Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Qassemi: Ripoti ya Asma Jahangir imetayarishwa kwa malengo ya kisiasa

    Qassemi: Ripoti ya Asma Jahangir imetayarishwa kwa malengo ya kisiasa

    Oct 27, 2017 00:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa ripoti iliyotayarishwa na ripota maalumu wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kuhusu Iran ni ya kichochezi na haina hadhi wala uhalali.

  • Larijani: Nchi zinazodai kutetea haki za binadamu zina rekodi mbaya katika uwanja huo

    Larijani: Nchi zinazodai kutetea haki za binadamu zina rekodi mbaya katika uwanja huo

    Oct 25, 2017 03:56

    Katibu wa Tume ya Haki za Binadamu ya Idara ya Mahakama nchini Iran amesema kuwa nchi zinazodai kutetea haki za binadamu ikiwemo Marekani zina faili chafu sana katika uwanja wa haki za binadamu na mikono yao imejaa damu za watu wa eneo la Mashariki ya Kati hususan huko Yemen, Iraq, Bahrain na Syria.

  • Kuwakirimu wazee ni wajibu wetu sote

    Kuwakirimu wazee ni wajibu wetu sote

    Oct 07, 2017 08:31

    Tarehe Mosi Oktoba dunia iliadhimisha Siku ya Wazee Duniani.

  • Utawala wa Kizayuni umekumbwa na wasiwasi kufuatia kuwekwa katika orodha nyeusi ya UN

    Utawala wa Kizayuni umekumbwa na wasiwasi kufuatia kuwekwa katika orodha nyeusi ya UN

    Sep 28, 2017 10:43

    Rais wa Utawala wa Kizayuni amebainisha wasiwasi wake kuhusu orodha iliyotayarishwa na Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa dhidi ya utawala huo kuhusu nchi zinazokiuka haki za binadamu.

  • Iran: Historia haitasahau jinai zinazofanywa na Saudia huko Yemen

    Iran: Historia haitasahau jinai zinazofanywa na Saudia huko Yemen

    Sep 24, 2017 00:02

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa historia ya dunia haitasahau jinai na uhalifu mkubwa unaofanywa na Saudi Arabia dhidi ya watu wa Yemen.

  • Nigeria yaanza kuchunguza ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa na jeshi

    Nigeria yaanza kuchunguza ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa na jeshi

    Sep 12, 2017 22:03

    Tume iliyoundwa na serikali ya Nigeria imeanza kuchunguza ukikwaji wa haki za binadamu uliofanywa na jeshi la nchi hiyo.

  • Iran yapinga ripoti ya Asma Jahangir Kuhusu Haki za Binadamu Nchini

    Iran yapinga ripoti ya Asma Jahangir Kuhusu Haki za Binadamu Nchini

    Sep 04, 2017 03:19

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: ''Ripoti mpya ya Asma Jahangir, mkaguzi maalumu wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kuhusu Iran, imetolewa kwa malengo machafu ya kisiasa na ya kimapendeleo na hivyo Iran haikubali hata kidogo ripoti hiyo."

  • Burundi yalalamikia ripoti ya hivi karibuni ya Baraza la Haki za Binadamu

    Burundi yalalamikia ripoti ya hivi karibuni ya Baraza la Haki za Binadamu

    Sep 03, 2017 09:23

    Wananchi wa Burundi wameilalamikia ripoti ya hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na askari usalama wa nchi hiyo.

  • Mashirika 62 ya haki za binadamu yaishitaki Saudia kwa jinai zake nchini Yemen

    Mashirika 62 ya haki za binadamu yaishitaki Saudia kwa jinai zake nchini Yemen

    Sep 01, 2017 22:01

    Muungano wa kimataifa wa mashirika ya haki za binadamu yasiyo ya kiserikali yameutaka Umoja wa Mataifa kuunda kamati huru ya kuchunguza jinai za kivita na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na utawala wa kiimla wa Saudi Arabia nchini Yemen

  • HRW: Vikosi vya Saudia vimeuzingiria kikamilifu mji wa al-Awamiya

    HRW: Vikosi vya Saudia vimeuzingiria kikamilifu mji wa al-Awamiya

    Aug 13, 2017 09:16

    Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch (HRW) limefichua kuwa vikosi vya usalama vya utawala wa kifalme wa Aal-Saud vimeuzingira kikamilifu mji wa al-Awamiya, ulioko mashariki mwa Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS