Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • HRW: Donald Trump ni tishio kwa haki za binadamu

    HRW: Donald Trump ni tishio kwa haki za binadamu

    Jan 13, 2017 08:10

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema kuchaguliwa Donald Trump kuwa Rais wa Marekani ni tishio lisilo na mfano kwa haki za binadamu.

  • Iran:  Suala la haki za binadamu lisitumiwe kama wenzo

    Iran: Suala la haki za binadamu lisitumiwe kama wenzo

    Dec 10, 2016 14:37

    Tume ya Haki za Binadamu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa mwito wa kuacha kutumiwa suala la haki za binadamu na asasi za kimataifa kama wenzo wa kuwadhibiti wengine kifikra, kiutamaduni, kisiasa na kiuchumi.

  • Jumuiya za kutetea haki za binadamu zatahadharisha kuhusu hali ya wanawake Nigeria

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu zatahadharisha kuhusu hali ya wanawake Nigeria

    Dec 06, 2016 03:37

    Jumuia mbalimbali za kutetea haki za binadamu zimetahadharisha kuhusu hali mbaya ya wanawake nchini Nigeria.

  • Wasiwasi wa kushadidi jinai za Saudi Arabia nchini Yemen kwa ushiriki wa Marekani

    Wasiwasi wa kushadidi jinai za Saudi Arabia nchini Yemen kwa ushiriki wa Marekani

    Dec 01, 2016 07:58

    Mauaji makubwa dhidi ya wananchi wa Yemen yanayofanywa na Saudi Arabia yameibua wimbi kubwa la chuki dhidi ya utawala wa Aal-Saud huku walimwengu wakitaka kuhitimishwa jinai hizo sambamba na kusimamishwa misaada ya silaha kwa utawala wa Riyadh.

  • Uganda yatakiwa kuchunguza mauaji ya Kasese na kumuachia huru mfalme

    Uganda yatakiwa kuchunguza mauaji ya Kasese na kumuachia huru mfalme

    Nov 30, 2016 15:26

    Vyombo vya usalama nchini Uganda vimeendelea kushutumiwa kwa mauaji ya watu wa mji wa Kasese katika eneo la Rwenzori, huku vyama vya upinzani vikiitaka serikali ya Kampala kumuachia huru mfalme wa eneo la Rwenzururu ambaye anatuhumiwa kuwaongoza waasi katika makabiliano dhidi ya maafisa usalama.

  • HRW yamtaka rais mteule wa Marekani kuheshimu sheria za kibinadamu

    HRW yamtaka rais mteule wa Marekani kuheshimu sheria za kibinadamu

    Nov 25, 2016 06:56

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limemtaka rais mteule wa Marekani kuheshimu sheria za kimataifa.

  • HRW yakosoa hali ya haki za binadamu katika nchi za Kiarabu

    HRW yakosoa hali ya haki za binadamu katika nchi za Kiarabu

    Nov 24, 2016 02:55

    Shirika la haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa ripoti na kulalamikia hali ya haki za binadamu katika nchi za Kiarabu likisema ni ya kutisha.

  • Tanzania mwenyeji wa mkutano wa AU kuhusu demokrasia na haki

    Tanzania mwenyeji wa mkutano wa AU kuhusu demokrasia na haki

    Nov 23, 2016 08:16

    Duru ya tano ya mkutano wa kila mwaka wa Umoja wa Afrika kuhusu Demokrasia, Haki, za Binadamu na Uongozi imeanza hii leo mjini Arusha Tanzania.

  • Hukumu ya miaka 2 jela kwa aliyenajisi mabinti 100 Malawi yakosolewa

    Hukumu ya miaka 2 jela kwa aliyenajisi mabinti 100 Malawi yakosolewa

    Nov 23, 2016 08:08

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu na asasi za kupambana na maambukizi ya virusi vya HIV nchini Malawi zimekosoa vikali hukumu ya kufungwa miaka miwili jela, iliyotolewa na mahakama moja nchini humo, dhidi ya mwathirika wa virusi vya HIV aliyewanajisi mabinti wadogo zaidi 100 kwa madai ya kuwasafisha na kuwafanyia tambiko la kimila na kiutamaduni.

  • UN yatoa wito kwa Saudia iwaachie huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu

    UN yatoa wito kwa Saudia iwaachie huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu

    Nov 22, 2016 16:25

    Kamati ya Umoja wa Mataifa inayochunguza utiaji nguvuni kiholela unaofanywa duniani imetoa wito tena wa kuachiwa huru wanaharakati watetezi wa haki za binadamu nchini Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS