-
Iran: Taarifa ya Trump ya kuikingia kifua Saudia licha ya mauaji ya Kashoggi ni fedheha
Nov 20, 2018 23:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaja kama fedheha taarifa iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani akiikingia kifua Saudi Arabia, licha utawala huo kuhusika na mauaji ya mwandishi wa habari na mkosoaji wa ukoo huo wa kifalme, Jamal Khashoggi.
-
Washington Post: Mchakato wa kifo cha kisiasa cha Donald Trump umeanza
Nov 20, 2018 23:09Gazeti la Washington Post limeandika makala ya ripoti ya kuchunguza siasa za vituko za rais Donald Trump wa Marekani na kile lilichokieleza kama kifo cha kisiasa cha kiongozi huyo.
-
Trump atilia shaka ripoti ya CIA kuhusu mauaji ya Khashoggi
Nov 18, 2018 10:39Rais Donald Trump ametilia shaka ripoti iliyovuja ya Shirika la Ujasusi la Marekani CIA kwamba Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman aliamuru mauaji ya mpinzani wa utawala huo wa kifalme, Jamal Khashoggi.
-
Trump apata pigo, CNN yashinda kesi dhidi yake
Nov 16, 2018 21:43Mahakama moja nchini Marekani imeiagiza Ikulu ya White House kumrejeshea mwandishi wa habari wa televisheni ya CNN kibali ilichompokonya na kumzuia kuingia katika ikulu hiyo, baada ya kulumbana vikali na Rais Donald Trump.
-
Misimamo inayogongana ya Trump mkabala na mamlaka ya kiulinzi ya Ulaya
Nov 13, 2018 09:43Hitilafu na mizozo baina ya Ulaya na Marekani imedhihiri hivi sasa kuliko kipindi kingine chochote kile tangu Rais Donald Trump wa Marekani aingie madarakani.
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu India: Marekani imeshindwa kikamilifu kuitenga Iran kimataifa
Nov 11, 2018 01:07Mkuu wa Kitengo cha Utafiti wa Bara Ulaya cha Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru cha New Delhi, India amesema kuwa, hatua ya Marekani ya kuziruhusu nchi kadhaa kuendelea kununua mafuta ya Iran ni ushahidi wa kushindwa kikamilifu njama za Marekani za kuitenga Iran kimataifa.
-
Rais Donald Trump wa Marekani: Kamwe sitomsamehe Barack Obama
Nov 10, 2018 04:47Rais Donald Trump wa Marekani sambamba na kumkosoa vikali mtangulizi wake, Barack Obama amesema: 'Kamwe sitomsamehe Obama kutokana na hatua yake ya kulidhoofisha jeshi na masuala mengine mengi.'
-
Susan Rice awataka waandishi wa habari kususia vikao vya White House
Nov 09, 2018 23:07Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Rais wa zamani wa Marekani, Susan Rice amewataka waandishi wa habari kususia vikao vya habari vya ikulu ya Rais wa Marekani, White House hadi pale ikulu hiyo itakapojirekebisha kuwahusu.
-
Trump akiri kutokuwa na uwezo wa kuiwekea Iran vikwazo kamili vya mafuta
Nov 08, 2018 04:54Rais wa Marekani kwa mara nyingine tena amekiri kuwa haiwezekani kuiwekea kikamilifu Iran vikwazo vya mafuta.
-
Donald Trump; rais mbaguzi zaidi katika historia ya Marekani
Nov 05, 2018 04:48Mwananadharia na mhadhiri mashuhuri wa taaluma ya siasa katika Chuo Kikuu cha Stanford nchini Marekani amesema kuwa Doland Trump, ndiye rais mbaguzi zaidi wa rangi katika historia ya nchi hiyo.