-
HAMAS, Jihadul-Islami, Wabunge wa US wapinga na kulaani matamshi ya Trump ya kuipora Ghaza
Feb 05, 2025 06:26Matamshi ya Rais Donald Trump wa Marekani kwamba nchi hiyo itawahamisha Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza na kulitwaa na kulimiliki eneo hilo la Palestina yamelaaniwa na kukosolewa vikali ndani na nje ya Marekani.
-
Hamas yaukosoa utawala wa Kizayuni kwa kukwamisha utekelezaji wa makubaliano ya kusimamisha mapigano
Feb 04, 2025 07:31Kiongozi wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni anaendelea kukwamisha utekelezaji wa makubaliano ya kusimamisha mapigano na kubadilishana kwa uhuru wafungwa na mateka.
-
HAMAS yalaani mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni Jenin, Ukingo wa Magharibi
Feb 03, 2025 07:00Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imelaani mashambulizi ya kinyama yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Ripoti: Wazayuni wanawatesa mateka wa Kipalestina kabla ya kuwaachia huru
Feb 02, 2025 07:42Baada ya kumalizika awamu ya nne ya kubadilishana mateka kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Muqawama wa Palestina, duru za habari zimearifu kuwa baadhi ya mateka wa Kipalestina wamejeruhiwa kutokana na kuteswa kabla ya kuachiwa huru.
-
Hamas yawaachia huru mateka 3 wa Israel, mkabala wa Wapalestina 183
Feb 01, 2025 07:58Utawala wa Kizayuni wa Israel baadaye leo unatazamiwa kuwaachia huru mateka 183 wa Kipalestina, mkabala wa kuachiliwa Wazayuni watatu, katika awamu ya nne ya mabadilishano ya mateka katika Ukanda wa Gaza.
-
Ansarullah: Muhammad al Dhaif alisabilia maisha yake kwa ajili ya kuikomboa Palestina
Feb 01, 2025 02:32Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa mkono wa pole kufuatia tangazo la kuuliwa shahidi Muhammad al Dhaif na kusema kamanda huyo Mpalestina alijitolea maisha yake kwa ajili ya kukomboa ardhi ya Palestina.
-
Hamas: Wananchi wa Palestina watabaki katika ardhi yao
Jan 27, 2025 07:21Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa wananchi wa Palestina wako imara katika ardhi yao na mpango wowote wa kuwahamisha utafeli. Amesisitiza kuwa: Wapalestina watabaki katika ardhi yao.
-
Hamas: Ukingo wa Magharibi utakuwa uwanja ujao wa vita kati ya Israel na muqawama
Jan 26, 2025 06:49Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa inaamini kuwa eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu na Israel litakuwa uwanja ujao wa makabiliano makubwa kati ya utawala wa Israel na muqawama wa Palestina.
-
HAMAS: Muqawama wa watu wa Gaza umeipigisha magoti Israel
Jan 24, 2025 09:18Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, kusimama kidete watu wa Gaza na vikosi vya muqawama kumeshinda lengo la utawala unaokalia kwa mabavu la kuwatimua Wapalestina.
-
Hamas 'yajiweka sawa' baada ya Israel kufanya shambulio la kinyama Jenin
Jan 22, 2025 02:50Wanajeshi wa Israel wamewauwa shahidi Wapalestina kumi na kuwajeruhi wengine 35 katika shambulio dhidi ya mji unaokaliwa kwa mabavu wa Jenin katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, na kupelekea Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas kutoa wito kwa vijana wa Kipalestina kujikusanya na kujiandaa kujibu uchokozi huo wa vikosi vamizi vya Wazayuni.