-
WFP: Maisha ya Waethiopia milioni 20 yako hatarini kutokana na vita, ukame na uhaba wa chakula
Jun 23, 2022 22:44Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula duniani WFP limetahadharisha kuwa, baa la njaa linazidi kutishia maisha ya Waethiopia milioni 20 ambao wanakabiliwa na vita kaskazini mwa nchi hiyo, ukame katika eneo la kusini na kupungua kwa msaada wa chakula na lishe kuanzia mwezi ujao.
-
Iran yalaani shambulio lililoua mamia ya watu nchini Ethiopia
Jun 21, 2022 03:24Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio lililopelekea kuuawa mamia ya watu katika eneo la Oromia nchini Ethiopia, na kueleza kuwa Tehran imesikitishwa mno na mauaji hayo ya halaiki.
-
Manusura wa mauaji ya halaiki ya Oromia wasimulia: Watu waliuawa kama kuku
Jun 20, 2022 22:15Mwangwi wa mauaji ya halaiki yanayodaiwa kufanywa na waasi dhidi ya raia ambao wengi wao ni kutoka kabila la Amhara huko Ethiopia unaendelea kusikika huku baadhi ya manusura wakieleza jinsi mauaji hayo ya kutisha yalivyofanyika.
-
Ethiopia yabuni kamati ya kuzungumza na wapiganaji wa Tigray
Jun 14, 2022 22:12Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema serikali ya federali ya nchi hiyo imeunda kamati ya kufanya mazungumzo na vikosi vya Harakati ya Ukombizi wa Watu wa Tigray (TPLF).
-
UN yataka Kenya, Somalia na Ethiopia zisaidiwe kukabili ukame
May 21, 2022 08:00Umoja wa Mataifa umetoa mwito wa dharura wa kupatikana fedha ili kusaidia mataifa ya Pembe ya Afrika ambayo kwa miezi yameshuhudia hali ya ukame inayotishia kuwa mbaya zaidi.
-
UN yatahadharishwa: Yanayojiri Ethiopia yanaweza kuwa sawa na mauaji ya kimbari ya 1994 Rwanda
May 20, 2022 03:45Jumuiya 15 za asasi za kiraia barani Afrika zimetahadharisha kuwa yanayojiri katika vita vinavyoendelea hivi sasa nchini Ethiopia yanaweza yakaishia kuwa sawa na mauaji ya kimbari yaliyotokea mwaka 1994 nchini Rwanda ikiwa Umoja wa Mataifa hautachukua hatua haraka za kuuweka mgogoro huo katika ajenda zake.
-
Bei ya petroli yaongezeka pakubwa nchini Ethiopia
May 09, 2022 03:18Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Kikanda ya Ethiopia imetangaza ongezeko la asilimia 16 la bei ya petroli katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Serikali ya Ethiopia yakanusha kuondoka wapiganaji wa Tigray huko Afar
Apr 29, 2022 10:36Serikali ya Ethiopia imekanusha madai kwamba ilitangaza kuwa wapiganaji wa Tigray wameondoka katika mji wa Afar.
-
Walinda amani zaidi ya 500 wa kimataifa wa Ethiopia waomba hifadhi nchini Sudan
Apr 24, 2022 23:32Shirika la habari la Ufaransa limeripoti kuwa, zaidi ya walinda amani 500 wa Umoja wa Mataifa kutoka eneo la Tigray nchini Ethiopia wameomba hifadhi nchini Sudan.
-
Misaada ya kibinadamu yatumwa kwa waathirika wa vita na njaa Ethiopia
Apr 16, 2022 21:52Misaada ya kibinadamu kutoka Benki ya Dunia na Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu imeanza kuwafikia raia wa Ethiopia zaidi ya milioni sita waliathiriwa na vita na wanaokabiliwa na hatari ya njaa.