-
Maandamano dhidi ya Trump New York kabla ya mkutano wa UNGA
Sep 24, 2019 04:25Maandamano makubwa dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani yameshuhudiwa mjini New York usiku wa kuamkia leo, masaa machache kabla ya kuanza mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini humo.
-
Trump 'alilia' Tuzo ya Nobel, asema Obama hakustahiki kupewa
Sep 24, 2019 04:18Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena amedai kuwa ana ustahiki wa kupewa Tuzo ya Amani ya Nobel.
-
Spika wa Kongresi amkosoa Trump kwa kufumbia macho jinai za utawala wa Saudia
Sep 23, 2019 03:41Bunge la Wawakilishi la Marekani, Kongresi limekemea vikali uungaji mkono na himaya ya pande zote ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa utawala wa Saudi Arabia kwa kuendelea kuuzia silaha za aina mbalimbali na kutuma majeshi ya Marekani katika nchi hiyo ya kifalme kwa kisingizio cha kukabiliana na eti "vitisho".
-
Kumalizika kusikoeleweka kwa mazungumzo ya biashara kati ya Marekani na China
Sep 22, 2019 23:10Siasa za kimaslahi na za upendeleo wa kiuchumi zinazotekelezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambazo zinalenga kushadidisha mgogoro wa ushuru wa forodha, zimeibua vita vikubwa vya kibiashara kati ya nchi hiyo na China.
-
Trump asema uongo mara 27 katika hotuba ya dakika 95
Sep 18, 2019 20:54Televisheni ya CNN imeripoti kuwa Rais wa nchi hiyo ametoa madai ya uongo mara 27 kupitoa hotuba yake iliyochukua muda wa dakika 95.
-
Mkuu wa zamani wa Shirika la CIA akosoa udhaifu wa Trump
Sep 17, 2019 08:30Mkuu wa zamani wa Shirika la Kisasusi la Marekani (CIA), sambamba na kukosoa matamshi ya kupenda vita ya Rais Donald Trump wa Marekani, kufuatia shambulizi la ndege zisizo na rubani za Wayemen kwenye taasisi za mafuta za Saudia ARAMCO, amesema kuwa udhaifu wa kiuongozi wa rais huyo wa Marekani, umekuwa changamoto kimataifa.
-
Iran: Rais Rouhani hana mpango wowote wa kukutana na Trump
Sep 16, 2019 22:45Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepuuzilia mbali uwezekano wowote wa Rais Hassan Rouhani kukutana na Rais wa Marekani Donald Trump katika mkutano ujao wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York.
-
Jitihada za Trump za kudhibiti bei ya mafuta katika masoko ya kimataifa
Sep 16, 2019 04:55Mashambulizi yaliyofanywa na wanamapambano wa Yemen dhidi ya taasisi za mafuta za Saudi Arabia na kupelekea kupungua nusu ya uzalishaji wa mafuta wa nchi hiyo na kuvuruga masoko ya kimataifa, yamekabiliwa na msimamo wa kukurupuka wa serikali ya Washington.
-
Trump amuita Rais Sisi wa Misri kuwa dikteta
Sep 14, 2019 07:05Rais Donald Trump wa Marekani ameripotiwa kumtaja Rais Abdul Fattah al-Sisi kuwa dikteta.
-
Njama za utawala wa Trump za kuficha namna Saudi Arabia ilivyohusika katika matukio ya Septemba 11
Sep 14, 2019 02:56Baada ya matukio ya Septemba 11 mwaka 2001, Marekani ilijinadi kama mbeba bendera ya vita dhidi ya ugaidi duniani na kwa kisingizio hicho ikatekeleza mashambulizi kadhaa ya kijeshi kukiwemo kuzivamia Iraq na Afghanistan. Pamoja na hayo, sera za Marekani katika vita dhidi ya ugaidi zimekuwa na mgongano na undumakuwili mkubwa.