-
Marekani yachukua mateka katika vita vyake vya kibiashara na China
Dec 12, 2018 22:58Baada ya Donald Trump kuingia madarakani kama rais wa Marekani Januari mwaka 2017, amekuwa akifuatilia sera hasimu na zenye utata kuhusu China na hivyo kuwaibulia wakuu wa China changamoto kadhaa. Moja ya sera ambazo Trump ametekeleza ni kuongeza ushuru wa forodha kwa bidhaa kutoka China na kwa njia hiyo kutangaza rasmi vita vya kibiashara dhidi ya China.
-
China yarudisha mapigo, yapiga marufuku simu za iPhone
Dec 12, 2018 09:02Kampuni ya Apple ya Marekani imepata pigo kubwa baada ya mahakama moja ya China kupiga marufuku uuzaji wa simu za iPhone nchini Uchina.
-
Askari wa China watumwa Sudan kulinda amani
Dec 11, 2018 12:04Askari 100 wa kulinda amani wa China wameondoka Jumanne ya leo Beijing kuelekea Darfur, nchini Sudan kwa ajili ya majukumu ya kulinda amani kwa kipindi cha mwaka mmoja katika kikosi cha Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika (UNAMID).
-
China yaionya Canada kuhusu kumpeleka Marekani mkuu wa Huawei
Dec 09, 2018 03:51Serikali ya China imetoa onyo kali na kuitaka Canada imuachie huru mara moja mkuu wa shirika kubwa la mawasiliano la Huawei na isithubutu kumkabidhi kwa wakuu wa mahakama za Marekani.
-
Jitihada za Marekani za kuzuia maendeleo ya teknolojia ya China
Dec 08, 2018 23:22Tangu alipochukua madaraka, Rais Donald Trump wa Marekani ameisababishia China changamoto mbalimbali. China inahesabiwa kuwa nguvu kubwa zaidi ya pili ya kiuchumi duniani.
-
Mkutano wa maspika wa mabunge ya nchi sita wamalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa
Dec 08, 2018 12:07Maspika wa mabunge ya nchi sita za Iran, Russia, Uturuki, China, Pakistan na Afghanistan umemalizika leo hapa mjini Tehran kwa taarifa ya pamoja ya kuimarisha uhusiano katika kupambana na ugaidi na kuongeza ushirikiano wao wa kieneo.
-
Makumi wauawa katika mripuko kwenye kiwanda cha kemikali China
Nov 28, 2018 04:10Kwa akali watu 22 wameripotiwa kupoteza maisha baada ya kutokea mripuko karibu na kiwanda cha kemikali katika mji wa Zhangjiakou, mkoani Hebei kaskazini mwa China.
-
Marekani yatishia kuanzisha Vita Baridi dhidi ya China
Nov 15, 2018 03:40Wakati mivutano ya kibiashara kati ya Marekani na China inazidi kupamba moto, Makamu wa Rais wa Marekani Mike Pence ameoinya China kuhusu uwezekano wa kutokea Vita Baridi baina ya pande mbili.
-
Mpango wa China na Russia wa kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani
Nov 09, 2018 23:09Mawaziri Wakuu wa China na Russia wamesisitiza juu ya azma ya nchi mbili ya kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani katika ngazi za kimataifa.
-
Mawaziri Wakuu wa China na Russia waazimia kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani
Nov 09, 2018 10:54Mawaziri Wakuu wa China na Russia wameazimia kukabiliana na siasa za upande mmoja za Marekani duniani.