Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • UN: Eritrea imeshindwa kueleza waliko wanasiasa na wanahabari waliotoweka

    UN: Eritrea imeshindwa kueleza waliko wanasiasa na wanahabari waliotoweka

    Mar 30, 2019 03:24

    Wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamesema serikali ya Eritrea imeshindwa kutoa ufafanuzi kuhusu waliko wanaharakati wa kisiasa na waandishi wa habari waliokamatwa na maafisa usalama au waliotoweka katika mazingira ya kutatanisha nchini humo.

  • Marekani yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, mara hii ni kwa kisingizio cha haki za binadamu

    Marekani yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, mara hii ni kwa kisingizio cha haki za binadamu

    Mar 15, 2019 12:58

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetoa ripoti yake ya kila mwaka kuhusu hali ya haki za binadamu katika nchi mbalimbali na kwa mara nyingine tena imedai kuwa, hali ya haki za binadamu nchini Iran imekuwa mbaya zaidi.

  • Iran: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu

    Iran: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu

    Mar 15, 2019 03:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Serikali ya Marekani ndiyo mkiukaji mkubwa kabisa wa haki za binadamu za wananchi wa Iran, kwani kwa kuwatwisha vikwazo vyake haramu vya nje ya mipaka na vya upande mmoja, Washington haijasita kuchukua hatua yoyote ya kukanyaga haki za raia wa Iran.

  • Amnesty International yaitaka Saudia iwaachie huru wanaharakati wa kike

    Amnesty International yaitaka Saudia iwaachie huru wanaharakati wa kike

    Mar 08, 2019 10:16

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitisha maandamano mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Paris huko Ufaransa kulalamikia hatua ya serikali ya Riyadh ya kuendelea kuwashikilia wanaharakati wa kike wa kutetea haki za binadamu.

  • Umoja wa Mataifa: Iran inaongoza kuhusu kuheshimu haki za binaadamu magharibi mwa Asia

    Umoja wa Mataifa: Iran inaongoza kuhusu kuheshimu haki za binaadamu magharibi mwa Asia

    Mar 06, 2019 23:24

    Naibu Kamishna Mkuu wa Haki za Binaadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Iran ni moja ya nchi zinazoongoza kuhusiana na suala la kuheshimiwa haki za binaadamu katika eneo la magharibi mwa Asia na kuongeza kuwa, wanawake wa Iran wako katika mstari wa mbele katika nyanja tofauti.

  • El Baradei akosoa ukandamizaji dhidi ya wafungwa wa kisiasa Misri

    El Baradei akosoa ukandamizaji dhidi ya wafungwa wa kisiasa Misri

    Mar 03, 2019 23:10

    Makamu wa zamani wa rais wa Misri amekosoa ukandamizaji unaofanywa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya wafungwa wa kisiasa ikiwa ni pamoja na kuzuia familia za wafungwa hao kuwatembelea korokoroni kwa kipindi kirefu.

  • Amnesty International: Idadi ya wakimbizi wa Kisaudia nje ya nchi inaongezeka

    Amnesty International: Idadi ya wakimbizi wa Kisaudia nje ya nchi inaongezeka

    Feb 17, 2019 01:05

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, idadi ya raia wa Saudi Arabia wanaoomba hifadhi na ukimbizi katika nchi mbalimbali duniani inaendelea kuongezeka na kwamba, hiyo ni ishara ya kuporomoka sana uhuru wa kiraia, kijamii na kidini nchini humo.

  • Hali ya haki za binadamu Bahrain ni mbaya sana

    Hali ya haki za binadamu Bahrain ni mbaya sana

    Feb 12, 2019 23:02

    Kamati ya Kimatiafa ya Haki za Binadamu Eneo la Asia Magharibi imesema hali ya haki za binadamu inazidi kuwa mbaya nchini Bahrain ambapo ukoo wa Aal Khalifa ambao unatawala nchi hiyo umehusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu.

  • HRW: Jeshi la Burkina Faso limewaua watuhumiwa mbele ya familia zao

    HRW: Jeshi la Burkina Faso limewaua watuhumiwa mbele ya familia zao

    Feb 06, 2019 11:55

    Mashiriki ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yamelituhumu jeshi la serikali ya Burkina Faso kuwa limewaua kinyama watuhumiwa wa vitendo vya kigaidi tena mbele ya watu wa familia zao.

  • Marekani yashindwa kuzuia uteuzi wa Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN

    Marekani yashindwa kuzuia uteuzi wa Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN

    Jan 31, 2019 22:51

    Jarida la Marekani la Foreign Policy limefichua kwamba, kabla ya kuteuliwa Michelle Bachelet kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Marekani ilifanya jitihada kubwa za kuzuia uteuzi huo lakini jitihada hizo zimeambulia patupu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS