-
Foreign Policy: Janga la corona linatishia kuzusha uasi, machafuko na migogoro ya kisiasa
Jul 24, 2021 03:55Tovuti ya Foreign Policy imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea machafuko ya kisiasa duniani kutokana na janga la maambukizi ya virusi vya corona ambavyo imesema vinatishia kuharakisha uasi, machafuko na migogoro ya kisiasa ya muda mrefu.
-
Corona imeua watu karibu milioni 7 duniani, maradufu ya idadi iliyotangazwa
May 07, 2021 07:43Taasisi moja ya kutathmini data za afya katika Chuo Kikuu cha Washington DC nchini Marekani imesema idadi ya watu walioaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19 duniani ni mara mbili ya idadi iliyotangazwa kufikia sasa.
-
Kukosoa Guterres ukiritimba na ugavi usio wa kiadilifu wa chanjo ya Corona baina ya mataifa ya dunia
Apr 06, 2021 12:22Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena amekosoa namna chanjo ya corona inavyozalishwa na kugawiwa baina ya nchi mbalimbali duniani.
-
Viongozi wa nchi 23 duniani watoa wito wa kubuniwa mkataba wa kimataifa wa kukabiliana na magonjwa
Mar 31, 2021 03:04Viongozi wa nchi 23 wakishirikiana na Mkuu wa Baraza la Ulaya Charles Michel na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Tedros Adhanom wametoa wito wa kubuniwa mkataba wa kimataifa wa kukabilia na magonjwa mlipuko na migogoro ya afya katika siku zijazo baada ya janga la corona kufichuia jinsi dunia ilivyofeli na kugawanyika katika suala la kupampana na maambukizi ya virusi hivyo.
-
Utafiti: 20% ya wagonjwa wa corona wanapatwa na matatizo ya akili
Nov 10, 2020 07:18Utafiti mpya unaonyesha kuwa, mgonjwa mmoja kati ya watano wa maradhi ya Covid-19 anakumbwa na magonjwa ya kisaikolojia, ndani ya miezi mitatu baada ya kugundulika kuwa ameambukizwa ugonjwa huo.
-
Mapigano na ghasia zasababisha watu milioni 80 kuwa wakimbizi
Jun 18, 2020 18:35Umoja wa Mataifa umesema takriban watu milioni 80 (asilimia 1 ya jamii ya mwanadamu) wamelazimika kuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi zao kutokana na vita na mapigano katika kona mbalimbali za dunia.
-
Joseph Borrell akiri kumalizika zama za uongozi wa Marekani duniani
May 27, 2020 03:58Kuingia madarakani Rais Donald Trump wa Marekani huko White House mnamo tarehe 20 Januari 2017 kulifungua ukurasa mpya wa siasa za upande mmoja za nchi hiyo duniani.
-
Vyama 200 duniani vimesaini taarifa kwa ajili ya kushirikiana dhidi ya virusi vya corona
Apr 23, 2020 03:17Harakati ya An Nahdhah ya Tunisia imetangaza kuwa zaidi ya vyama 200 duniani vimesaini taarifa kwa lengo la kushrikiana katiak mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona.
-
Indhari ya WTO ya kutokea mgogoro mkubwa zaidi wa kiuchumi katika historia ya mwanadamu
Apr 10, 2020 02:32Mlipuko wa virusi vya Corona na maradhi ya Covid-19 kwa sasa umeenea karibu katika mataifa yote ya ulimwengu.
-
Kissinger: Virusi vya corona vitabadili mfumo wa dunia, serikali ya Trump haina mwelekeo wala sifa
Apr 05, 2020 11:49Waziri wa zamani wa Marekani, Henry Kissinger, amesema katika makala yake iliyochapishwa kwenye gazeti la The Wall Street Journal kwamba, mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona utabadilisha mfumo wa dunia milele.