Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Mkuu wa Kituo cha Haki za Binadamu Bahrain: Hukumu dhidi ya wapinzani ni ulipizaji kisasi

    Mkuu wa Kituo cha Haki za Binadamu Bahrain: Hukumu dhidi ya wapinzani ni ulipizaji kisasi

    Jan 25, 2018 13:36

    Mkuu wa Kituo cha Haki za Binadamu cha nchini Bahrain amesema kuwa hukumu zilizotolewa na mahakama dhidi ya wapinzani nchini humo ni za kisiasa na ulipizaji kisasi.

  • Zarif: Uhai na kifo cha baadhi ya nchi zinazopakana Iran unategemea amri ya madola makubwa

    Zarif: Uhai na kifo cha baadhi ya nchi zinazopakana Iran unategemea amri ya madola makubwa

    Dec 16, 2017 15:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema uhai na kifo cha baadhi ya tawala zinazopakana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unategemea maamuzi ya madola makubwa au Shirika la Kijeshi ya Nchi za Magharibi (NATO), au madola makubwa ya nyuklia.

  • HRW: Polisi wa Kenya waliwabaka wanawake wakati wa uchaguzi

    HRW: Polisi wa Kenya waliwabaka wanawake wakati wa uchaguzi

    Dec 14, 2017 15:53

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema makumi ya wanawake walibakwa na maafisa wa polisi wakati wa msimu wa uchaguzi mkuu mwaka huu nchini Kenya.

  • UN yaeleza wasiwasi kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Libya

    UN yaeleza wasiwasi kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Libya

    Dec 11, 2017 13:43

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ameeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanyika nchini humo.

  • Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-11

    Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi na sauti-11

    Oct 31, 2017 13:14

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 11 ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.

  • Qassemi: Ripoti ya Asma Jahangir imetayarishwa kwa malengo ya kisiasa

    Qassemi: Ripoti ya Asma Jahangir imetayarishwa kwa malengo ya kisiasa

    Oct 27, 2017 04:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa ripoti iliyotayarishwa na ripota maalumu wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kuhusu Iran ni ya kichochezi na haina hadhi wala uhalali.

  • Larijani: Nchi zinazodai kutetea haki za binadamu zina rekodi mbaya katika uwanja huo

    Larijani: Nchi zinazodai kutetea haki za binadamu zina rekodi mbaya katika uwanja huo

    Oct 25, 2017 07:26

    Katibu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Idara ya Mahakama nchini Iran amesema kuwa nchi zinazodai kutetea haki za binadamu ikiwemo Marekani zina faili chafu sana katika uwanja wa haki za binadamu na mikono yao imejaa damu za watu wa eneo la Mashariki ya Kati hususan huko Yemen, Iraq, Bahrain na Syria.

  • Kuwakirimu wazee ni wajibu wetu sote

    Kuwakirimu wazee ni wajibu wetu sote

    Oct 07, 2017 12:01

    Tarehe Mosi Oktoba dunia iliadhimisha Siku ya Wazee Duniani.

  • Utawala wa Kizayuni umekumbwa na wasiwasi kufuatia kuwekwa katika orodha nyeusi ya UN

    Utawala wa Kizayuni umekumbwa na wasiwasi kufuatia kuwekwa katika orodha nyeusi ya UN

    Sep 28, 2017 14:13

    Rais wa Utawala wa Kizayuni amebainisha wasiwasi wake kuhusu orodha iliyotayarishwa na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa dhidi ya utawala huo kuhusu nchi zinazokiuka haki za binadamu.

  • Iran: Historia haitasahau jinai zinazofanywa na Saudia huko Yemen

    Iran: Historia haitasahau jinai zinazofanywa na Saudia huko Yemen

    Sep 24, 2017 03:32

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa historia ya dunia haitasahau jinai na uhalifu mkubwa unaofanywa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS