Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Israel yataka kukata ushirikiano na kundi la haki za binadamu la Btselem

    Israel yataka kukata ushirikiano na kundi la haki za binadamu la Btselem

    Oct 16, 2016 08:00

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni ametaka kukatwa ushirikiano kati ya utawala huo na kundi la kutetea haki za binadamu la Btselem.

  • Bunge la Burundi lapasisha muswada wa kujiondoa mahakama ya ICC

    Bunge la Burundi lapasisha muswada wa kujiondoa mahakama ya ICC

    Oct 12, 2016 15:55

    Bunge la Burundi leo limepasisha muswada wa kujiondoa nchi hiyo katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) baada ya Umoja wa Mataifa kuanza kuchunguza ukiukaji wa haki za binadamu unaofanyika nchini humo.

  • UN: Ushindi wa Trump katika uchaguzi wa rais Marekani ni hatari kubwa

    UN: Ushindi wa Trump katika uchaguzi wa rais Marekani ni hatari kubwa

    Oct 12, 2016 15:54

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, iwapo Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican atashinda katika uchaguzi ujao wa rais nchini Marekani, jambo hilo litakuwa hatari kubwa kwa dunia nzima.

  • Mkutano kuhusu haki za wanawake waanza Tanzania

    Mkutano kuhusu haki za wanawake waanza Tanzania

    Oct 12, 2016 07:35

    Wanawake kutoka nchi kadhaa za Afrika wanakongamana mjini Moshi nchini Tanzania katika mkutano wa kujadili haki za mwanamke, hususan haki ya kumiliki ardhi na maliasili.

  • Utiwaji mbaroni wa kidhalimu waongezeka Bahrain

    Utiwaji mbaroni wa kidhalimu waongezeka Bahrain

    Sep 12, 2016 02:30

    Kituo cha Haki za Binadamu cha nchini Bahrain kimebainisha wasiwasi wake kuhusu kuongezeka utiwaji mbaroni raia kidhulma nchini humo.

  • ZHRC: Polisi ya Zimbabwe imefanya ukatili dhidi ya wapinzani

    ZHRC: Polisi ya Zimbabwe imefanya ukatili dhidi ya wapinzani

    Aug 31, 2016 04:26

    Tume ya Haki za Binadamu ya Zimbabwe (ZHRC) imelilaumu jeshi la polisi la nchi hiyo kuwa limefanya ukatili na kukanyaga haki za wapinzani wa serikali wakati wa kuzima maandamano yao katika kipindi cha miezi miwili ya hivi karibuni.

  • Ukosolewaji mkubwa wa ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Bahrain

    Ukosolewaji mkubwa wa ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Bahrain

    Jul 17, 2016 07:33

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limetoa ripoti yake ya mwaka 2015 hadi 2016 na kutangaza kuwa, Bahrain imeendelea kushuhudia ukandamizaji wa uhuru wa kutoa maoni, mateso na kuendeshwa kesi za kidhulma sambamba na kutolewa hukumu za kidhalimu dhidi ya wapinzani wa kisiasa katika nchi hiyo inayotawaliwa na mfumo wa Kifalme.

  • Umoja wa Mataifa wasikitishwa na uvunjaji wa haki za binadamu DRC

    Umoja wa Mataifa wasikitishwa na uvunjaji wa haki za binadamu DRC

    Jul 14, 2016 15:50

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa imeelezea kusikitishwa kwake na kuendelea vitendo vya uvunjanji wa haki za binadamu nchini Kongo na kusema kuwa, zaidi ya kesi elfu mbili za uvunjaji wa haki za binadamu zimeripotiwa nchini humo katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu.

  • Amnesty: Mamia wametoweka mikononi mwa vyombo vya usalama Misri

    Amnesty: Mamia wametoweka mikononi mwa vyombo vya usalama Misri

    Jul 13, 2016 18:29

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza wasiwasi wake juu ya wimbi la kutoweka mamia ya watu wakiwa mikononi mwa vyombo vya usalama nchini Misri tangu mapema mwaka jana.

  • Amnesty yaeleza wasiwasi kutokana na kukamatwa waandamanaji Marekani

    Amnesty yaeleza wasiwasi kutokana na kukamatwa waandamanaji Marekani

    Jul 11, 2016 16:57

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeeleza wasiwasi wake mkubwa kutokana na kukamatwa waandamanaji wanopinga ukatili wa polisi nchini Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS