Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Donald Trump

  • Larijani: Trump ni mdogo sana, hawezi kuipigisha magoti Iran

    Larijani: Trump ni mdogo sana, hawezi kuipigisha magoti Iran

    Nov 04, 2018 04:40

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Rais Donald Trump wa Marekani ni 'mdogo sana' kuweza kufanikiwa kulipigisha magoti taifa la Iran.

  • Cohen: Trump alisema watu weusi ni wapumbavu, hawawezi kumpigia kura

    Cohen: Trump alisema watu weusi ni wapumbavu, hawawezi kumpigia kura

    Nov 03, 2018 23:06

    Wakili wa zamani wa Rais Donald Trump wa Marekani amesema rais huyo aliwahi kusema kuwa, watu weusi au wenye asili ya Afrika ni wapumbavu sana.

  • Trump kuwapa kibali wanajeshi kuwapiga risasi wahamiaji katika mpaka wa Mexico

    Trump kuwapa kibali wanajeshi kuwapiga risasi wahamiaji katika mpaka wa Mexico

    Nov 02, 2018 03:54

    Rais wa Marekani Donald Trump ameonya kuwa, maelfu ya wanajeshi wa nchi hiyo watakaotumwa katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico huenda wakalazimika kuwapiga risasi wahajiri wanaotoka katika nchi za Amerika ya Kati na wanaotaka kuingia Marekani kupitia mpaka huo.

  • Rouhani: Nchi za Ulaya zikabiliane na Marekani kwa kushirikiana na Iran

    Rouhani: Nchi za Ulaya zikabiliane na Marekani kwa kushirikiana na Iran

    Nov 02, 2018 02:38

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa sera za Marekani zimehatarisha uthabiti katika uga wa kimataifa na hivyo ametoa wito kwa nchi za Ulaya kushirikiana na Iran katika kukabiliana na maamuzi ya upande moja ya watawala wa Washington.

  • Wapalestina zaidi 300 wameuliwa shahidi tangu Quds itangazwe kuwa mji mkuu wa Israel

    Wapalestina zaidi 300 wameuliwa shahidi tangu Quds itangazwe kuwa mji mkuu wa Israel

    Nov 01, 2018 12:51

    Kituo cha Palestina cha Quds cha taaluma za masuala ya Kizayuni kimetangaza kuwa Wapalestina zaidi ya 300 wameuliwa shahidi na askari wa Israel tangu Baitul Muqaddas itangazwe kuwa mji mkuu wa utawala huo wa Kizayuni.

  • Trump atetea tena sheria ya kumiliki bunduki US licha ya Mayahudi 11 kuuawa Pittsburgh

    Trump atetea tena sheria ya kumiliki bunduki US licha ya Mayahudi 11 kuuawa Pittsburgh

    Oct 28, 2018 04:36

    Kwa mara nyingine tena, Rais wa Marekani, Donald Trump ameunga mkono sheria inayoruhusu kuuzwa na kumiliki silaha za moto kiholela nchini humo, licha ya kuweko upinzani mkali dhidi ya sheria hiyo ya kubeba bunduki hasa baada ya mashambulizi ya silaha hizo kushadidi nchini humo.

  • Iran: Trump ni mwanagenzi wa hali ya Mashariki ya Kati

    Iran: Trump ni mwanagenzi wa hali ya Mashariki ya Kati

    Oct 26, 2018 21:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, rais wa Marekani, Donald Trump ni mwanagenzi na hana welewa wa kutosha kuhusu hali ya Mashariki ya Kati wala historia, sifa maalumu za watu wake na pia matukio ya miaka ya hivi karibuni ya eneo hili.

  • Marekani, adui wa amani na usalama wa dunia

    Marekani, adui wa amani na usalama wa dunia

    Oct 25, 2018 23:04

    Uamuzi uliochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani wa kujiondoa katika mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati (INF) ambao umechukuliwa katika fremu ya sera za Trump za kujiondoa katika mikataba ya kimataifa, umekabiliwa na upinzani mkubwa wa viongozi wa nchi na jumuiya mbalimbali za kimataifa.

  • Ulaya na Umoja wa Mataifa zasisitiza azma yao ya kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Ulaya na Umoja wa Mataifa zasisitiza azma yao ya kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Oct 25, 2018 08:28

    Licha ya Marekani kuyapinga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, lakini nchi za Ulaya zinasisitiza kulindwa makubaliano hayo muhimu ya kimataifa. Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akichukua misimamo iliyo dhidi ya makubaliano hayo ambayo yalifikiwa mwezi Julai mwaka 2015 kati ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo marekani yenyewe na anayataja kuwa ni makubaliano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa!

  • Kukataliwa na madola ya Magharibi simulizi za Saudia kuhusu hekaya ya mauaji ya Khashoggi

    Kukataliwa na madola ya Magharibi simulizi za Saudia kuhusu hekaya ya mauaji ya Khashoggi

    Oct 21, 2018 23:35

    Moja ya matukio makubwa zaidi ya ukiukaji haki za binadamu kuwahi kufanywa na utawala wa Aal Saud ni la mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji maarufu wa utawala huo wa kifalme yaliyotokea ndani ya ubalozi wake mdogo ulioko mjini Istanbul, Uturuki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS