-
China yakosoa ripoti ya Marekani kuhusu shirika la WTO
Feb 07, 2019 03:46Wizara ya Biashara ya China imekosoa ripoti iliyotolewa na Marekani kuhusu Shirika la Biashara Duniani (WTO) ambayo imeituhumu Beijing kwamba inaunga mkono misimamo na hatua za upande mmoja na kuitaja ripoti hiyo kuwa isiyo na ukweli wowote.
-
China: Marekani itabeba dhima ya chochote kitakachotokea Venezuela
Jan 29, 2019 11:30China sanjari na kutangaza uungaji mkono wake kwa Rais Nicolas Maduro wa Venezuela, imesema Marekani inapaswa kubebeshwa dhima kwa jambo lolote baya litakalotokea katika nchi hiyo ya Amerika ya Latini.
-
Ripoti: Uchumi wa China kuupiku wa Marekani mwaka ujao
Jan 17, 2019 04:18Ripoti ya Benki ya Standard Chartered imedokeza kuwa, kuna uwezekano mkubwa China kuipiku Marekani na kuwa nchi yenye uchumi mkubwa zaidi duniani mwaka ujao wa 2020.
-
China yapasisha "kukomunistishwa" utamaduni wa Kiislamu
Jan 07, 2019 23:07Serikali ya China imepasisha sheria ya kuoanisha utamaduni wa Kiislamu na mafundisho ya kikomunisti.
-
Sisitizo la Rais Xi Jinping wa China juu ya utayarifu wa jeshi la nchi yake kwa ajili ya vita
Jan 07, 2019 00:53Rais Xi Jinping wa China amelitaka jeshi la nchi yake kujiweka tayari kwa ajili ya kukabiliana na nchi ambayo hajaitaja.
-
China yafanyia majaribio "Mama wa Mabomu Yote"
Jan 05, 2019 23:07Kampuni ya kutengeneza asilaha ya China imefanya majaribio ya mafaniko ya kombora lenye nguvu zaidi lisilo la nyuklia lililopewa jina la "Mama wa Mabomu Yote".
-
Serikali ya China yafunga misikiti mitatu katika mkoa wa Yunnan, kusini magharibi mwa nchi
Jan 02, 2019 23:41Vyombo vya habari vya Hong Kong vimetangza kuwa serikali ya China imeifunga miisikiti mitatu katika mkoa wa Yunnan ulioko kusini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Iran: Kuwepo Marekani katika Ghuba ya Uajemi kunasababisha wasiwasi na mivutano
Dec 29, 2018 12:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Tokea awali sisi tumekuwa tukiamini kwamba kuwepo Marekani katika Ghuba ya Uajemi, mbali na kuwa ni kinyume cha sheria lakini pia kunasababisha hali ya wasiwasi na mivutano."
-
Guterres atahadharisha kuhusu vitisho vya mfumo wa kambi kadhaa
Dec 18, 2018 03:15Baada ya kusambaratika Urusi ya zamani na kumalizika kipindi cha Vita Baridi hapo mwaka 1991 mfumo wa kambi mbili za Mashariki na Magharibi pia ulitoweka na kumalizika.
-
Wasiwasi wa kuongezeka misaada ya Magharibi kwa magaidi wa Syria
Dec 15, 2018 02:55Tangu mwaka 2011 yalipoanzishwa machafuko nchini Syria hadi hivi sasa, nchi za Magharibi hasa Marekani, Uingereza na Ufaransa pamoja na vibaraka wao baadhi ya nchi za Kiarabu zimekuwa zikiyaunga mkono kwa hali na mali magenge ya kigaidi kwa tamaa ya kuipindua serikali iliyoko madarakani kihalali nchini Syria.