-
Radiamali zatolewa kufuatia kutimuliwa ghafla John Bolton katika ikulu ya White House
Sep 11, 2019 07:49Kitendo cha kupigwa kalamu nyekundu na Rais Donald Trump, John R. Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani, kimeendelea kuakisiwa kwa radiamali tofauti na viongozi wa Marekani.
-
Tetemeko ndani ya kambi ya Trump, Bolton atimuliwa serikalini
Sep 10, 2019 22:53Rais wa Marekani, Donald Trump amemtimua serikalini, mshauri wa usalama wa taifa wa White House, John Robert Bolton.
-
Trump afutilia mbali kikao cha siri na Taliban
Sep 09, 2019 01:33Katika kipindi cha kampeni za uchaguzi wa rais wa Marekani, Rais Donald Trump wa nchi hiyo aliahidi kuwaondoa askari wote wa Marekani wanaohudumu Afghanistan.
-
Sisitizo la Corbyn la kukabiliana na muungano wa Netanyahu na Trump dhidi ya JCPOA
Sep 07, 2019 01:50Tangu yalipofikiwa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mwaka 2015, Marekani na utawala wa Kizayuni zimekuwa zikisisitiza kila mara kuwa zinayapinga makubaliano hayo na kutaka yavunjwe. Na katika hatua iliyolenga kufikia lengo hilo, mwezi Mei 2018, Rais Donald Trump wa Marekani alitangza kujitoa nchi yake kwenye makubaliano hayo na kuanza kutekeleza vikwazo vikali ambavyo havijawahi kushuhudiwa dhidi ya Iran.
-
Kushindwa tena Johnson katika bunge la Uingereza na mustkabali usiojulikana wa Brexit
Sep 06, 2019 07:47Suala la kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya, Brexit, sasa limebadilika na kuwa maudhui muhimu zaidi katika siasa za ndani na nje za nchi hiyo.
-
Marekani yakosolewa kwa kukusudia kuangamiza mfumo wa usalama duniani
Sep 03, 2019 02:26Rais Donald Trump wa Marekani amevuruga na kuhatarisha sana usalama wa kimataifa kwa kuendeleza sera zake zenye utata za kukiuka kanuni na mikataba ya kimatafa, hasa ya kujiondoa katika mikataba ya kudhibiti silaha hatari duniani.
-
Uchunguzi mpya wa maoni: Wademokrati watambwaga Trump katika uchaguzi wa urais 2020
Sep 02, 2019 08:45Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani yanaonyesha kuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump atabwagwa kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi wa urais wa mwaka 2020 na mgombea wa chama cha Democrat.
-
Umaarufu wa Trump wazidi kupungua kote Marekani
Aug 31, 2019 11:38Umaarufu wa Rais Donald Trump wa Marekani unazidi kupungua kwa kasi nchini humo huku uchaguzi mkuu wa 2020 ukikaribia. Kwa mujibu wa uchunguzi wa maoni uliofanyika hivi karibuni, umaarufu wa Trump umepungua miongoni mwa wanawake wa Marekani.
-
Sisitizo la Trump la kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini Afghanistan
Aug 31, 2019 02:08Miaka 18 iliyopita Marekani iliishambulia na kuivamia kijeshi Afghanistan na kisha ikaikalia kwa mabavu nchi hiyo kwa kisingizio cha kulipiza kisasi cha mashambulio ya Septemba 11, mwaka 2001 na pia kupambana na ugaidi nchini humo. Wakati rais wa sasa wa Marekani Donald Trump alipokuwa kwenye kampeni za uchaguzi wa urais mwaka 2016 na baada ya kuingia Ikulu ya White House aliahidi kwamba atawaondoa askari wa nchi hiyo walioko Syria na Afghanistan, hata hivyo hadi sasa amehalifu ahadi yake hiyo.
-
Baada ya kugonga mwamba, Trump adai anataka Iran iliyo nzuri na imara, si kubadilisha utawala
Aug 26, 2019 22:10Rais Ronald Trump wa Marekani amedai kuwa, anataka kuona Iran iliyo imara na wala hataki utawala uliopo uondoke.