Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Kongamano la Tatu la Haki za Binadamu kwa Mtazamo wa Kiislamu laanza Tehran

    Kongamano la Tatu la Haki za Binadamu kwa Mtazamo wa Kiislamu laanza Tehran

    Aug 04, 2018 03:44

    Kongamano la Tatu la Kimataifa la Haki za Binadamu za Kiislamu limeanza leo katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran.

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Saudia

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Saudia

    Jul 31, 2018 10:02

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa kuendelea kukamatwa wapinzani wa serikali nchini Saudi Arabia.

  • Mpango wa jeshi la Myanmar wa kuwaua Waislamu wa Rohingya

    Mpango wa jeshi la Myanmar wa kuwaua Waislamu wa Rohingya

    Jul 20, 2018 03:11

    Shirika la kutetea haki za binadamu la eneo la Asia, limetangaza kwamba ukatili na mauaji dhidi ya Waislamu wa Rohingya yaliyofanywa na jeshi la Myanmar yaliratibiwa mapema na kutekelezwa kwa mpangilio maalumu.

  • Ayatullah Amoli Larijani: Ni Jukumu la Waislamu kuonyesha sura khabithi ya Marekani

    Ayatullah Amoli Larijani: Ni Jukumu la Waislamu kuonyesha sura khabithi ya Marekani

    Jul 03, 2018 00:25

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran ameashiria jinai za Marekani nchini Iran na Yemen na kujitoa serikali ya Rais Donald Trump katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa na kusema kuwa, hatua za serikali ya Washington ni za kibabe.

  • Human Rights Watch yakosoa sera za Donald Trump

    Human Rights Watch yakosoa sera za Donald Trump

    Jun 30, 2018 03:21

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali sera za hivi karibuni za serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Mashirika 20 ya kimataifa yaandika barua kupinga madai ya Marekani kuhusu Baraza la Haki za Binadamu

    Mashirika 20 ya kimataifa yaandika barua kupinga madai ya Marekani kuhusu Baraza la Haki za Binadamu

    Jun 25, 2018 10:12

    Mashirika 20 ya kimataifa yasiyo ya kiserikali yamepinga madai ya Marekani kuhusu sababu zilizoifanya Washington ijitoe katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa na yametetea utendaji wa baraza hilo.

  • EuroMed Rights: Ukatili dhidi ya wahajiri unaongezeka barani Ulaya

    EuroMed Rights: Ukatili dhidi ya wahajiri unaongezeka barani Ulaya

    Jun 22, 2018 00:22

    Shirika la kutetea haki za binadamu Ulaya na Mediterania, (EuroMed Rights) limetahadharisha kuhusu ongezeko la ukatili na vitendo vya kutumia mabavu dhidi ya wahajiri katika nchi za Ulaya na limeutaka Umoja wa Ulaya (EU) kukabiliana na ubaguzi barani humo.

  • Human Rights Watch: Saudia inawatia nguvuni watetezi wa haki za binadamu

    Human Rights Watch: Saudia inawatia nguvuni watetezi wa haki za binadamu

    Jun 21, 2018 03:04

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limelaani hatua ya Saudi Arabia ya kuwatia nguvuni wanaharakati wa kutetea haki za wanawake na kusisitiza kuwa, kamatakamata hiyo inafanyika katika wimbi la hivi karibini la kukabiliana na watetezi wa haki za binadamu.

  • Qatar yaishtaki Imarati katika mahakama ya haki za binadamu ya UN

    Qatar yaishtaki Imarati katika mahakama ya haki za binadamu ya UN

    Jun 12, 2018 09:20

    Qatar imewasilisha faili la kesi dhidi ya Umoja wa Falme za Kiarabu, katika mahakama ya juu zaidi ya Umoja wa Mataifa, ikiituhumu Abu Dhabi kwamba imekiuka haki za binadamu za wananchi wa Qatar, huku mgogoro wa nchi hizo za Kiarabu ukielekea kutimiza mwaka mmoja.

  • HRW: Maelfu wanazuiliwa kwa muda mrefu Saudia bila kufunguliwa mashitaka

    HRW: Maelfu wanazuiliwa kwa muda mrefu Saudia bila kufunguliwa mashitaka

    May 06, 2018 02:59

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limekosoa ukiujaki wa haki za binadamu unaofanywa nchini Saudi Arabia na haswa hatua ya utawala wa Aal-Saud ya kuwazuilia kwa vipindi virefu watuhuma wa makosa mbalimbali pasina kuwafungulia mashitaka.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS