia

    China yaonya kuhusu matokeo mabaya kimataifa ya vikwazo dhidi ya Russia

    Apr 15, 2022 03:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameonya dhidi ya kuenea ulimwenguni taathira hasi za vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Russia. Zhao Lijian pia ameitaka Marekani kuchukua jukumu maalum la kuzingatia sheria za mfumo wa uchumi wa dunia na kudumisha uthabiti wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS