Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Afungwa miaka mitano jela kwa kusema tu Wayemen wanaonewa

    Afungwa miaka mitano jela kwa kusema tu Wayemen wanaonewa

    Dec 31, 2018 13:37

    Ikiwa ni kuendeleza dhulma yake isiyo na kifani, utawala wa kiimla wa ukoo wa Aal Khalifa wa nchini Bahrain umemuhukumu kifungo cha miaka mitano jela, mwanaharakati maarufu Nabil Rajab kwa kuandika tu katika mtandao wa Twitter kwamba Wayemen wanadhulumiwa na muungano vamizi wa Saudi Arabia.

  • Haki za binadamu, kuanzia nara hadi matendo

    Haki za binadamu, kuanzia nara hadi matendo

    Dec 12, 2018 11:07

    Jumatatu ya tarehe 10 Disemba wiki hii dunia iliadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu. Hii leo suala la Haki za binadamu limekuwa miongoni mwa mijadala muhimu zaidi katika fikra za walimwengu na kwenye duru mbalimbali za kimataifa.

  • Uganda nayo yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu + Sauti

    Uganda nayo yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu + Sauti

    Dec 10, 2018 18:13

    Uganda imejiunga na nchi nyingine dunia katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki za binadamu. Sherehe hiyo imehutubiwa na Rais Yoweri Museveni wa Uganda ambaye ametangaza mkakati mpya wa kupambana na ufisadi ambao umeutaja kuwa ni sawa na maradhi ya saratani. Kigozi Ismail na ripoti kamili...

  • Kenya yaorodheshwa kati ya nchi zisizochunga haki za binadamu kwa raia + Sauti

    Kenya yaorodheshwa kati ya nchi zisizochunga haki za binadamu kwa raia + Sauti

    Dec 10, 2018 18:07

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeiorodhesha Kenya miongoni mwa mataifa ambayo hayajazingatia kikamilifu haki za raia wake duniani. Ripoti ya shirika hilo iliyozinduliwa leo Jumatatu imeiorodhesha Idara ya Polisi ya Kenya kuwa inaongoza katika ukiukaji wa haki hizo. Mwandishi wetu wa Kenya, Seifullah Murtadhaa anayo maelezo zaidi...

  • Burundi yaiagiza UN ifunge ofisi yake ya haki za binadamu Bujumbura

    Burundi yaiagiza UN ifunge ofisi yake ya haki za binadamu Bujumbura

    Dec 06, 2018 14:54

    Serikali ya Burundi imeliagiza Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa lifunge ofisi yake iliyoko katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bujumbura katika kipindi cha miezi miwili ijayo.

  • Mwanahakari ataka kufanywa uchunguzi maalumu katika jela za Saudia

    Mwanahakari ataka kufanywa uchunguzi maalumu katika jela za Saudia

    Nov 23, 2018 14:50

    Kiongozi wa masuala ya Saudi Arabia katika shirika la haki za binaadamu la Human Rights Watch ametaka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusiana na hali ya wafungwa nchini humo.

  • Kukosolewa siasa za Saudi Arabia zilizo dhidi ya haki za binadamu

    Kukosolewa siasa za Saudi Arabia zilizo dhidi ya haki za binadamu

    Nov 22, 2018 02:39

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limekosoa vikali kutiwa mbaroni watu nchini Saudi Arabia na kuteswa wanaharakati wa haki za binadamu katika magereza ya nchi hiyo.

  • UN: Waislamu wa Rohingya wanakabiliwa na hatari kubwa wakirejeshwa Myanmar

    UN: Waislamu wa Rohingya wanakabiliwa na hatari kubwa wakirejeshwa Myanmar

    Nov 14, 2018 02:39

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Bangladesh kusimamisha mpango wake wa kuwarejesha kwa nguvu nchini Myanmar maelfu ya wakimbizi Waislamu wa Rohingya akisisitiza kuwa maisha yao yatakuwa hatarini.

  • AI: Kadhia ya Khashoggi imedhihirisha unafiki wa Wamagharibi kuhusu Saudia

    AI: Kadhia ya Khashoggi imedhihirisha unafiki wa Wamagharibi kuhusu Saudia

    Nov 03, 2018 14:39

    Msemaji wa shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International amesema kuwa mauaji ya kikatili ya mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi yamedhihirisha wazi unafiki wa Ulaya na Marekani kuhusiana na haki za binadamu nchini Saudi Arabia.

  • Kadhia ya mauaji ya Jamal Khashoggi yajadiliwa katika kikao cha haki za binaadamu mjini Paris

    Kadhia ya mauaji ya Jamal Khashoggi yajadiliwa katika kikao cha haki za binaadamu mjini Paris

    Oct 31, 2018 02:27

    Kadhia ya mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari mkoasoaji wa utawala wa Saudi Arabia, imepewa uzingatiaji na kikao cha dunia cha haki za binaadamu mjini Paris, Ufaransa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS