Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Umoja wa Mataifa waunda timu ya kuchunguza mauaji ya Khashoggi

    Umoja wa Mataifa waunda timu ya kuchunguza mauaji ya Khashoggi

    Jan 25, 2019 23:28

    Umoja wa Mataifa umewaarifisha wajumbe wa timu yake ya kimataifa itakayochunguza mauaji ya mwandishi habari mkosoaji wa utawala wa Al Saud.

  • Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Pembetatu ya kuzua mivutano katika Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi

    Jan 18, 2019 23:36

    Katika ripoti yake ya hivi karibuni, shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuwa hali ya haki za binadamu katika nchi tatu za Saudi Arabia, Imarati na Bahrain ni ya kutisha mno.

  • Kukamatwa mtangazaji wa Press TV; kashfa mpya ya ukiukaji wa haki za binadamu wa Marekani

    Kukamatwa mtangazaji wa Press TV; kashfa mpya ya ukiukaji wa haki za binadamu wa Marekani

    Jan 17, 2019 04:50

    Marekani siku zote imekuwa ikijinadi kuwa moja ya nchi kuu zinazounga mkono uhuru na haki za binadamu duniani na mara kwa mara imekuwa ikizituhumu nchi nyingine kuwa zinakiuka haki za binadamu. Lakini kinyume chake, Marekani ni moja ya nchi zinazokiuka pakubwa haki za binadamu ulimwenguni.

  • UNODC: Idadi ya waathirika wa magendo ya binadamu imeongezeka

    UNODC: Idadi ya waathirika wa magendo ya binadamu imeongezeka

    Jan 08, 2019 04:06

    Idadi ya waathirika wa usafirishaji haramu wa binadamu imeongezeka, huku idadi ya makundi yaliyojizatiti kwa silaha na magaidi yakiendelea kusafirisha wanawake na watoto kwa ajili ya kupata fedha na kuwaandikisha kama wafuasi.

  • Amnesty: Ukandamizaji umefikia kileleni Misri katika utawala wa al Sisi

    Amnesty: Ukandamizaji umefikia kileleni Misri katika utawala wa al Sisi

    Jan 05, 2019 11:49

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeripoti kuwa, ukandamizaji wa haki ya kujieleza umefikia kileleni katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa Misri, Abbel Fattah al Sisi.

  • Afungwa miaka mitano jela kwa kusema tu Wayemen wanaonewa

    Afungwa miaka mitano jela kwa kusema tu Wayemen wanaonewa

    Dec 31, 2018 10:07

    Ikiwa ni kuendeleza dhulma yake isiyo na kifani, utawala wa kiimla wa ukoo wa Aal Khalifa wa nchini Bahrain umemuhukumu kifungo cha miaka mitano jela, mwanaharakati maarufu Nabil Rajab kwa kuandika tu katika mtandao wa Twitter kwamba Wayemen wanadhulumiwa na muungano vamizi wa Saudi Arabia.

  • Haki za binadamu, kuanzia nara hadi matendo

    Haki za binadamu, kuanzia nara hadi matendo

    Dec 12, 2018 07:37

    Jumatatu ya tarehe 10 Disemba wiki hii dunia iliadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu. Hii leo suala la Haki za binadamu limekuwa miongoni mwa mijadala muhimu zaidi katika fikra za walimwengu na kwenye duru mbalimbali za kimataifa.

  • Uganda nayo yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu + Sauti

    Uganda nayo yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu + Sauti

    Dec 10, 2018 14:43

    Uganda imejiunga na nchi nyingine dunia katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki za binadamu. Sherehe hiyo imehutubiwa na Rais Yoweri Museveni wa Uganda ambaye ametangaza mkakati mpya wa kupambana na ufisadi ambao umeutaja kuwa ni sawa na maradhi ya saratani. Kigozi Ismail na ripoti kamili...

  • Kenya yaorodheshwa kati ya nchi zisizochunga haki za binadamu kwa raia + Sauti

    Kenya yaorodheshwa kati ya nchi zisizochunga haki za binadamu kwa raia + Sauti

    Dec 10, 2018 14:37

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeiorodhesha Kenya miongoni mwa mataifa ambayo hayajazingatia kikamilifu haki za raia wake duniani. Ripoti ya shirika hilo iliyozinduliwa leo Jumatatu imeiorodhesha Idara ya Polisi ya Kenya kuwa inaongoza katika ukiukaji wa haki hizo. Mwandishi wetu wa Kenya, Seifullah Murtadhaa anayo maelezo zaidi...

  • Burundi yaiagiza UN ifunge ofisi yake ya haki za binadamu Bujumbura

    Burundi yaiagiza UN ifunge ofisi yake ya haki za binadamu Bujumbura

    Dec 06, 2018 11:24

    Serikali ya Burundi imeliagiza Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa lifunge ofisi yake iliyoko katika mji mkuu wa nchi hiyo, Bujumbura katika kipindi cha miezi miwili ijayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS