Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • HRW, Amnesty zataka kufungwa vituo vya kuwazuilia wahajiri Libya

    HRW, Amnesty zataka kufungwa vituo vya kuwazuilia wahajiri Libya

    Jul 12, 2019 15:18

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch, Amnesty International na Baraza la Ulaya la Wakimbizi na Wahajiri (ECRE) yametoa mwito wa kufungwa kambi za kuwazuilia wakimbizi na wahajiri nchini Libya.

  • Wanaharakati mjini London, Uingereza wataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Wanaharakati mjini London, Uingereza wataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Jul 10, 2019 04:20

    Wanaharakati wa Kiislamu na wa haki za binadamu mjini London Uingereza wamelaani vikali kuendelea kushikiliwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria pamoja na mkewe na kutoa wito wa kuachiliwa huru wawili hao.

  • Amir Abdolahian: Njia ya chini ya ardhi ya Msikiti wa al Aqsa ni uvunjaji wa wazi wa haki za binadamu

    Amir Abdolahian: Njia ya chini ya ardhi ya Msikiti wa al Aqsa ni uvunjaji wa wazi wa haki za binadamu

    Jul 04, 2019 02:41

    Katibu Mkuu wa Mkutano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Palestina amesema kuwa, kufunguliwa njia ya chini ya ardhi inayopitia chini ya Msikiti wa al Aqsa ni uvunjaji wa wazi wa sheria za kimataifa na maazimio ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO).

  • UN yalitaka jeshi la Sudan liache kukandamiza wananchi

    UN yalitaka jeshi la Sudan liache kukandamiza wananchi

    Jun 25, 2019 03:17

    Kamishna Mkuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amewataka wanajeshi wa Sudan waache mara moja kuwakandamiza raia.

  • HRW: Saudi Arabia inapanga kumnyonga mtafiti Hassan al Maliki

    HRW: Saudi Arabia inapanga kumnyonga mtafiti Hassan al Maliki

    Jun 24, 2019 05:23

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rigths Watch limetangaza kuwa utawala wa Saudi Arabia unakusudia kumhukumu na kumnyonga msomi na mtafiti maarufu Hassan Farhan al Maliki.

  • UN: Eritrea imeshindwa kueleza waliko wanasiasa na wanahabari waliotoweka

    UN: Eritrea imeshindwa kueleza waliko wanasiasa na wanahabari waliotoweka

    Mar 30, 2019 07:54

    Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamesema serikali ya Eritrea imeshindwa kutoa ufafanuzi kuhusu waliko wanaharakati wa kisiasa na waandishi wa habari waliokamatwa na maafisa usalama au waliotoweka katika mazingira ya kutatanisha nchini humo.

  • Marekani yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, mara hii ni kwa kisingizio cha haki za binadamu

    Marekani yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, mara hii ni kwa kisingizio cha haki za binadamu

    Mar 15, 2019 16:28

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetoa ripoti yake ya kila mwaka kuhusu hali ya haki za binadamu katika nchi mbalimbali na kwa mara nyingine tena imedai kuwa, hali ya haki za binadamu nchini Iran imekuwa mbaya zaidi.

  • Iran: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu

    Iran: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu

    Mar 15, 2019 07:20

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu za wananchi wa Iran, kwani kwa kuwatwisha vikwazo vyake haramu vya nje ya mipaka na vya upande mmoja, Washington haijasita kuchukua hatua yoyote ya kukanyaga haki za raia wa Iran.

  • Amnesty International yaitaka Saudia iwaachie huru wanaharakati wa kike

    Amnesty International yaitaka Saudia iwaachie huru wanaharakati wa kike

    Mar 08, 2019 13:46

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitisha maandamano mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Paris huko Ufaransa kulalamikia hatua ya serikali ya Riyadh ya kuendelea kuwashikilia wanaharakati wa kike wa kutetea haki za binadamu.

  • Umoja wa Mataifa: Iran inaongoza kuhusu kuheshimu haki za binaadamu magharibi mwa Asia

    Umoja wa Mataifa: Iran inaongoza kuhusu kuheshimu haki za binaadamu magharibi mwa Asia

    Mar 07, 2019 02:54

    Naibu Kamishna Mkuu wa Haki za Binaadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Iran ni moja ya nchi zinazoongoza kuhusiana na suala la kuheshimiwa haki za binaadamu katika eneo la magharibi mwa Asia na kuongeza kuwa, wanawake wa Iran wako katika mstari wa mbele katika nyanja tofauti.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS