Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

gaidi

  • Jeshi la Syria lazingira ngome ya jeshi vamizi la Marekani katika mpaka wa Iraq

    Jeshi la Syria lazingira ngome ya jeshi vamizi la Marekani katika mpaka wa Iraq

    Jun 22, 2018 14:07

    Sambamba na operesheni ya kuyasafisha maeneo mapana ya jangwa la Syria, hasa eneo la al-Badiya kutoka mikononi mwa mabaki ya wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), jeshi la Syria limezingira ngome ya askari vamizi wa Marekani katika eneo la al-Tanf lililopo katika mpaka wa nchi hiyo na Iraq.

  • Kufichuliwa njama ya Marekani ya kuingiza tena magaidi nchini Iraq

    Kufichuliwa njama ya Marekani ya kuingiza tena magaidi nchini Iraq

    Jun 07, 2018 06:51

    Matukio ya mwaka mmoja uliopita nchini Iraq ambapo magaidi wakufurishaji wa ISIS au Daesh wamesambaratishwa na kutumiliwa kikamilifu kutoka maeneo yote waliyokuwa wameyateka kufuatia jitihada za jeshi na makundi ya kujitolea ya wananchi, yameiandaa Iraq kuingia duru mpya ya baada ya Daesh na kuandaa mazingira ya uchaguzi wa bunge uliofanyika mwezi uliopita.

  • Syria: Kunaandaliwa mazingira ya kubuni igizo la shambulio la kemikali mashariki mwa Furat

    Syria: Kunaandaliwa mazingira ya kubuni igizo la shambulio la kemikali mashariki mwa Furat

    May 31, 2018 03:42

    Kamisheni ya taifa nchini Syria inayoshughulikia utekelezwaji wa makubaliano ya kuzuia silaha za kemikali, imeonya juu ya kuandaliwa igizo la kubuni la shambulio la silaha hizo katika moja ya maeneo yanayodhibitiwa na wanamgambo wa Kikurdi wa 'Syrian Democratic Forces' kwa kushirikiana na askari wa Marekani, mashariki mwa mto Furat nchini humo.

  • Magaidi wakufurishaji wabomoa makaburi katika kusaka mali na dhahabu Afrin, Syria

    Magaidi wakufurishaji wabomoa makaburi katika kusaka mali na dhahabu Afrin, Syria

    May 26, 2018 02:21

    Magaidi wakufurishaji nchini Syria wamevamia makaburi ya shakhsia wa kidini na wanaoheshimiwa wa mji wa Afrin katika kusaka mali na dhahabu ndani ya makaburi hayo.

  • Jeshi la Syria lafanikiwa kudhibiti barabara zote za mawasiliano za nchi hiyo

    Jeshi la Syria lafanikiwa kudhibiti barabara zote za mawasiliano za nchi hiyo

    May 18, 2018 07:56

    Sambamba na kuondoka magaidi eneo la kaskazini mwa mkoa wa Homs na kusini mwa mkoa wa Hama na kadhalika kufunguliwa barabara ya mkoa wa Homs kuelekea Damascus, mji mkuu wa Syria, jeshi la serikali limefanikiwa kudhibiti barabara zote zinazoiunganisha nchi hiyo.

  • Magaidi 19 wauawa na jeshi la Misri katika eneo la Sinai

    Magaidi 19 wauawa na jeshi la Misri katika eneo la Sinai

    May 17, 2018 13:59

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuangamizwa magaidi 19 katika operesheni iliyofanywa na jeshi la nchi hiyo katika Peninsula ya Sinai.

  • Marekani inasaidia magenge stadi kuwaua wataalamu na wenye vipawa wa Kiiraqi

    Marekani inasaidia magenge stadi kuwaua wataalamu na wenye vipawa wa Kiiraqi

    Apr 23, 2018 16:37

    Mwanachama mwandamizi wa mrengo wa Muungano wa Al-Fat'h katika uchaguzi wa Iraq amesema kuna magenge stadi ya mauaji yanayoongozwa na kuungwa mkono na Marekani ili kuwaua wataalamu na shakhsia wenye vipawa wa Kiiraqi.

  • Operesheni ya jeshi la Mali yaangamiza magaidi 15 katikati mwa nchi hiyo

    Operesheni ya jeshi la Mali yaangamiza magaidi 15 katikati mwa nchi hiyo

    Apr 22, 2018 07:55

    Jeshi la Mali limeeleza kupitia taarifa kuwa limewaangamiza magaidi 15 katika operesheni iliyofanywa na askari wa jeshi hilo katikati mwa nchi hiyo.

  • Magaidi elfu tano (5000) walazimika kuondoka katika viunga vya mji mkuu wa Syria

    Magaidi elfu tano (5000) walazimika kuondoka katika viunga vya mji mkuu wa Syria

    Apr 19, 2018 03:03

    Hatimaye, genge la kigaidi la Jeish al Islam limetangaza kuwa limekubali kuondoa wanamgambo wake 5,000 waliko katika eneo la al Dhamir katika viunga vya mji mkuu wa Syria Damascus na kuwapelekea Jarabulus mkoani Halab (Aleppo) pamoja na familia zao.

  • Padri raia wa Marekani apandishwa kizimbani Uturuki kwa tuhuma za ugaidi

    Padri raia wa Marekani apandishwa kizimbani Uturuki kwa tuhuma za ugaidi

    Apr 16, 2018 14:19

    Padri mmoja raia wa Marekani amepandishwa kizimbani nchini Uturuki kwa kujihusisha na harakati za kigaidi ndani ya taifa hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS