-
Kundi la G-77 na China zatoa wito wa kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran
Nov 14, 2020 06:16Baada ya kujitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka 2018 katika fremu ya siasa zake za mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi, Marekani iliamua kutekeleza na kuzidisha vikwazo vikali dhidi ya Jamhuri ya Kiilamu ya Iran ambavyo havijawahi kushuhudiwa katika historia.
-
Kundi la G77 na China zataka Iran iondolewe vikwazo mara moja
Nov 14, 2020 03:54Kundi la nchi 77 (G77) pamoja na China zimetaka vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran viondolewa haraka iwezekanavyo.
-
China yaruhusu matumizi ya chanjo ya COVID-19 ya CoronaVac
Oct 18, 2020 00:54Mji wa Jiaxing ulioko mashariki mwa China jana uliidhinisha matumizi ya chanjo ya virusi vya corona ya CoronaVac ambayo imeingizwa sokoni na kuanza kuuzwa kwa gharama ya dola 60 za kimarekani.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China washauriana kuhusu ushirikiano wa kiistratijia
Oct 11, 2020 00:44Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na China wamefanya mashauriano ya pamoja kuhusu Mpango Mkuu wa Ushirikiano wa Kiistratijia wa nchi mbili.
-
Onyo kali la China la kuzitungua ndege za kivita za Marekani
Oct 01, 2020 21:08Kufuatia kushadidi mivutano na mikwaruzano kati ya China na Marekani, Beijing imeonya kuwa ikiwa ndege zisizo na rubani, ndege za kivita au vyombo vingine vyovyote vya kijeshi vya Marekani vitashambulia ardhi au visiwa vya China na kuisababishia hasara, hapana shaka vitalengwa na kutunguliwa.
-
Alkhamisi tarehe Mosi Oktoba mwaka 2020
Oct 01, 2020 03:00Leo ni Alkhamisi tarehe 13 Safar 1442 Hijria sawa na tarehe Mosi Oktoba mwaka 2020.
-
China yakadhibisha madai ya kuvunja maelfu ya misikiti ya Waislamu wa Uighurs
Sep 27, 2020 01:10Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya China imekadhibisha madai yaliyotolewa na Taasisi ya Sera za Kistratejia ya Australia (The Australian Strategic Policy Institute) ASPI ikisema kuwa makumi ya misikiti imebomolewa katika eneo la Xinjiang lililoko kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Watafiti: China inasimamia kambi zaidi ya 380 za kuwekea watu kizuizini katika eneo la Xinjiang
Sep 24, 2020 23:04Mtandao wa serikali ya China wa kambi za kuwekea watu kizuizini katika eneo la Xinjiang lililoko kaskazini magharibi mwa nchi hiyo ni mkubwa zaidi ya ilivyokuwa ikifikiriwa na ungali unaendelea kupanuliwa.
-
Mivutano baina ya Marekani na China yashadidi baada ya hotuba ya Trump katika Umoja wa Mataifa
Sep 24, 2020 04:40Katika hotuba yake ya mwisho kwenye ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa katika kipindi chake cha kwanza cha urais wa Marekani, Donald Trump amejikita zaidi katika masuala ya China na Iran na kudai kuwa, Marekani imejiondoa katika makubaliano mabaya sana ya nyuklia ya JCPOA na imeiwekea Iran vikwazo vya kulema.
-
Msimamo mmoja wa kundi la 4+1 mbele ya madai hewa ya Marekani kuhusu Iran
Sep 21, 2020 07:03Licha ya Marekani kutoa madai hewa ya kuanza kutekelezwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran kuanzia jana Jumapili Septemba 20, 2020 vikiwemo vikwazo vya silaha, lakini mataifa ya dunia yamepinga madai hayo ya Washington na yamechukua msimamo imara kiasi kwamba inaonekana kama vile hakuna mabadiliko yoyote yaliyotokea.