Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Ubelgiji yajuta kuipiga kura Saudia kupewa uanachama wa Kamati ya Haki za Wanawake ya UN

    Ubelgiji yajuta kuipiga kura Saudia kupewa uanachama wa Kamati ya Haki za Wanawake ya UN

    Apr 28, 2017 07:37

    Waziri Mkuu wa Ubelgiji amesema nchi hiyo ya Ulaya inajuta kwa kuiunga mkono Saudi Arabia kupewa uanachama wa Kamati ya Haki za Wanawake ya Umoja wa Mataifa.

  • Kongamano la Kimataifa la Haki za Binadamu lafunguliwa Tehran

    Kongamano la Kimataifa la Haki za Binadamu lafunguliwa Tehran

    Apr 15, 2017 07:31

    Kongamano la Kimataifa la Kiislamu kuhusu Haki za Binadamu linafanyika hapa nchini Iran katika Chuo Kikuu cha Tehran.

  • Amnesty yasema mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni ya jazba

    Amnesty yasema mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni ya jazba

    Apr 12, 2017 07:11

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani vikali hatua ya Marekani ya kukishambulia kituo cha kijeshi cha Syria kwa makombora na kusisitiza kuwa 'mashambulizi hayo ya jazba' sio njia mbadala ya kufanyika uchunguzi wa kina juu ya mashambulizi ya silaha za kemikali katika eneo la Khan Sheikhoun.

  • UN yashangazwa na wito wa Trump wa kuwatesa na kuwanyanyasa washukiwa

    UN yashangazwa na wito wa Trump wa kuwatesa na kuwanyanyasa washukiwa

    Apr 07, 2017 07:24

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na wito wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kutaka kurejeshwa sheria ya kuwatesa watuhumiwa wa jinai mbalimbali.

  • UN: S/Kusini, AU zakwamisha kubuniwa mahakama ya haki za binadamu

    UN: S/Kusini, AU zakwamisha kubuniwa mahakama ya haki za binadamu

    Mar 15, 2017 07:14

    Umoja wa Mataifa umeilaumu serikali ya Juba na Umoja wa Afrika (AU) kuwa zinakwamisha juhudi za kubuniwa mahakama ya kuwapandisha kizimbani wavunjaji wa haki za binadamu nchini Sudan Kusini.

  • Asasi za kiraia zalalamikia ada ya juu ya viza ya kazi Sudan Kusini

    Asasi za kiraia zalalamikia ada ya juu ya viza ya kazi Sudan Kusini

    Mar 12, 2017 07:32

    Asasi za kiraia na mashirika ya kutetea haki za binadamu pamoja na yale ya misaada ya kibinadamu yamekosoa hatua ya serikali ya Sudan Kusini kuongeza malipo ya viza ya kazi kwa kiwango cha juu zaidi.

  • Qassemi: Ripoti ya haki za binadamu dhidi ya Iran ni ya kisiasa na si ya kiadilifu

    Qassemi: Ripoti ya haki za binadamu dhidi ya Iran ni ya kisiasa na si ya kiadilifu

    Mar 09, 2017 16:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitambui rasmi ripoti ya haki za binadamu ambayo imetayarishwa kwa mujibu wa malengo ya kisiasa na matakwa ya baadhi ya nchi.

  • UN yakosoa ukiukwaji wa haki za binadamu katika nchi za Kiarabu

    UN yakosoa ukiukwaji wa haki za binadamu katika nchi za Kiarabu

    Mar 04, 2017 16:12

    Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limetahadharisha kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanyika katika nchi wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi.

  • Iran yataka suala la haki za binadamu lisitumiwe kisiasa

    Iran yataka suala la haki za binadamu lisitumiwe kisiasa

    Mar 01, 2017 07:18

    Sayyid Abbas Araqchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya sheria na ya kimataifa alisema jana kwenye kikao cha Baraza la Haki za binadamu la Umoja wa Mataifa mjini Geneva Uswisi kwamba, ni jambo la dharura kwa suala la haki za binadamu kuepushwa kikamilifu na masuala ya kisiasa.

  • Qassemi: Rasimu ya azimio la Sweden dhidi ya Iran, njama za US, Israel

    Qassemi: Rasimu ya azimio la Sweden dhidi ya Iran, njama za US, Israel

    Feb 19, 2017 07:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mpango wa Sweden wa kuwasilisha katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, rasimu ya azimio dhidi ya Iran ni mwendelezo wa kampeni za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel za kueneza chuki dhidi ya taifa hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS