Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

corona

  • Ndege ya Iran iliyobeba msaada wa  COVID-19 yawasili Venezuela

    Ndege ya Iran iliyobeba msaada wa COVID-19 yawasili Venezuela

    Jun 09, 2020 08:04

    Serikali ya Venezuela imesema ndege ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliyobeba msaada wa dharura kwa ajili ya waathirika wa ugonjwa wa COVID-19 iliwasili nchini humo jana Jumatatu.

  • Afrika Kusini yafungua shule licha ya hofu ya wazazi na walimu

    Afrika Kusini yafungua shule licha ya hofu ya wazazi na walimu

    Jun 08, 2020 12:18

    Wanafunzi nchini Afrika Kusini wameanza kurejea shuleni Jumatatu ya leo baada ya skuli hizo kufungwa kwa miezi kadhaa kutokana na janga la corona.

  • Nigeria yalegeza sheria za kudhibiti corona, yafungua misikiti

    Nigeria yalegeza sheria za kudhibiti corona, yafungua misikiti

    Jun 06, 2020 08:02

    Nigeria imeanza kuondoa zuio na kulegeza sheria kali ilizokuwa imeweka kwa ajili ya kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Covid-19 ulioua mamia ya watu nchi humo.

  • Baada ya vitisho, hatimaye Trump akata uhusiano na WHO

    Baada ya vitisho, hatimaye Trump akata uhusiano na WHO

    May 30, 2020 08:10

    Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kukata uhusiano na Shirika la Afya Duniani WHO, akidai kuwa taasisi hiyo ya kimataifa ni kikaragosi cha China.

  • Iran yapeleka Denmark mashine za kuzalisha barakoa

    Iran yapeleka Denmark mashine za kuzalisha barakoa

    May 28, 2020 07:57

    Makamu wa Rais wa Iran wa Masuala ya Sayansi na Teknolojia amesema Jamhuri ya Kiislamu imepeleka nchini Denmark mashine za kuzalisha barakoa za kujikinga virusi vya corona.

  • Corona yawakatizia watoto milioni 80 chanjo za polio, surua na kipindupindu

    Corona yawakatizia watoto milioni 80 chanjo za polio, surua na kipindupindu

    May 23, 2020 07:59

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa janga la corona limevuruga mpango wa utoaji wa chanjo za magonjwa ya kupooza (polio), surua na kipindupindu kwa makumi ya mamilioni ya watoto duniani.

  • Onyo la Steven Mnuchin juu ya uwezekano wa kusambaratika uchumi wa Marekani

    Onyo la Steven Mnuchin juu ya uwezekano wa kusambaratika uchumi wa Marekani

    May 17, 2020 12:21

    Kuenea kwa virusi vya Corona nchini Marekani kumeisababishia jamii ya nchi hiyo matatizo makubwa ya kila upande hususan kwenye upande wa uchumi.

  • Waliopona ugonjwa wa COVID-19 nchini Iran wakaribia 92,000

    Waliopona ugonjwa wa COVID-19 nchini Iran wakaribia 92,000

    May 15, 2020 12:32

    Mkuu wa Idara ya Mawasiliano ya Umma na Upashaji Habari ya Wizara ya Afya ya Iran ametangaza kuwa, hadi hivi sasa waathiriwa zaidi ya 91,836 wa ugonjwa wa COVID-19 au corona humu nchini wamepata afueni na kuruhusiwa kurejea nyumbani kutoka mahospitalini.

  • ECA: Zuio la mwezi mmoja la COVID-19 litaisababishia Afrika hasara ya dola bilioni 65

    ECA: Zuio la mwezi mmoja la COVID-19 litaisababishia Afrika hasara ya dola bilioni 65

    May 11, 2020 15:11

    Zuio kamili la mwezi mmoja kwa Afrika litagharimu asilimia 2.5 ya Pato la Jumla (GDP) kwa mwaka barani humo, ambayo ni sawa na dola za kimarekani bilioni 65.7.

  • China yatoa radiamali kufuatia madai ya Uingereza kuhusu chanzo cha Corona

    China yatoa radiamali kufuatia madai ya Uingereza kuhusu chanzo cha Corona

    May 06, 2020 04:33

    Balozi wa China mjini London, ametahadharisha kwamba madai ya baadhi ya viongozi wa Uingereza kwamba virusi vya Corona vilitengenezwa katika maabara moha ya mji wa Wuhan nchini China, yatakuwa na taathira hasi kwenye uhusiano wa nchi mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS