Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • El Baradei akosoa ukandamizaji dhidi ya wafungwa wa kisiasa Misri

    El Baradei akosoa ukandamizaji dhidi ya wafungwa wa kisiasa Misri

    Mar 04, 2019 02:40

    Makamu wa zamani wa rais wa Misri amekosoa ukandamizaji unaofanywa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya wafungwa wa kisiasa ikiwa ni pamoja na kuzuia familia za wafungwa hao kuwatembelea korokoroni kwa kipindi kirefu.

  • Amnesty International: Idadi ya wakimbizi wa Kisaudia nje ya nchi inaongezeka

    Amnesty International: Idadi ya wakimbizi wa Kisaudia nje ya nchi inaongezeka

    Feb 17, 2019 04:35

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, idadi ya raia wa Saudi Arabia wanaoomba hifadhi na ukimbizi katika nchi mbalimbali duniani inaendelea kuongezeka na kwamba, hiyo ni ishara ya kuporomoka sana uhuru wa kiraia, kijamii na kidini nchini humo.

  • Hali ya haki za binadamu Bahrain ni mbaya sana

    Hali ya haki za binadamu Bahrain ni mbaya sana

    Feb 13, 2019 02:32

    Kamati ya Kimatiafa ya Haki za Binadamu Eneo la Asia Magharibi imesema hali ya haki za binadamu inazidi kuwa mbaya nchini Bahrain ambapo ukoo wa Aal Khalifa ambao unatawala nchi hiyo umehusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.

  • HRW: Jeshi la Burkina Faso limewaua watuhumiwa mbele ya familia zao

    HRW: Jeshi la Burkina Faso limewaua watuhumiwa mbele ya familia zao

    Feb 06, 2019 15:25

    Mashiriki ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yamelituhumu jeshi la serikali ya Burkina Faso kuwa limewaua kinyama watuhumiwa wa vitendo vya kigaidi tena mbele ya watu wa familia zao.

  • Marekani yashindwa kuzuia uteuzi wa Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN

    Marekani yashindwa kuzuia uteuzi wa Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN

    Feb 01, 2019 02:21

    Jarida la Marekani la Foreign Policy limefichua kwamba, kabla ya kuteuliwa Michelle Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Marekani ilifanya jitihada kubwa za kuzuia uteuzi huo lakini jitihada hizo zimeambulia patupu.

  • Umoja wa Mataifa waunda timu ya kuchunguza mauaji ya Khashoggi

    Umoja wa Mataifa waunda timu ya kuchunguza mauaji ya Khashoggi

    Jan 26, 2019 02:58

    Umoja wa Mataifa umewaarifisha wajumbe wa timu yake ya kimataifa itakayochunguza mauaji ya mwandishi habari mkosoaji wa utawala wa Al Saud.

  • Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Jan 19, 2019 03:06

    Katika ripoti yake ya hivi karibuni, shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa hali ya haki za binadamu katika nchi tatu za Saudi Arabia, Imarati na Bahrain ni ya kutisha mno.

  • Kukamatwa mtangazaji wa Press TV; kashfa mpya ya ukiukaji wa haki za binadamu wa Marekani

    Kukamatwa mtangazaji wa Press TV; kashfa mpya ya ukiukaji wa haki za binadamu wa Marekani

    Jan 17, 2019 08:20

    Marekani siku zote imekuwa ikijinadi kuwa moja ya nchi kuu zinazounga mkono uhuru na haki za binadamu duniani na mara kwa mara imekuwa ikizituhumu nchi nyingine kuwa zinakiuka haki za binadamu. Lakini kinyume chake, Marekani ni moja ya nchi zinazokiuka pakubwa haki za binadamu ulimwenguni.

  • UNODC: Idadi ya waathirika wa magendo ya binadamu imeongezeka

    UNODC: Idadi ya waathirika wa magendo ya binadamu imeongezeka

    Jan 08, 2019 07:36

    Idadi ya waathirika wa usafirishaji haramu wa binadamu imeongezeka, huku idadi ya makundi yaliyojizatiti kwa silaha na magaidi yakiendelea kusafirisha wanawake na watoto kwa ajili ya kupata fedha na kuwaandikisha kama wafuasi.

  • Amnesty: Ukandamizaji umefikia kileleni Misri katika utawala wa al Sisi

    Amnesty: Ukandamizaji umefikia kileleni Misri katika utawala wa al Sisi

    Jan 05, 2019 15:19

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeripoti kuwa, ukandamizaji wa haki ya kujieleza umefikia kileleni katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa Misri, Abbel Fattah al Sisi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS