-
Mwanahakari ataka kufanywa uchunguzi maalumu katika jela za Saudia
Nov 23, 2018 11:20Kiongozi wa masuala ya Saudi Arabia katika shirika la haki za binaadamu la Human Rights Watch ametaka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusiana na hali ya wafungwa nchini humo.
-
Kukosolewa siasa za Saudi Arabia zilizo dhidi ya haki za binadamu
Nov 21, 2018 23:09Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limekosoa vikali kutiwa mbaroni watu nchini Saudi Arabia na kuteswa wanaharakati wa haki za binadamu katika magereza ya nchi hiyo.
-
UN: Waislamu wa Rohingya wanakabiliwa na hatari kubwa wakirejeshwa Myanmar
Nov 13, 2018 23:09Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Bangladesh kusimamisha mpango wake wa kuwarejesha kwa nguvu nchini Myanmar maelfu ya wakimbizi Waislamu wa Rohingya akisisitiza kuwa maisha yao yatakuwa hatarini.
-
AI: Kadhia ya Khashoggi imedhihirisha unafiki wa Wamagharibi kuhusu Saudia
Nov 03, 2018 11:09Msemaji wa shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International amesema kuwa mauaji ya kikatili ya mkosoaji wa utawala wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi yamedhihirisha wazi unafiki wa Ulaya na Marekani kuhusiana na haki za binadamu nchini Saudi Arabia.
-
Kadhia ya mauaji ya Jamal Khashoggi yajadiliwa katika kikao cha haki za binaadamu mjini Paris
Oct 30, 2018 22:57Kadhia ya mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari mkoasoaji wa utawala wa Saudi Arabia, imepewa uzingatiaji na kikao cha dunia cha haki za binaadamu mjini Paris, Ufaransa.
-
Wafungwa wa kisiasa wanakabiliwa na hali mbaya katika jela za Misri
Sep 13, 2018 09:15Hali ya wafungwa wa kisiasa nchini Misri miaka mitano baada ya mapinduzi ya kijeshi nchini humo inaripotiwa kuwa mbaya sana.
-
Marekani yakosolewa kwa kuitolea vitisho mahakama ya ICC
Sep 11, 2018 09:24Mashirika ya kutetea haki za binadamu yameikosoa vikali Marekani kwa kuishambulia na kutishia kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, baada ya korti hiyo yenye makao yake mjini The Hague nchini Uholanzi kusema kuwa itawafungulia mashitaka wanajeshi wa Marekani waliohusika katika jinai za kivita nchini Afghanistan.
-
Kamishna wa Haki za Binadamu wa UN: Wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama hawakuniunga mkono
Aug 17, 2018 23:44Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa anayemaliza muda wake amesema hana hamu ya kuendelea kuhudumu katika wadhifa huo kutokana na kukosa uungaji mkono wa nchi tano wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la umoja huo kwa taasisi aliyokuwa akiiongoza.
-
AI: Kutenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao Marekani ni jinai mbaya zaidi duniani
Aug 16, 2018 22:52Mkurugenzi Mkuu mpya wa shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International (AI) amesema kuwa, hatua iliyochukuliwa na serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuwatenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri ni miongoni mwa jinai mbaya zaidi zilizowahi kushuhudiwa duniani.
-
Michelle Bachelet aidhinishwa rasmi kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu UN
Aug 11, 2018 03:11Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limemuidhinisha rais wa zamani wa Chile Michelle Bachelet kuwa Kamishna Mkuu mpya wa Haki za Binadamu wa umoja huo.