Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

corona

  • AfrikaCDC: Nchi zote zinapaswa kuchangia jitihada za kimataifa ili kupata chanjo ya Covid-19

    AfrikaCDC: Nchi zote zinapaswa kuchangia jitihada za kimataifa ili kupata chanjo ya Covid-19

    Sep 03, 2020 11:31

    Nchi zote zinapaswa kuchangia jitihada za kimataifa ili kununua na kusambaza chanjo za kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona duniani kote. Hayo yameelezwa leo na Vituo vya Kukabiliana na Kuzuia Magonjwa Barani Afrika.

  • Sudan Kusini yaomba mkopo wa dola milioni 150 wa kukabiliana na athari mbaya za corona

    Sudan Kusini yaomba mkopo wa dola milioni 150 wa kukabiliana na athari mbaya za corona

    Aug 25, 2020 11:43

    Serikali ya Sudan Kusini imesema kuwa, imeiomba Banki ya Afrika ya Uingizaji na Usafirishaji Nje Bidhaa (Afreximbank) iipe mkopo nchi hiyo wa kuweza kukabiliana na athari mbaya za COVID-19.

  • Nigeria yatishia kuwapiga marufuhu raia wa nchi zinazowazuia Wanigeria kuingia

    Nigeria yatishia kuwapiga marufuhu raia wa nchi zinazowazuia Wanigeria kuingia

    Aug 22, 2020 07:42

    Serikali ya Nigeria imetishia kuwapiga marufuku kuingia nchini humo raia wa nchi ambazo zinawazuia Wanigeria kuingia katika nchi hizo kutokana na janga la corona. Hayo yalisemwa jana na Waziri wa usafiri wa anga wa Nigeria, Hadi Sirika.

  • Iran yapiga hatua kubwa katika kutengeneza vifaa na dawa za kukabiliana na corona

    Iran yapiga hatua kubwa katika kutengeneza vifaa na dawa za kukabiliana na corona

    Aug 08, 2020 13:36

    Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Maendelo ya Teknolojia ya Masuala ya Afya ya Wizara ya Afya ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imepiga hatua kubwa na kwenda bega kwa bega na nchi zilizoendelea duniani kutokana na jitihada kubwa zinazofanywa na mkampuni ya sayansi ya kutengeneza zana na kuzalisha vifaa vya kuzuia, kubaini na kutibu virusi vya corona.

  • Janga la corona kusababisha watu milioni 50 Afrika kukumbwa na umaskini

    Janga la corona kusababisha watu milioni 50 Afrika kukumbwa na umaskini

    Jul 10, 2020 07:38

    Watu milioni 50 katika nchi za Afrika yumkini wakatumbukia katika lindi la umaskini wa kupindukia kutokana na makali ya janga la corona.

  • Burundi yabadili sera, yaanza upimaji COVID-19 mjini Bujumbura

    Burundi yabadili sera, yaanza upimaji COVID-19 mjini Bujumbura

    Jul 08, 2020 02:55

    Serikali ya Burundi imezindua operesheni ya upimaji mkubwa wa maambukizi ya COVID-19 katika mji mkuu wa kibiashara wa nchi hiyo Bujumbura.

  • UN: Magaidi na wenye chuki wanatumia janga la corona kuendeleza ajenda zao

    UN: Magaidi na wenye chuki wanatumia janga la corona kuendeleza ajenda zao

    Jul 07, 2020 07:23

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema magenge ya kigaidi na makundi ya kibaguzi na yenye misimamo mikali yanatumia janga la kimataifa la corona kuendeleza ajenda zao hususan kupanda mbegu za chuki na uhasama katika jamii.

  • UN: Athari za corona kuua watoto 50,000 Afrika Kaskazini na Asia Magharibi

    UN: Athari za corona kuua watoto 50,000 Afrika Kaskazini na Asia Magharibi

    Jun 15, 2020 15:10

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, yumkini athari za ugonjwa wa COVID-19 zikaua makumi ya maelfu ya watoto katika nchi za kaskazini mwa Afrika na Asia Magharibi.

  • Madaktari wasio na mipaka watahadharisha kuhusu kusambaratika mfumo wa afya na tiba Yemen

    Madaktari wasio na mipaka watahadharisha kuhusu kusambaratika mfumo wa afya na tiba Yemen

    Jun 14, 2020 10:32

    Mkuu wa wahudumu wa Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) huko Yemen amesema kuwa hali ya kiafya na kitiba katika nchi hiyo iliyokumbwa na vita imezidi kuwa ya hatari kutokana na maambukizi ya virusi vya corona.

  • 'Ugonjwa usiojulikana' waua makumi Darfur, Sudan

    'Ugonjwa usiojulikana' waua makumi Darfur, Sudan

    Jun 13, 2020 12:39

    Maafisa wa afya nchini Sudan wameeleza wasiwasi mkubwa walionao kutokana na ongezeko la vifo 'visivyo vya kawaida' katika kambi za wakimbizi katika eneo la Darfur.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS