-
Mwito wa Uingereza wa kukomeshwa ukiritimba wa sarafu ya dola
Aug 26, 2019 01:38Msimamo wa Marekani wa kutumia vibaya sarafu ya dola katika masuala ya biashara na ya fedha kimataifa kwa lengo la kufanikishia malengo yake haramu, umewakasirisha hata waitifaki wa karibu mno wa Washington kama vile Uingereza ambayo sasa imetoa mwito wa kukomeshwa ukiritimba wa matumizi ya sarafu ya dola duniani.
-
Hamas yataka kususiwa sarafu dola ya Marekani
Jul 19, 2019 02:33Musa Abu Marzouq mjumbe wa ngazi ya juu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa wito wa kususiwa sarafu ya dola ya Marekani.
-
Wanadiplomasia wa Ulaya: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vitadhoofisha sarafu ya Dola
Oct 29, 2018 13:49Wanadiplomasi kadhaa wa Ulaya wamesema kuwa, vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran, vitapelekea kudhoofika kwa sarafu ya Dola ya nchi hiyo.
-
Canada yaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran na kuondoa utegemezi kwa sarafu ya dola ya Marekani
Sep 04, 2018 02:34Maamuzi ya upande mmoja ya kisiasa na kimabavu ya Marekani katika kipindi cha utawala wa rais Donald Trump yanaendelea kukabiliwa na upinzani kote duniani.
-
Iran, Russia na Uturuki zadhamiria kwa dhati kuondoa sarafu ya dola katika biashara baina yao
Aug 14, 2018 15:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema Uturuki, Iran na Russia zinapanga kutumia sarafu zao za taifa badala ya sarafu ya dola katika biashara baina yao.
-
Upinzani DRC waja na mkakati mpya wa kumshinikiza Rais Kabila aondoke madarakani
Jul 24, 2017 04:40Upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umetangaza mipango na mikakati yake mipya ya kushinikiza kuondoka madarakani Rais Joseph Kabila wa nchi hiyo kwa kutumia migomo na uasi wa kiraia.
-
Mamilioni ya fedha za umma za mauzo ya madini zatoweka Congo DR
Jul 23, 2017 06:46Jumuiya ya kimataifa ya Global Witness imetangaza kuwa, asilimia 20 ya mapatano yanayotokana na mauzo ya madini ya almasi, dhahabu na shaba zimetoweka katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.