Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hamas, Jihad Islami zaapa: Mapambano dhidi ya Israel yatapamba moto zaidi

    Hamas, Jihad Islami zaapa: Mapambano dhidi ya Israel yatapamba moto zaidi

    Aug 03, 2024 00:59

    Makundi ya Muqawama na mapambano ya ukombozi wa Palestina yenye makao yao huko Gaza, Hamas na Jihad Islami yamesisitiza kuwa, mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya viongozi wa kambi ya Muqawama hayatadhoofisha nguvu ya mapambano dhidi ya utawala huo ghasibu.

  • Afrika Kusini yailaani Israel kwa kumuua kigaidi Ismail Haniyah

    Afrika Kusini yailaani Israel kwa kumuua kigaidi Ismail Haniyah

    Aug 01, 2024 23:14

    Serikali ya Afrika Kusini imelaani vikali mauaji ya kigaidi ya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, Ismail Haniyah.

  • HAMAS: Kauli ya Marekani ni uongo mtupu, Wapalestina Ghaza wanauawa kwa silaha zake

    HAMAS: Kauli ya Marekani ni uongo mtupu, Wapalestina Ghaza wanauawa kwa silaha zake

    Jul 26, 2024 09:29

    Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: "Madai ya Washington kwamba inatiwa wasiwasi na hali ya kibinadamu na inasikitishwa na machungu na mateso wanayopata watu wa Ghaza ni uongo wa Kimarekani".

  • HAMAS, Jihadul Islami zaitaka PLO iache kuitambua Israel

    HAMAS, Jihadul Islami zaitaka PLO iache kuitambua Israel

    Jul 19, 2024 07:38

    Harakati za Muqawama wa Kiislamu za Palestina za HAMAS na Jihadul Islami zimeitaka Mamlaka ya Ndani ya Palestina ibatilishe uamuzi wake wa kuutambua utawala haramu wa Israel.

  • Nasrullah: Kuuawa shahidi 'ni sehemu ya utamaduni wetu ili kulinda mataifa yetu'

    Nasrullah: Kuuawa shahidi 'ni sehemu ya utamaduni wetu ili kulinda mataifa yetu'

    Jul 12, 2024 08:02

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah ametilia mkazo wajibu kupambana na kuwa tayari kuuliwa shahidi katika kulinda madola ya Kiislamu dhidi ya uvamizi na kukaliwa kwa mabavu na maadui.

  • Hamas: Utawala wa Kizayuni abadan hauwezi kuwapigisha magoti Wapalestina

    Hamas: Utawala wa Kizayuni abadan hauwezi kuwapigisha magoti Wapalestina

    Jul 09, 2024 04:16

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeashiria kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina na kusema, Wazayuni kamwe hawawezi kuwapigisha magoti wananchi wa Palestina.

  • Hamas: Kitendo cha Israel cha kuwatumia mateka kama ngao za binadamu ni uhalifu wa kivita

    Hamas: Kitendo cha Israel cha kuwatumia mateka kama ngao za binadamu ni uhalifu wa kivita

    Jul 01, 2024 03:32

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas); Izzat al-Rashq amesema kuwa, hatua ya utawala wa Kizayuni ya kuwatumia mateka kama ngao za binadamu ni jinai ya kivita.

  • Dadake Haniya ni miongoni mwa makumi waliouawa na mabomu ya Israel Gaza

    Dadake Haniya ni miongoni mwa makumi waliouawa na mabomu ya Israel Gaza

    Jun 25, 2024 08:00

    Dada yake Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ni miongoni mwa makumi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel katika pembe mbali mbali za Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS: Kuendelea kutambuliwa Palestina kutahitimisha unazi wa Kizayuni

    HAMAS: Kuendelea kutambuliwa Palestina kutahitimisha unazi wa Kizayuni

    Jun 22, 2024 07:49

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS sanjari na kukaribisha kwa mikono miwili na kupongeza hatua ya Armenia ya kulitambua rasmi taifa huru la Palestina, imesisitiza kuwa mwenendo huo wa mataifa ya dunia kuitambua Palestina kama nchi huru utapelekea kufikia ukingoni unazi wa Kizayuni.

  • Iran: Muqawama lazima uifanye Israel ilipe gharama kubwa kwa uvamizi

    Iran: Muqawama lazima uifanye Israel ilipe gharama kubwa kwa uvamizi

    Jun 20, 2024 22:47

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema makundi ya muqawama yanapasa kutumia nguvu na uwezo wao wote kuufanya utawala wa Kizayuni wa Israel ulipe gharama kubwa kutokana na uvamizi na mashambulizi yake dhidi ya Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS