-
Polisi: Watu 23 wameawa katika machafuko ya hivi karibuni nchini Ethiopia
Sep 17, 2018 23:28Polisi ya Ethiopia imetangaza kuwa, kwa akali watu 23 wameuawa katika machafuko yaliyoibuka hivi karibuni jirani na mji mkuu wa nchi hiyo Addis Ababa.
-
Viongozi wa Eritrea na Ethiopia wasaini makubaliano ya amani, uhusiano wazidi kuimarika
Sep 17, 2018 10:52Viongozi wa Ethiopia na Eritrea wametia saini makubaliano ya amani huku uhusiano wa nchi hizo mbili jirani zilizokuwa na uadui mkubwa ukizidi kuimarika siku baada ya siku.
-
Waziri mkuu wa Ethiopia atoa wito wa utulivu baada ya ghasia mjini Addis Ababa
Sep 14, 2018 02:16Waziri mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ametoa wito wa kurejeshwa utulivu baada ya kutokea ghasia mjini Addis Ababa kutokana na bendera yenye utata.
-
Eritrea na Ethiopia zafungua mpaka wa pamoja baada ya miaka 20
Sep 11, 2018 09:18Viongozi wa Ethiopia na Eritrea wamefungua mpaka wao wa pamoja kwa mara ya kwanza baada ya kupita miongo miwili; hatua ambayo inatazamiwa kufungua mlango wa kuimarika uhusiano wa kibiashara wa majirani hao wa Pemba ya Afrika.
-
Kamisheni ya Umoja wa Afrika yaunga mkono juhudi za kutatua hitilafu za Eritrea-Ethiopia
Sep 09, 2018 23:41Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amepongeza juhudi zilizofanyika kwa ajili ya kuondoa hitilafu baina ya nchi mbili za Ethiopia na Eritrea.
-
Meli ya kibiashara ya Ethiopia imetia nanga Eritrea kwa mara ya kwanza
Sep 05, 2018 09:25Meli ya kibiashara ya Ethiopia kwa mara ya kwanza leo imetia nanga nchini Eritrea baada ya kupita miaka 20. Hatua hiyo imejiri kufuatia kusainiwa makubaliano ya kumaliza uhasama kati ya nchi mbili hizo jirani na mahasimu wa zamani.
-
Benki ya Dunia yaipatia mkopo wa dola bilioni moja Ethiopia ili kuendeleza mageuzi
Aug 27, 2018 10:20Waziri Mkuu wa Ethiopia amesema kuwa, Benki ya Dunia imeipatia nchi hiyo mkopo wa dola bilioni moja ili kusaidia juhudi za nchi yake za kufanya mageuzi ya kiuchumi na kisiasa.
-
Ethiopia yafanya juhudi za kuachiwa huru tajiri wa nchi hiyo aliyetiwa mbaroni Saudia
Aug 26, 2018 03:21Waziri Mkuu wa Ethiopia amesisitiza kuwa nchi hiyo inaendelea kufanya juhudi za kuhakikisha kuwa mfanyabishara aliyekamatwa nchini Saudi Arabia anaachiwa huru.
-
Watu wasiopungua 40 wauawa mashariki mwa Ethiopia
Aug 14, 2018 03:51Wanamgambo wenye silaha wameua watu wasiopungua 40 mashariki mwa Ethiopia mwishoni mwa wiki katika wimbi la machafuko yaliyochochewa na migawanyiko ya kikabila.
-
Ethiopia kukumbatia demokrasia ya vyama vingi
Jul 22, 2018 23:33Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amesema wakati umefika kwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika iruhusu demokrasia ya vyama vingi ambayo msingi wake ni taasisi thabiti zinazoheshimu haki za binadamu na utawala wa sheria.