Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Serikali ya Misri yatuhumiwa kuua raia katika vituo vya jeshi

    Serikali ya Misri yatuhumiwa kuua raia katika vituo vya jeshi

    Jun 24, 2017 04:40

    Kituo kimoja cha Kiafrika kimeituhumu serikali ya Misri kuwa inaendelea kuwateka nyara, kuwatesa na kuwaua wapinzani wa kisiasa.

  • Qatar yaomba msaada wa Umoja wa Mataifa

    Qatar yaomba msaada wa Umoja wa Mataifa

    Jun 17, 2017 15:33

    Mkuu wa Kamati ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Qatar katika ofisi za Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi ameuomba umoja huo uingilie kati na kutatua mgogoro ulioanzishwa na Saudia, Imarati, Bahrain na Misri dhidi ya nchi yake.

  • Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain chakosoa utendaji haribifu wa utawala wa Aal Khalifa

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain chakosoa utendaji haribifu wa utawala wa Aal Khalifa

    Jun 07, 2017 15:34

    Kituo cha Haki za Binadamu nchini Bahrain kimekosoa na kulaani utendaji wa utawala wa Kifalme wa nchi hiyo wa Aal Khalifa na kutoa wito wa kusitishwa utendaji huo haribifu.

  • Marekani yatishia kujiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Marekani yatishia kujiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Jun 06, 2017 03:27

    Marekani inatazamiwa kutoa ishara leo Jumanne juu ya uwezekano wa kujiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kwa lengo la kuukingia kifua utawala haramu wa Israel.

  • HRW yalaani jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina

    HRW yalaani jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina

    Jun 05, 2017 14:22

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali jinai, ukandamizaji, ubaguzi na ukaliwaji wa mabavu wa ardhi za Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa zaidi ya miongo mitano sasa.

  • Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binaadamu Ulaya: Haki za binaadamu zilianzia nchini Iran na sio Ulaya

    Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binaadamu Ulaya: Haki za binaadamu zilianzia nchini Iran na sio Ulaya

    May 28, 2017 03:44

    Mkuu wa Kamisheni ya Haki za Binaadamu barani Ulaya amesema kuwa, haki za binaadamu zilianzia nchini Iran hususan mji wa Shiraz (kusini wa nchi) uliokuwa mji mkuu wa utamaduni wa dunia.

  • Rais wa Niger: Zichukuliwe hatua za kukabiliana na ukosefu wa usalama Afrika

    Rais wa Niger: Zichukuliwe hatua za kukabiliana na ukosefu wa usalama Afrika

    May 10, 2017 14:21

    Rais Mahamadou Issoufou wa Niger ametoa wito wa kuchukuliwa hatua madhubuti kwa ajili ya kukabiliana na ukosefu wa usalama na wakati huo huo kuungwa mkono suala la haki za binadamu barani Afrika.

  • Kufanyika kikao cha Kamisheni ya Haki za Binadamu na Watu ya Umoja wa Afrika

    Kufanyika kikao cha Kamisheni ya Haki za Binadamu na Watu ya Umoja wa Afrika

    May 10, 2017 12:25

    Kikao cha sitini cha Kamisheni ya Haki za Binadamu na Watu ya Umoja wa Afrika (ACHPR) kimeanza katika mji mkuu wa Niger, Niamey kwa kuhudhuriwa na wawakilishi zaidi ya 600 kutoka nchi mbalimbali za Afrika na za mabara mengine duniani. Kikao hicho kilianza siku ya Jumatatu ya tarehe 8 Mei na kitaendelea kwa muda wa wiki mbili hadi tarehe 22 mwezi huu.

  • Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    Mfululizo wa vipindi vya 'Ukatili wa Mabudha dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar' na Sauti

    May 06, 2017 14:36

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya nne ya makala yanayozungumzia jinai na ukatili wa kutisha unaofanywa na Mabudha wenye kuchupa mipaka dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar.

  • Jinai za ukoo wa Kifalme Bahrain zazidi kulaaniwa

    Jinai za ukoo wa Kifalme Bahrain zazidi kulaaniwa

    May 01, 2017 07:32

    Makundi ya haki za binadamu katika kona mbalimbali za dunia yamelaani jinai za ukoo wa Aal Khalifa dhidi ya wafungwa nchini Bahrain na kuutaka utawala huo kandamizi kuacha kuwanyanyasa wafungwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS