-
Israel yataka kukata ushirikiano na kundi la haki za binadamu la Btselem
Oct 16, 2016 08:00Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ametaka kukatwa ushirikiano kati ya utawala huo na kundi la kutetea haki za binadamu la Btselem.
-
Bunge la Burundi lapasisha muswada wa kujiondoa mahakama ya ICC
Oct 12, 2016 15:55Bunge la Burundi leo limepasisha muswada wa kujiondoa nchi hiyo katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) baada ya Umoja wa Mataifa kuanza kuchunguza ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini humo.
-
UN: Ushindi wa Trump katika uchaguzi wa rais Marekani ni hatari kubwa
Oct 12, 2016 15:54Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, iwapo Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican atashinda katika uchaguzi ujao wa rais nchini Marekani, jambo hilo litakuwa hatari kubwa kwa dunia nzima.
-
Mkutano kuhusu haki za wanawake waanza Tanzania
Oct 12, 2016 07:35Wanawake kutoka nchi kadhaa za Afrika wanakongamana mjini Moshi nchini Tanzania katika mkutano wa kujadili haki za mwanamke, hususan haki ya kumiliki ardhi na maliasili.
-
Utiwaji mbaroni wa kidhalimu waongezeka Bahrain
Sep 12, 2016 02:30Kituo cha Haki za Binadamu cha nchini Bahrain kimebainisha wasiwasi wake kuhusu kuongezeka utiwaji mbaroni raia kidhulma nchini humo.
-
ZHRC: Polisi ya Zimbabwe imefanya ukatili dhidi ya wapinzani
Aug 31, 2016 04:26Tume ya Haki za Binadamu ya Zimbabwe (ZHRC) imelilaumu jeshi la polisi la nchi hiyo kuwa limefanya ukatili na kukanyaga haki za wapinzani wa serikali wakati wa kuzima maandamano yao katika kipindi cha miezi miwili ya hivi karibuni.
-
Ukosolewaji mkubwa wa ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Bahrain
Jul 17, 2016 07:33Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limetoa ripoti yake ya mwaka 2015 hadi 2016 na kutangaza kuwa, Bahrain imeendelea kushuhudia ukandamizaji wa uhuru wa kutoa maoni, mateso na kuendeshwa kesi za kidhulma sambamba na kutolewa hukumu za kidhalimu dhidi ya wapinzani wa kisiasa katika nchi hiyo inayotawaliwa na mfumo wa Kifalme.
-
Umoja wa Mataifa wasikitishwa na uvunjaji wa haki za binadamu DRC
Jul 14, 2016 15:50Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa imeelezea kusikitishwa kwake na kuendelea vitendo vya uvunjanji wa haki za binadamu nchini Kongo na kusema kuwa, zaidi ya kesi elfu mbili za uvunjaji wa haki za binadamu zimeripotiwa nchini humo katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu.
-
Amnesty: Mamia wametoweka mikononi mwa vyombo vya usalama Misri
Jul 13, 2016 18:29Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza wasiwasi wake juu ya wimbi la kutoweka mamia ya watu wakiwa mikononi mwa vyombo vya usalama nchini Misri tangu mapema mwaka jana.
-
Amnesty yaeleza wasiwasi kutokana na kukamatwa waandamanaji Marekani
Jul 11, 2016 16:57Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza wasiwasi wake mkubwa kutokana na kukamatwa waandamanaji wanopinga ukatili wa polisi nchini Marekani.