-
UN yalaani mauaji ya wakili wa haki za binadamu Kenya
Jul 06, 2016 04:32Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imelaani vikali mauaji ya wakili wa haki za binadamu nchini Kenya Bwana Willie Kimani, mteja wake Josphat Mwenda, na dereva wao wa taxi Joseph Muiruri, yaliyofanyika Juni 23.
-
Hali ya haki za binadamu Burundi yajadiliwa katika Baraza la Haki za Binadamu
Jun 30, 2016 03:28Hali ya haki za binadamu nchini Burundi imejadiliwa katika kikao cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa.
-
Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Kiarabu yaituhumu Misri kuwa inakiuka haki za wapinzani
Jun 20, 2016 13:29Ripoti iliyotolewa na Jumuiya ya Haki za Binadamu ya Kiarabu imetangaza kuwa hadi sasa Mahakama za Misri zimewahukumu kifo wapinzani 734 wa serikali ya Cairo.
-
Makundi ya haki za binadamu yametaka kurejeshwa jina la Riyadh katika orodha nyeusi ya UN
Jun 09, 2016 14:00Makundi 20 ya kutetea haki za binadamu yamemtaka Ban Ki-moon Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa alirejeshe tena jina la Saudi Arabia kwenye orodha nyeusi ya umoja huo kutokana na kukiuka haki za watoto huko Yemen.
-
Umoja wa Mataifa Wakosoa Ukiukwaji wa Haki za Binadamu Bahrain na Saudia
May 31, 2016 07:39Sambamba na kutangazwa hukumu ya kidhalimu dhidi ya wanaharakati wa kisiasa wa Bahrain na Saudi Arabia, Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa limetoa ripoti na kuzituhumu tawala za nchi hizo mbili kuwa wakiukaji wakubwa wa haki za binadamu duniani.
-
Ukiukaji wa kupindukia mipaka wa haki za binadamu nchini Bahrain
May 17, 2016 07:06Ripoti ya jumuiya ya haki za binadamu ya Bahrain kuhusu uvunjwaji mkubwa wa haki binadamu nchini humo unaofanywa na utawala wa Aal Khalifa, kupasishwa hukumu ya kifungo cha maisha jela na mahakama kuu ya rufaa dhidi ya wapinzani wanne wa serikali na tamko la viongozi wa kidini wa Bahrain la kulaani siasa za ukoo wa kifalme wa nchi hiyo, ni miongoni mwa mambo muhimu yaliyogonga vichwa habari katika siku za hivi karibuni.
-
Kuongezeka hatua za chuki dhidi ya Uislamu nchini Ufaransa
May 04, 2016 04:06Kamisheni ya Mashauri ya Haki za Binadamu nchini Ufaransa (CNCDH) imetangaza katika ripoti yake ya kila mwaka kwamba, vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu vimeongezeka mara tatu nchini humo katika mwaka uliopita wa 2015.
-
Watetezi wa haki za binadamu Uingereza wataka Sheikh Zakzaky aichiwe huru
Apr 21, 2016 06:49Kundi la wanaharakai wa kutetea haki za binadamu nchini Uingereza limeanzisha wimbi kubwa la malalamiko katika mitandao ya kijamii likitaka kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Mkuu wa vyombo vya Mahakama ajibu madai ya haki za binadamu ya Marekani
Apr 19, 2016 03:10Mkuu wa vyombo vya Mahakama nchini Ayatullah Sadeq Amoli Larijani amekosoa vikali ripoti ya kila mwaka ya haki za binadamu ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Baraza la Haki za Binadamu laitisha kikao kujadili hali ya mambo nchini Burundi
Mar 23, 2016 15:00Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa jana liliitisha kikao kujadili hali ya mambo nchini Burundi.