Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

corona

  • Shamkhani: Watawala wa Marekani wanatumia corona kama fursa ya kuendeleza uhasama

    Shamkhani: Watawala wa Marekani wanatumia corona kama fursa ya kuendeleza uhasama

    Mar 25, 2020 02:30

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza kuwa: "Watawala wa Marekani wanatumia corona kama fursa ya kuendeleza uhasama."

  • Michezo ya Olympiki ya Tokyo 2020 yaahirishwa kutokana na corona

    Michezo ya Olympiki ya Tokyo 2020 yaahirishwa kutokana na corona

    Mar 25, 2020 02:29

    Michezo ya Olympiki ya Tokyo iliyokuwa imepangwa kufanyika mwaka huu imeahirishwa hadi mwaka 2021 baada ya mazungumzo baina ya Waziri Mkuu wa Japan Abe Shinzo, na rais wa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki, Thomas Bach.

  • Jeshi la IRGC Iran laanza mazoezi ya kujihami kibiolojia kukabiliana na corona

    Jeshi la IRGC Iran laanza mazoezi ya kujihami kibiolojia kukabiliana na corona

    Mar 25, 2020 02:29

    Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema jeshi hilo leo linafanya mazoezi ya kitaifa ya kujihami kibiolojia kote nchini Iran ikiwa ni katika sehemu ya oparesheni za kukabiliana na ugonjwa wa COVID-19 au corona.

  • Kukaribisha Umoja wa Mataifa makubaliano ya usitishaji vita katika vita vya ndani nchini Libya

    Kukaribisha Umoja wa Mataifa makubaliano ya usitishaji vita katika vita vya ndani nchini Libya

    Mar 24, 2020 13:30

    Vita vya ndani nchini Livya viliibua wasiwasi mkubwa kufuatia mashambulio ya mara kwa mara ya Jeshi la Taifa la Libya linaloongozwa na jenerali Khalifa Haftar yaliyoanza Aprili mwaka jana kwa shabaha ya kuiangusha Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa.

  • Nchi 40 za Afrika zaripoti kesi 1,114 za corona, watu 28 wafariki dunia

    Nchi 40 za Afrika zaripoti kesi 1,114 za corona, watu 28 wafariki dunia

    Mar 22, 2020 13:29

    Idadi ya watu waliothibitishwa kuambukizwa ugonjwa wa COVID-19 au corona kote Afrika imeongezeka na kufika watu 1,114 katika nchi 40 barani humo.

  • Utabiri wa kupungua asilimia 24 ya pato ghafi la ndani Marekani kwa sababu ya corona

    Utabiri wa kupungua asilimia 24 ya pato ghafi la ndani Marekani kwa sababu ya corona

    Mar 22, 2020 07:00

    Maambukizi ya virusi vya corona na ugonjwa wa COVID-19 yameathiri sana uchumi wa dunia na kuacha taathira kubwa hasi kwa uchumi wa Marekani. Utabiri unaonyesha kuwa, uchumi wa Marekani unakabiliwa na hali ngumu kupita kiasi.

  • Kuthibitika kuwa uchumi wa Marekani umeingia katika mdororo mkubwa

    Kuthibitika kuwa uchumi wa Marekani umeingia katika mdororo mkubwa

    Mar 21, 2020 06:08

    Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akitumai kutumia madai yake ya mafanikio ya kiuchumi katika kampeni zake za uchaguzi wa rais nchini humo mwaka huu wa 2020, lakini hakuwa ametabiri kuhusu kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona ambao umepelekea kuporomoka masoko ya hisa Marekani na hivyo kuingiza uchumi huo mkubwa zaidi duniani katika mdororo.

  • Ugonjwa wa corona wazidi kuenea Afrika, 800 waambukizwa

    Ugonjwa wa corona wazidi kuenea Afrika, 800 waambukizwa

    Mar 21, 2020 01:35

    Kesi za maambukizi ya ugonjwa wa corona au COVID-19 barani Afrika zimepita 800 hadi kufikkia Ijumaa huku nchi mbalimbali zikiiimarisha hatua za kukabiliana na ugonjwa huo unaoenea kwa kasi kote duniani.

  • Majeshi ya Iran yashukuriwa kwa kufanya jitihada kubwa katika vita dhidi ya corona

    Majeshi ya Iran yashukuriwa kwa kufanya jitihada kubwa katika vita dhidi ya corona

    Mar 21, 2020 01:34

    Waziri wa Afya nchini Iran amesema kuwa, ushirikiano mkubwa wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, hasa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni jambo ambalo limewafurahisha madaktari wa Iran katika vita dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona.

  • Serikali ya Guinea yasema ugonjwa wa corona hautazuia uchaguzi

    Serikali ya Guinea yasema ugonjwa wa corona hautazuia uchaguzi

    Mar 21, 2020 01:34

    Serikali ya Guinea-Conakry imesisitiza kufanyika kwa uchaguzi wa wabunge na kura ya maoni ya katiba pamoja na kuwa wapinzani wanataka uchaguzi usitishwe kutokana na hofu ya kuenea ugonjwa wa COVID-19 au corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS