-
Rais Erdogan wa Uturuki: El Sisi ni mpangaji wa mauaji ya halaiki
Mar 15, 2019 03:49Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amemtaja Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri kuwa ni mpangaji wa mauaji ya halaiki.
-
Rais wa Uturuki: Madhali Waislamu na walimwengu wanatetea uadilifu na uhuru, Palestina itaendelea kuwepo
Nov 28, 2018 12:26Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, jumuiya za kimataifa zimeuvunja moyo Ulimwengu wa Kiislamu kuhusiana na kadhia ya Palestina na amewahimiza wapigania uhuru duniani kuyatetea mapambano ya Wapalestina dhidi ya ukaliaji wa mabavu wa ardhi zao unaoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel.
-
Erdogan aitaka Saudia imfichue aliyetoa agizo la kuua Jamal Khashoggi
Oct 26, 2018 11:37Kwa mara nyingine tena Rais Recep Tayyib Erdogan wa Uturuki ameitaka Saudi Arabia imfichue mtu ambaye alitoa amri ya kuuawa Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa Aal-Saud.
-
Uturuki yajibu mapigo, yaziwekea vikwazo bidhaa za kielektroniki za Marekani
Aug 14, 2018 22:05Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametangaza kuwekewa vikwazo bidhaa za kielektroniki zinazozalishwa nchini Marekani.
-
Uturuki na Marekani zaendelea kutishiana
Jul 29, 2018 09:29Serikali ya Uturuki imeitisha Marekani kwamba, iwapo Rais Donald Trump wa nchi hiyo hatoikabidhi Ankara ndege mpya za F 35, basi itaiburuza Washington katika mahakama za kimataifa.
-
Erdogan: Israel ndio utawala wa kifashisti na kibaguzi zaidi duniani
Jul 24, 2018 11:50Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ndio utawala wa kifashisti na wa kibaguzi zaidi duniani.
-
Rais Erdoğan wa Uturuki atangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi wa jana
Jun 25, 2018 03:02Mkuu wa Tume ya Uchaguzi nchini Uturuki (YSK) amemtangaza rasmi Rais Recep Tayyip Erdoğan kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika Jumapili ya jana nchini humo.
-
Rais wa Uturuki: Marekani imekosea kujiondoa katika JCPOA
May 18, 2018 03:42Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa kitendo cha Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya Iran JCPOA ni makosa, na kusisitiza kuwa hatua hiyo ni chanzo cha kushadidi mgogoro na ukosefu wa amani katika eneo.
-
Rais Rouhani: Nchi za Kiislamu zikabiliane na hatua zilizo dhidi ya ubinadamu za Marekani na Israel
May 17, 2018 03:35Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mauaji dhidi ya wananchi wa Palestina yaliyofanywa na utawala haramu wa Israel ni maafa makubwa.
-
Rais wa Uturuki: Israel inaisukuma Mashariki ya Kati kwenye lindi la vita
May 13, 2018 22:36Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unapanda mbegu za hofu na kulisukuma eneo la Mashariki ya Kati kwenye lindi la vita.