Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • UN na jumuiya za kimataifa zapinga hukumu ya kimaonyesho ya Saudia kuhusu mauaji ya Khashoggi

    UN na jumuiya za kimataifa zapinga hukumu ya kimaonyesho ya Saudia kuhusu mauaji ya Khashoggi

    Dec 25, 2019 07:07

    Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia una historia ndefe ya ukiukaji wa haki za binadamu na kukandamiza wapinzani wake ndani naa nje ya nchi hiyo. Miongoni mwa vielelezo vya wazi vya ukatili na ukandamizaji mkubwa wa haki za binadamu wa Saudia ni mauaji ya kutisha yaliyofanywa na maajenti wa utawala huo dhidi ya mwandishi na mpiznni wa serikali ya Riyadh, Jamal Khashoggi.

  • Wakristo, Wayahudi na Wazartoshi wa Iran walaani azimio la haki za binadamu dhidi ya Tehran

    Wakristo, Wayahudi na Wazartoshi wa Iran walaani azimio la haki za binadamu dhidi ya Tehran

    Dec 23, 2019 02:40

    Wawakilishi wa dini za waliowachache katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wamelaani azimio la haki za binadamu lililotolewa dhidi ya Iran na kuitaka Wizara ya Mambo ya Nje kufuatilia misimamo ya nchi adui na kuzima njama zinazofanywa dhidi ya Iran katika nyanja za kimataifa.

  • Iran yakosoa azimio la kisiasa la UN juu ya haki za binadamu nchini

    Iran yakosoa azimio la kisiasa la UN juu ya haki za binadamu nchini

    Dec 19, 2019 12:40

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inakosoa vikali azimio lililopasishwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu eti ukiukaji wa haki za binadamu hapa nchini.

  • Syria yakosoa jinai zinazofanywa na Marekani dhidi ya binadamu na haki zake

    Syria yakosoa jinai zinazofanywa na Marekani dhidi ya binadamu na haki zake

    Dec 13, 2019 10:29

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imeikosoa Marekani kutokana na jinai zake dhidi ya ubinadamu na haki za binadamu katika maeneo mbalimbali ya dunia na imetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusiana na jinai hizo.

  • Amnesty International: Uamuzi wa Tanzania katika Mahakama ya Afrika utazidisha ukandamizaji

    Amnesty International: Uamuzi wa Tanzania katika Mahakama ya Afrika utazidisha ukandamizaji

    Dec 03, 2019 14:19

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International, limesema uamuzi wa Tanzania kujitoa katika kifungu kinachowawezesha raia na mashirika yasiyo ya kiserikali kuishtaki serikali katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu yenye makao yake katika mji wa Arusha unahatarisha ongezeko la ukandamizaji nchini humo.

  • Algeria yalaani taarifa ya Bunge la Ulaya, yasema inaingilia masuala yake ya ndani

    Algeria yalaani taarifa ya Bunge la Ulaya, yasema inaingilia masuala yake ya ndani

    Nov 29, 2019 09:25

    Serikali ya Algeria imelaani vikali taarifa iliyotolewa na Bunge la Ulaya kuhusu hali ya ndani ya nchi hiyo ikisisitiza kuwa hatua hiyo ni kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine.

  • Jumuiya za kimataifa zapinga uteuzi wa Ghada Wali kuwa Mkurugenzi wa UNODC

    Jumuiya za kimataifa zapinga uteuzi wa Ghada Wali kuwa Mkurugenzi wa UNODC

    Nov 25, 2019 02:52

    Jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimepinga uteuzi uliofanywa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na kumtangaza Ghada Wali, Waziri wa Ustawi za Jamii wa Misri kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Mihadarati na Jinai (UNODC).

  • HRW: Maelfu ya watu wametoweka nchini Misri katika utawala wa al Sisi

    HRW: Maelfu ya watu wametoweka nchini Misri katika utawala wa al Sisi

    Nov 21, 2019 07:35

    Ripoti iliyotayarishwa na shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch kwa kushirikiana na Kituo cha Shihab na tasisi ya Uadilifu kwa Ajili ya Haki za Binadamu imesema kuwa, idadi ya jela nchini Misri imefikia 68 na kwamba jela 26 kati yazo zimejengwa katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa nchi hiyo Jenerali Abdel Fattah al Sisi.

  • Raisi: Uislamu ndio unaolinda haki za binadamu, si Wamagharibi

    Raisi: Uislamu ndio unaolinda haki za binadamu, si Wamagharibi

    Nov 17, 2019 08:15

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa dhana kuwa nchi za Magharibi ndio walinzi wa haki za binadamu na kueleza bayana kuwa, Uislamu ndio umelinda na kuheshimu kikamilifu haki za binadamu.

  • Nchi za Ulaya zaeleza wasiwasi wao kuhusu rekodi mbaya ya haki za binadamu ya Misri

    Nchi za Ulaya zaeleza wasiwasi wao kuhusu rekodi mbaya ya haki za binadamu ya Misri

    Nov 15, 2019 01:24

    Nchi kadhaa za Ulaya zimeishutumu serikali ya Misri kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, huku wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa wakieleza wasiwasi wao kuhusu ongezeko la ukandamizaji wa uhuru wa kujieleza katika nchi hiyo inayoongozwa na Jenerali Abdel Fattah al Sisi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS