Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

China

  • Trump atishia tena kuziwekea ushuru zaidi bidhaa za China

    Trump atishia tena kuziwekea ushuru zaidi bidhaa za China

    Oct 30, 2018 11:12

    Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kwamba iwapo hakutofikiwa mwafaka na China, basi ataziwekea ushuru mwingine wa mamia ya mabilioni ya Dola, bidhaa za China zinazoingizwa nchi hiyo.

  • Mwanamke ashambulia wanafunzi wa shule ya chekechea kwa kisu China

    Mwanamke ashambulia wanafunzi wa shule ya chekechea kwa kisu China

    Oct 26, 2018 10:27

    Mwanamke aliyekuwa amejizatiti kwa kisu amevamia shule moja ya chekechea nchini China na kujeruhi watoto 14 miongoni mwa wanafunzi wa shule hiyo.

  • Malengo halisi ya Marekani ya kujiondoa kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati

    Malengo halisi ya Marekani ya kujiondoa kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati

    Oct 23, 2018 09:46

    Tangazo la Marekani la kujiondoa kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati lililotolewa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo limekabiliwa na radiamali nyingi hasi katika uga wa kimataifa.

  • Licha ya kiburi cha Trump; Marekani ina deni kubwa zaidi la China

    Licha ya kiburi cha Trump; Marekani ina deni kubwa zaidi la China

    Oct 17, 2018 23:47

    Wizara ya Hazina ya Marekani imesema kuwa, nchi inayoidai fedha nyingi zaidi Marekani ni China.

  • Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Oct 16, 2018 03:58

    Uhusiano wa Marekani na China umekumbwa na misukosuko na panda shuka mbalimbali baada ya kuingia madarakani Donald Trump huko Marekani. Washington na Beijing zinahitilafiana katika masuala mengi ya kisiasa, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, kiusalama na kiistratijia.

  • Beijing yaitahadharisha Washington ijiepushe kutumia vibaya suala la haki za binadamu

    Beijing yaitahadharisha Washington ijiepushe kutumia vibaya suala la haki za binadamu

    Oct 13, 2018 21:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameitaka Washington itazame upya matatizo makubwa ya haki za binadamu yanayoisibu Marekani na wakati huo huo iache kutumia vibaya suala hilo kwa ajili ya kuingia masuala ya ndani ya nchi nyingine.

  • Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Oct 11, 2018 23:11

    Tangu aingie madarakani nchini Marekani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekuwa akitekeleza siasa ambazo zimeifanya dunia kuwa uwanja wa malumbano na mivutano.

  • Jumatano tarehe 10 Oktoba 2018

    Jumatano tarehe 10 Oktoba 2018

    Oct 09, 2018 21:54

    Leo ni Jumatano tarehe 30 Muharram 1440 Hijria sawa na tarehe 10 Oktoba 2018.

  • Bunge la Ulaya lataka kusitishwa ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa Uighur, China

    Bunge la Ulaya lataka kusitishwa ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa Uighur, China

    Oct 05, 2018 01:03

    Wawakilishi wa Bunge la Ulaya wamelaani kamatakamata kubwa ya Waislamu wa jimbo la Xinjiang huko kaskazini mwa China na kutoa wito wa kusitishwa ukandamizaji wa Waislamu hao wa jamii ya Uighur (Uyghurs).

  • China: Hatuna azma ya 'kuikoloni' Zimbabwe licha ya kushindwa kutulipa madeni yetu

    China: Hatuna azma ya 'kuikoloni' Zimbabwe licha ya kushindwa kutulipa madeni yetu

    Oct 02, 2018 04:49

    China imesema Beijing haina nia wala mpango wa kunyakua na kudhibiti mali za Zimbabwe licha ya serikali ya Harare kushindwa kuilipa nchi hiyo malimbikizo ya madeni yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS