-
HRW, Amnesty zataka kufungwa vituo vya kuwazuilia wahajiri Libya
Jul 12, 2019 15:18Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch, Amnesty International na Baraza la Ulaya la Wakimbizi na Wahajiri (ECRE) yametoa mwito wa kufungwa kambi za kuwazuilia wakimbizi na wahajiri nchini Libya.
-
Wanaharakati mjini London, Uingereza wataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky
Jul 10, 2019 04:20Wanaharakati wa Kiislamu na wa haki za binadamu mjini London Uingereza wamelaani vikali kuendelea kushikiliwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria pamoja na mkewe na kutoa wito wa kuachiliwa huru wawili hao.
-
Amir Abdolahian: Njia ya chini ya ardhi ya Msikiti wa al Aqsa ni uvunjaji wa wazi wa haki za binadamu
Jul 04, 2019 02:41Katibu Mkuu wa Mkutano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Palestina amesema kuwa, kufunguliwa njia ya chini ya ardhi inayopitia chini ya Msikiti wa al Aqsa ni uvunjaji wa wazi wa sheria za kimataifa na maazimio ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO).
-
UN yalitaka jeshi la Sudan liache kukandamiza wananchi
Jun 25, 2019 03:17Kamishna Mkuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amewataka wanajeshi wa Sudan waache mara moja kuwakandamiza raia.
-
HRW: Saudi Arabia inapanga kumnyonga mtafiti Hassan al Maliki
Jun 24, 2019 05:23Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rigths Watch limetangaza kuwa utawala wa Saudi Arabia unakusudia kumhukumu na kumnyonga msomi na mtafiti maarufu Hassan Farhan al Maliki.
-
UN: Eritrea imeshindwa kueleza waliko wanasiasa na wanahabari waliotoweka
Mar 30, 2019 07:54Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamesema serikali ya Eritrea imeshindwa kutoa ufafanuzi kuhusu waliko wanaharakati wa kisiasa na waandishi wa habari waliokamatwa na maafisa usalama au waliotoweka katika mazingira ya kutatanisha nchini humo.
-
Marekani yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, mara hii ni kwa kisingizio cha haki za binadamu
Mar 15, 2019 16:28Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetoa ripoti yake ya kila mwaka kuhusu hali ya haki za binadamu katika nchi mbalimbali na kwa mara nyingine tena imedai kuwa, hali ya haki za binadamu nchini Iran imekuwa mbaya zaidi.
-
Iran: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu
Mar 15, 2019 07:20Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu za wananchi wa Iran, kwani kwa kuwatwisha vikwazo vyake haramu vya nje ya mipaka na vya upande mmoja, Washington haijasita kuchukua hatua yoyote ya kukanyaga haki za raia wa Iran.
-
Amnesty International yaitaka Saudia iwaachie huru wanaharakati wa kike
Mar 08, 2019 13:46Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitisha maandamano mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Paris huko Ufaransa kulalamikia hatua ya serikali ya Riyadh ya kuendelea kuwashikilia wanaharakati wa kike wa kutetea haki za binadamu.
-
Umoja wa Mataifa: Iran inaongoza kuhusu kuheshimu haki za binaadamu magharibi mwa Asia
Mar 07, 2019 02:54Naibu Kamishna Mkuu wa Haki za Binaadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Iran ni moja ya nchi zinazoongoza kuhusiana na suala la kuheshimiwa haki za binaadamu katika eneo la magharibi mwa Asia na kuongeza kuwa, wanawake wa Iran wako katika mstari wa mbele katika nyanja tofauti.