Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Amnesty: China imetenganisha malaki ya familia za Waislamu

    Amnesty: China imetenganisha malaki ya familia za Waislamu

    Sep 24, 2018 10:32

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International sambamba na kulaani ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya usalama dhidi ya Waislamu nchini China, limesema kuwa mamia ya maelfu ya familia za Waislamu nchini humo zimelazimika kutengana na jamaa zao kutokana na dhulma hizo za serikali.

  • Kufutwa mazungumzo ya kijeshi kati ya Marekani na China

    Kufutwa mazungumzo ya kijeshi kati ya Marekani na China

    Sep 23, 2018 23:28

    Wizara ya Ulinzi ya China na katika jibu lake dhidi ya siasa za mabavu na kupenda kujitanua za Marekani, imefuta mazungumzo ya kijeshi na nchi hiyo baada ya kufuta mazungumzo ya kibiashara baina ya pande hizo mbili.

  • Kimbunga Mangkhut chaingia China, baada ya kuua 60 Ufilipino

    Kimbunga Mangkhut chaingia China, baada ya kuua 60 Ufilipino

    Sep 16, 2018 10:17

    Kimbunga kikali cha Mangkhut kimewasili nchini China baada ya kuua watu 60 kaskazini mwa Ufilipino.

  • Mawaziri wa G20 wataka mabadiliko WTO kukabiliana na uhasama wa Marekani

    Mawaziri wa G20 wataka mabadiliko WTO kukabiliana na uhasama wa Marekani

    Sep 15, 2018 20:43

    Mawaziri wa biashara na uwekezaji wa nchi tajiri duniani za kundi la G20 wamesema kuna haja ya kufanyika mabadiliko ya dharura katika Shirika la Biashara Duniani WTO kukabiliana na vita vya kibiasahra vya Marekani dhidi ya China.

  • Waislamu nchini India waandamana kuwatetea Waislamu wa China

    Waislamu nchini India waandamana kuwatetea Waislamu wa China

    Sep 15, 2018 09:30

    Waislamu nchini India wamefanya maandamano kuiunga mkono jamii ya Waislamu wa Uighur wanaokandamizwa katika mkoa wa Xinjiang nchini China.

  • Kharrazi: Aghalabu ya nchi duniani zinapinga sera za Marekani dhidi ya Iran

    Kharrazi: Aghalabu ya nchi duniani zinapinga sera za Marekani dhidi ya Iran

    Sep 11, 2018 03:02

    Mkuu wa Baraza la Stratejia za Uhusiano wa Nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Marekani inatekeleza sera zake dhidi ya Iran kwa kutumia mabavu, ubabe na vitisho.

  • Jumapili, Septemba 9, 2018

    Jumapili, Septemba 9, 2018

    Sep 09, 2018 03:44

    Leo ni Jumapili tarehe 28 Mfunguo Tatu, Dhul-Hijjah 1439 Hijiria, sawa na tarehe tisa Septemba mwaka 2018 Miladia.

  • Mazungumzo ya Waziri wa Ulinzi wa Iran nchini China na sisitizo la ushirikiano zaidi wa kijeshi na kiuchumi

    Mazungumzo ya Waziri wa Ulinzi wa Iran nchini China na sisitizo la ushirikiano zaidi wa kijeshi na kiuchumi

    Sep 09, 2018 03:00

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Amir Hatami ametembelea China kufuatia mwaliko wa waziri mwenzake wa nchi hiyo kwa lengo la kuimarisha uhusiano wa kijeshi na kiuchumi baina ya China na Iran.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Marekani inauvutia mfumo wa kimataifa kuelekea kwenye mizozo

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: Marekani inauvutia mfumo wa kimataifa kuelekea kwenye mizozo

    Sep 08, 2018 02:52

    Brigedia Jenerali Amir Hatami, Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa, Marekani inauvutia mfumo wa kimataifa katika mzozo, ambapo katika kufikia malengo yake, inatumia nyenzo zote yakiwemo makundi ya kigaidi.

  • Sisitizo la Rais wa China la kustawisha uhusiano na bara la Afrika

    Sisitizo la Rais wa China la kustawisha uhusiano na bara la Afrika

    Sep 04, 2018 06:13

    Rais wa China amesisitiza udharura wa kustawishwa ushirikiano wa pande zote kati ya Beijing na bara la Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS