Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Mashirika ya haki za Binadamu: Mwaka huu pekee, Saudia imenyonga wapinzani 130 wa Bin Salman

    Mashirika ya haki za Binadamu: Mwaka huu pekee, Saudia imenyonga wapinzani 130 wa Bin Salman

    Sep 13, 2019 22:38

    Shirika la kupinga adhabu ya kifo limetangaza kuwa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia umenyonga watu zaidi ya 130 katika mwaka huu, aghlabu yao wakiwa wapinzani wa mrithi wa ufalme wa nchi hiyo, Muhammad bin Salman.

  • Kamisheni ya Haki za Binadamu: Saudia imehusika katika mauaji ya Waislamu Nigeria

    Kamisheni ya Haki za Binadamu: Saudia imehusika katika mauaji ya Waislamu Nigeria

    Sep 11, 2019 02:24

    Mkuu wa Kamisheni ya Kiislamu ya Haki za Binadamu (IHRC) yenye makao makuu yake mjini London, Uingereza amesema ni mantiki kuhukumu kuwa kulikweko na mkono wa Saudi Arabia katika mauaji ya Waislamu waliokuwa katika maombolezo ya Siku ya Ashura (tarehe 10 Muharram) wakikumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw), Imam Hussein AS hapo jana nchini Nigeria.

  • Waziri wa Ujerumani ayataja mauaji ya kipindi cha ukoloni Namibia kuwa ni

    Waziri wa Ujerumani ayataja mauaji ya kipindi cha ukoloni Namibia kuwa ni "mauaji ya kimbari"

    Sep 02, 2019 22:36

    Waziri wa Ushirikiano wa Uchumi na Maendeleo wa Ujerumani ameyataja mauaji yaliyofanywa na Wajerumani dhidi ya watu wa makabila la Herero na Nama huko Namibia, zaidi ya karne moja iliyopita, kuwa yalikuwa mauaji ya kimbari.

  • Wanaharakati wa haki za binadamu waikosoa Microsoft kwa kushirikiana na kampuni ya Israel

    Wanaharakati wa haki za binadamu waikosoa Microsoft kwa kushirikiana na kampuni ya Israel

    Aug 07, 2019 02:10

    Mashirika na jumuia za kutetea haki za binadamu zimeikosoa kampuni ya Kimarekani ya Microsoft kwa kuwekeza katika kampuni ya Kizayuni ya AnyVision.

  • Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Haki za Binadamu za Kiislamu waanza Tehran

    Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Haki za Binadamu za Kiislamu waanza Tehran

    Aug 04, 2019 09:45

    Mkutano wa Nne wa Kimataifa wa Haki za Binadamu za Kiislamu umeanza leo mjini Tehran ukihudhuriwa na wataalamu wa Kiirani na wasomi na wanafikra kutoka nchi za Kiislamu.

  • HRW, Amnesty zataka kufungwa vituo vya kuwazuilia wahajiri Libya

    HRW, Amnesty zataka kufungwa vituo vya kuwazuilia wahajiri Libya

    Jul 12, 2019 10:48

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya Human Rights Watch, Amnesty International na Baraza la Ulaya la Wakimbizi na Wahajiri (ECRE) yametoa mwito wa kufungwa kambi za kuwazuilia wakimbizi na wahajiri nchini Libya.

  • Wanaharakati mjini London, Uingereza wataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Wanaharakati mjini London, Uingereza wataka kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky

    Jul 09, 2019 23:50

    Wanaharakati wa Kiislamu na wa haki za binadamu mjini London Uingereza wamelaani vikali kuendelea kushikiliwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria pamoja na mkewe na kutoa wito wa kuachiliwa huru wawili hao.

  • Amir Abdolahian: Njia ya chini ya ardhi ya Msikiti wa al Aqsa ni uvunjaji wa wazi wa haki za binadamu

    Amir Abdolahian: Njia ya chini ya ardhi ya Msikiti wa al Aqsa ni uvunjaji wa wazi wa haki za binadamu

    Jul 03, 2019 22:11

    Katibu Mkuu wa Mkutano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Palestina amesema kuwa, kufunguliwa njia ya chini ya ardhi inayopitia chini ya Msikiti wa al Aqsa ni uvunjaji wa wazi wa sheria za kimataifa na maazimio ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO).

  • UN yalitaka jeshi la Sudan liache kukandamiza wananchi

    UN yalitaka jeshi la Sudan liache kukandamiza wananchi

    Jun 24, 2019 22:47

    Kamishna Mkuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa amewataka wanajeshi wa Sudan waache mara moja kuwakandamiza raia.

  • HRW: Saudi Arabia inapanga kumnyonga mtafiti Hassan al Maliki

    HRW: Saudi Arabia inapanga kumnyonga mtafiti Hassan al Maliki

    Jun 24, 2019 00:53

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rigths Watch limetangaza kuwa utawala wa Saudi Arabia unakusudia kumhukumu na kumnyonga msomi na mtafiti maarufu Hassan Farhan al Maliki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS