Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Dunia

  • Benki ya Dunia yatahadharisha kuhusu ongezeko la madeni ya nchi maskini

    Benki ya Dunia yatahadharisha kuhusu ongezeko la madeni ya nchi maskini

    Oct 12, 2021 23:01

    Benki ya Dunia imetahadharisha juu ya kuongezeka kwa kiasi kikubwa madeni ya nchi zenye vipato vya chini duniani na taathira zake kwa uchumi wa dunia.

  • Saudi Arabia ni nchi mbaya zaidi duniani kwa upande wa ukiukaji wa uhuru hasa wa kisiasa

    Saudi Arabia ni nchi mbaya zaidi duniani kwa upande wa ukiukaji wa uhuru hasa wa kisiasa

    Sep 07, 2021 06:38

    Taasisi moja ya Utafiti ya nchini Marekani imetangaza kuwa Saudi Arabia ni nchi ya saba kwa kukiuka uhuru na demokrasia duniani.

  • Watu zaidi ya milioni 4 na laki tano wamepoteza maisha kwa corona duniani

    Watu zaidi ya milioni 4 na laki tano wamepoteza maisha kwa corona duniani

    Aug 30, 2021 23:16

    Shirika la habari la Reuters limeripoti kuwa jumla ya watu milioni 217 laki tatu elfu 67 na 883 wamepatwa na maambukizi ya corona duniani hadi sasa huku wengine milioni 4 na 518,030 wakiaga dunia kwa ugonjwa wa UVIKO-19 duniani kote.

  • Foreign Policy: Janga la corona linatishia kuzusha uasi, machafuko na migogoro ya kisiasa

    Foreign Policy: Janga la corona linatishia kuzusha uasi, machafuko na migogoro ya kisiasa

    Jul 23, 2021 23:25

    Tovuti ya Foreign Policy imetahadharisha kuhusu uwezekano wa kutokea machafuko ya kisiasa duniani kutokana na janga la maambukizi ya virusi vya corona ambavyo imesema vinatishia kuharakisha uasi, machafuko na migogoro ya kisiasa ya muda mrefu.

  • Corona imeua watu karibu milioni 7 duniani, maradufu ya idadi iliyotangazwa

    Corona imeua watu karibu milioni 7 duniani, maradufu ya idadi iliyotangazwa

    May 07, 2021 03:13

    Taasisi moja ya kutathmini data za afya katika Chuo Kikuu cha Washington DC nchini Marekani imesema idadi ya watu walioaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19 duniani ni mara mbili ya idadi iliyotangazwa kufikia sasa.

  • Kukosoa Guterres ukiritimba na ugavi usio wa kiadilifu wa chanjo ya Corona baina ya mataifa  ya dunia

    Kukosoa Guterres ukiritimba na ugavi usio wa kiadilifu wa chanjo ya Corona baina ya mataifa ya dunia

    Apr 06, 2021 07:52

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena amekosoa namna chanjo ya corona inavyozalishwa na kugawiwa baina ya nchi mbalimbali duniani.

  • Viongozi wa nchi 23 duniani watoa wito wa kubuniwa mkataba wa kimataifa wa kukabiliana na magonjwa

    Viongozi wa nchi 23 duniani watoa wito wa kubuniwa mkataba wa kimataifa wa kukabiliana na magonjwa

    Mar 30, 2021 22:34

    Viongozi wa nchi 23 wakishirikiana na Mkuu wa Baraza la Ulaya Charles Michel na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Tedros Adhanom wametoa wito wa kubuniwa mkataba wa kimataifa wa kukabilia na magonjwa mlipuko na migogoro ya afya katika siku zijazo baada ya janga la corona kufichuia jinsi dunia ilivyofeli na kugawanyika katika suala la kupampana na maambukizi ya virusi hivyo.

  • Utafiti: 20% ya wagonjwa wa corona wanapatwa na matatizo ya akili

    Utafiti: 20% ya wagonjwa wa corona wanapatwa na matatizo ya akili

    Nov 10, 2020 03:48

    Utafiti mpya unaonyesha kuwa, mgonjwa mmoja kati ya watano wa maradhi ya Covid-19 anakumbwa na magonjwa ya kisaikolojia, ndani ya miezi mitatu baada ya kugundulika kuwa ameambukizwa ugonjwa huo.

  • Mapigano na ghasia zasababisha watu milioni 80 kuwa wakimbizi

    Mapigano na ghasia zasababisha watu milioni 80 kuwa wakimbizi

    Jun 18, 2020 14:05

    Umoja wa Mataifa umesema takriban watu milioni 80 (asilimia 1 ya jamii ya mwanadamu) wamelazimika kuwa wakimbizi ndani na nje ya nchi zao kutokana na vita na mapigano katika kona mbalimbali za dunia.

  • Joseph Borrell akiri kumalizika zama za uongozi wa Marekani duniani

    Joseph Borrell akiri kumalizika zama za uongozi wa Marekani duniani

    May 26, 2020 23:28

    Kuingia madarakani Rais Donald Trump wa Marekani huko White House mnamo tarehe 20 Januari 2017 kulifungua ukurasa mpya wa siasa za upande mmoja za nchi hiyo duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS