Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Algeria yalaani taarifa ya Bunge la Ulaya, yasema inaingilia masuala yake ya ndani

    Algeria yalaani taarifa ya Bunge la Ulaya, yasema inaingilia masuala yake ya ndani

    Nov 29, 2019 05:55

    Serikali ya Algeria imelaani vikali taarifa iliyotolewa na Bunge la Ulaya kuhusu hali ya ndani ya nchi hiyo ikisisitiza kuwa hatua hiyo ni kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine.

  • Jumuiya za kimataifa zapinga uteuzi wa Ghada Wali kuwa Mkurugenzi wa UNODC

    Jumuiya za kimataifa zapinga uteuzi wa Ghada Wali kuwa Mkurugenzi wa UNODC

    Nov 24, 2019 23:22

    Jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimepinga uteuzi uliofanywa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na kumtangaza Ghada Wali, Waziri wa Ustawi za Jamii wa Misri kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Mihadarati na Jinai (UNODC).

  • HRW: Maelfu ya watu wametoweka nchini Misri katika utawala wa al Sisi

    HRW: Maelfu ya watu wametoweka nchini Misri katika utawala wa al Sisi

    Nov 21, 2019 04:05

    Ripoti iliyotayarishwa na shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch kwa kushirikiana na Kituo cha Shihab na tasisi ya Uadilifu kwa Ajili ya Haki za Binadamu imesema kuwa, idadi ya jela nchini Misri imefikia 68 na kwamba jela 26 kati yazo zimejengwa katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa nchi hiyo Jenerali Abdel Fattah al Sisi.

  • Raisi: Uislamu ndio unaolinda haki za binadamu, si Wamagharibi

    Raisi: Uislamu ndio unaolinda haki za binadamu, si Wamagharibi

    Nov 17, 2019 04:45

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa dhana kuwa nchi za Magharibi ndio walinzi wa haki za binadamu na kueleza bayana kuwa, Uislamu ndio umelinda na kuheshimu kikamilifu haki za binadamu.

  • Nchi za Ulaya zaeleza wasiwasi wao kuhusu rekodi mbaya ya haki za binadamu ya Misri

    Nchi za Ulaya zaeleza wasiwasi wao kuhusu rekodi mbaya ya haki za binadamu ya Misri

    Nov 14, 2019 21:54

    Nchi kadhaa za Ulaya zimeishutumu serikali ya Misri kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, huku wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa wakieleza wasiwasi wao kuhusu ongezeko la ukandamizaji wa uhuru wa kujieleza katika nchi hiyo inayoongozwa na Jenerali Abdel Fattah al Sisi.

  • Javad Larijani akosoa vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran

    Javad Larijani akosoa vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran

    Nov 09, 2019 01:15

    Katibu wa Idara ya Haki za Binadamu katika Vyombo vya Mahakama vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa kuendelea vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran.

  • Amnesty, HRW zaijia juu serikali ya Tanzania kwa kukiuka haki za binadamu

    Amnesty, HRW zaijia juu serikali ya Tanzania kwa kukiuka haki za binadamu

    Oct 28, 2019 08:58

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Amnesty International na Human Rights Watch yameituhumu serikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli kuwa inakiuka haki za binadamu.

  • Bunge la Ulaya lailaani serikali ya Misri kwa kukiuka haki za binadamu

    Bunge la Ulaya lailaani serikali ya Misri kwa kukiuka haki za binadamu

    Oct 24, 2019 23:21

    Bunge la Ulaya linalokutana Strasbourg nchini Ufaransa limepasisha azimio la kuilaani serikali ya Misri kutokana na ukiukaji wake wa haki za binadamu.

  • Haki za Binadamu; mchezo mchafu wa siasa za Magharibi dhidi ya Iran

    Haki za Binadamu; mchezo mchafu wa siasa za Magharibi dhidi ya Iran

    Oct 24, 2019 08:45

    Moja ya silaha zinazotumiwa na Magharibi katika kuamiliana na nchi zenye misimamo huru ni kutumia maudhui ya haki za binadamu; na katika hilo, mtazamo wa upande mmoja tu na wa Kimagharibi kwa maudhui hiyo katika jamii ambayo ni ya Kiislamu, inayojitawala na yenye misimamo huru ni aina mojawapo ya undumakuwili unaombatana na siasa chafu.

  • UN yawataka Wazayuni waache kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina

    UN yawataka Wazayuni waache kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina

    Oct 24, 2019 02:47

    Ripota wa masuala ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka jamii ya kimataifa isiendelee kukaa kimya bali iuchukulie hatua utawala dhalimu wa Israel na kuulazimisha uache kuzikalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS