Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Wafungwa wa kisiasa wanakabiliwa na hali mbaya katika jela za Misri

    Wafungwa wa kisiasa wanakabiliwa na hali mbaya katika jela za Misri

    Sep 13, 2018 13:45

    Hali ya wafungwa wa kisiasa nchini Misri miaka mitano baada ya mapinduzi ya kijeshi nchini humo inaripotiwa kuwa mbaya sana.

  • Marekani yakosolewa kwa kuitolea vitisho mahakama ya ICC

    Marekani yakosolewa kwa kuitolea vitisho mahakama ya ICC

    Sep 11, 2018 13:54

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu yameikosoa vikali Marekani kwa kuishambulia na kutishia kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, baada ya korti hiyo yenye makao yake mjini The Hague nchini Uholanzi kusema kuwa itawafungulia mashitaka wanajeshi wa Marekani waliohusika katika jinai za kivita nchini Afghanistan.

  • Kamishna wa Haki za Binadamu wa UN: Wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama hawakuniunga mkono

    Kamishna wa Haki za Binadamu wa UN: Wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama hawakuniunga mkono

    Aug 18, 2018 04:14

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa anayemaliza muda wake amesema hana hamu ya kuendelea kuhudumu katika wadhifa huo kutokana na kukosa uungaji mkono wa nchi tano wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la umoja huo kwa taasisi aliyokuwa akiiongoza.

  • AI: Kutenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao Marekani ni jinai mbaya zaidi duniani

    AI: Kutenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao Marekani ni jinai mbaya zaidi duniani

    Aug 17, 2018 03:22

    Mkurugenzi Mkuu mpya wa shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International (AI) amesema kuwa, hatua iliyochukuliwa na serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuwatenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri ni miongoni mwa jinai mbaya zaidi zilizowahi kushuhudiwa duniani.

  •  Michelle Bachelet aidhinishwa rasmi kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu UN

    Michelle Bachelet aidhinishwa rasmi kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu UN

    Aug 11, 2018 07:41

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limemuidhinisha rais wa zamani wa Chile Michelle Bachelet kuwa Kamishna Mkuu mpya wa Haki za Binadamu wa umoja huo.

  • Kongamano la Tatu la Haki za Binadamu kwa Mtazamo wa Kiislamu laanza Tehran

    Kongamano la Tatu la Haki za Binadamu kwa Mtazamo wa Kiislamu laanza Tehran

    Aug 04, 2018 08:14

    Kongamano la Tatu la Kimataifa la Haki za Binadamu za Kiislamu limeanza leo katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran.

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Saudia

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Saudia

    Jul 31, 2018 14:32

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa kuendelea kukamatwa wapinzani wa serikali nchini Saudi Arabia.

  • Mpango wa jeshi la Myanmar wa kuwaua Waislamu wa Rohingya

    Mpango wa jeshi la Myanmar wa kuwaua Waislamu wa Rohingya

    Jul 20, 2018 07:41

    Shirika la kutetea haki za binadamu la eneo la Asia, limetangaza kwamba ukatili na mauaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya yaliyofanywa na jeshi la Myanmar yaliratibiwa mapema na kutekelezwa kwa mpangilio maalumu.

  • Ayatullah Amoli Larijani: Ni Jukumu la Waislamu kuonyesha sura khabithi ya Marekani

    Ayatullah Amoli Larijani: Ni Jukumu la Waislamu kuonyesha sura khabithi ya Marekani

    Jul 03, 2018 04:55

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran ameashiria jinai za Marekani nchini Iran na Yemen na kujitoa serikali ya Rais Donald Trump katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa na kusema kuwa, hatua za serikali ya Washington ni za kibabe.

  • Human Rights Watch yakosoa sera za Donald Trump

    Human Rights Watch yakosoa sera za Donald Trump

    Jun 30, 2018 07:51

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali sera za hivi karibuni za serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS