Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Radiamali zatolewa kufuatia kutimuliwa ghafla John Bolton katika ikulu ya White House

    Radiamali zatolewa kufuatia kutimuliwa ghafla John Bolton katika ikulu ya White House

    Sep 11, 2019 07:49

    Kitendo cha kupigwa kalamu nyekundu na Rais Donald Trump, John R. Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani, kimeendelea kuakisiwa kwa radiamali tofauti na viongozi wa Marekani.

  • Tetemeko ndani ya kambi ya Trump, Bolton atimuliwa serikalini

    Tetemeko ndani ya kambi ya Trump, Bolton atimuliwa serikalini

    Sep 10, 2019 22:53

    Rais wa Marekani, Donald Trump amemtimua serikalini, mshauri wa usalama wa taifa wa White House, John Robert Bolton.

  • Trump afutilia mbali kikao cha siri na Taliban

    Trump afutilia mbali kikao cha siri na Taliban

    Sep 09, 2019 01:33

    Katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa rais wa Marekani, Rais Donald Trump wa nchi hiyo aliahidi kuwaondoa askari wote wa Marekani wanaohudumu Afghanistan.

  • Sisitizo la Corbyn la kukabiliana na muungano wa Netanyahu na Trump dhidi ya JCPOA

    Sisitizo la Corbyn la kukabiliana na muungano wa Netanyahu na Trump dhidi ya JCPOA

    Sep 07, 2019 01:50

    Tangu yalipofikiwa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mwaka 2015, Marekani na utawala wa Kizayuni zimekuwa zikisisitiza kila mara kuwa zinayapinga makubaliano hayo na kutaka yavunjwe. Na katika hatua iliyolenga kufikia lengo hilo, mwezi Mei 2018, Rais Donald Trump wa Marekani alitangza kujitoa nchi yake kwenye makubaliano hayo na kuanza kutekeleza vikwazo vikali ambavyo havijawahi kushuhudiwa dhidi ya Iran.

  • Kushindwa tena Johnson katika bunge la Uingereza na mustkabali usiojulikana wa Brexit

    Kushindwa tena Johnson katika bunge la Uingereza na mustkabali usiojulikana wa Brexit

    Sep 06, 2019 07:47

    Suala la kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya, Brexit, sasa limebadilika na kuwa maudhui muhimu zaidi katika siasa za ndani na nje za nchi hiyo.

  • Marekani yakosolewa kwa kukusudia kuangamiza mfumo wa usalama duniani

    Marekani yakosolewa kwa kukusudia kuangamiza mfumo wa usalama duniani

    Sep 03, 2019 02:26

    Rais Donald Trump wa Marekani amevuruga na kuhatarisha sana usalama wa kimataifa kwa kuendeleza sera zake zenye utata za kukiuka kanuni na mikataba ya kimatafa, hasa ya kujiondoa katika mikataba ya kudhibiti silaha hatari duniani.

  • Uchunguzi mpya wa maoni: Wademokrati watambwaga Trump katika uchaguzi wa urais 2020

    Uchunguzi mpya wa maoni: Wademokrati watambwaga Trump katika uchaguzi wa urais 2020

    Sep 02, 2019 08:45

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani yanaonyesha kuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump atabwagwa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa urais wa mwaka 2020 na mgombea wa chama cha Democrat.

  • Umaarufu wa Trump wazidi kupungua kote Marekani

    Umaarufu wa Trump wazidi kupungua kote Marekani

    Aug 31, 2019 11:38

    Umaarufu wa Rais Donald Trump wa Marekani unazidi kupungua kwa kasi nchini humo huku uchaguzi mkuu wa 2020 ukikaribia. Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliofanyika hivi karibuni, umaarufu wa Trump umepungua miongoni mwa wanawake wa Marekani.

  • Sisitizo la Trump la kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini Afghanistan

    Sisitizo la Trump la kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini Afghanistan

    Aug 31, 2019 02:08

    Miaka 18 iliyopita Marekani iliishambulia na kuivamia kijeshi Afghanistan na kisha ikaikalia kwa mabavu nchi hiyo kwa kisingizio cha kulipiza kisasi cha mashambulio ya Septemba 11, mwaka 2001 na pia kupambana na ugaidi nchini humo. Wakati rais wa sasa wa Marekani Donald Trump alipokuwa kwenye kampeni za uchaguzi wa urais mwaka 2016 na baada ya kuingia Ikulu ya White House aliahidi kwamba atawaondoa askari wa nchi hiyo walioko Syria na Afghanistan, hata hivyo hadi sasa amehalifu ahadi yake hiyo.

  • Baada ya kugonga mwamba, Trump adai anataka Iran iliyo nzuri na imara, si kubadilisha utawala

    Baada ya kugonga mwamba, Trump adai anataka Iran iliyo nzuri na imara, si kubadilisha utawala

    Aug 26, 2019 22:10

    Rais Ronald Trump wa Marekani amedai kuwa, anataka kuona Iran iliyo imara na wala hataki utawala uliopo uondoke.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS