-
Hamas, Jihad Islami zaapa: Mapambano dhidi ya Israel yatapamba moto zaidi
Aug 03, 2024 00:59Makundi ya Muqawama na mapambano ya ukombozi wa Palestina yenye makao yao huko Gaza, Hamas na Jihad Islami yamesisitiza kuwa, mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya viongozi wa kambi ya Muqawama hayatadhoofisha nguvu ya mapambano dhidi ya utawala huo ghasibu.
-
Afrika Kusini yailaani Israel kwa kumuua kigaidi Ismail Haniyah
Aug 01, 2024 23:14Serikali ya Afrika Kusini imelaani vikali mauaji ya kigaidi ya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, Ismail Haniyah.
-
HAMAS: Kauli ya Marekani ni uongo mtupu, Wapalestina Ghaza wanauawa kwa silaha zake
Jul 26, 2024 09:29Mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: "Madai ya Washington kwamba inatiwa wasiwasi na hali ya kibinadamu na inasikitishwa na machungu na mateso wanayopata watu wa Ghaza ni uongo wa Kimarekani".
-
HAMAS, Jihadul Islami zaitaka PLO iache kuitambua Israel
Jul 19, 2024 07:38Harakati za Muqawama wa Kiislamu za Palestina za HAMAS na Jihadul Islami zimeitaka Mamlaka ya Ndani ya Palestina ibatilishe uamuzi wake wa kuutambua utawala haramu wa Israel.
-
Nasrullah: Kuuawa shahidi 'ni sehemu ya utamaduni wetu ili kulinda mataifa yetu'
Jul 12, 2024 08:02Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah ametilia mkazo wajibu kupambana na kuwa tayari kuuliwa shahidi katika kulinda madola ya Kiislamu dhidi ya uvamizi na kukaliwa kwa mabavu na maadui.
-
Hamas: Utawala wa Kizayuni abadan hauwezi kuwapigisha magoti Wapalestina
Jul 09, 2024 04:16Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeashiria kuendelea jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina na kusema, Wazayuni kamwe hawawezi kuwapigisha magoti wananchi wa Palestina.
-
Hamas: Kitendo cha Israel cha kuwatumia mateka kama ngao za binadamu ni uhalifu wa kivita
Jul 01, 2024 03:32Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas); Izzat al-Rashq amesema kuwa, hatua ya utawala wa Kizayuni ya kuwatumia mateka kama ngao za binadamu ni jinai ya kivita.
-
Dadake Haniya ni miongoni mwa makumi waliouawa na mabomu ya Israel Gaza
Jun 25, 2024 08:00Dada yake Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ni miongoni mwa makumi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel katika pembe mbali mbali za Ukanda wa Gaza.
-
HAMAS: Kuendelea kutambuliwa Palestina kutahitimisha unazi wa Kizayuni
Jun 22, 2024 07:49Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS sanjari na kukaribisha kwa mikono miwili na kupongeza hatua ya Armenia ya kulitambua rasmi taifa huru la Palestina, imesisitiza kuwa mwenendo huo wa mataifa ya dunia kuitambua Palestina kama nchi huru utapelekea kufikia ukingoni unazi wa Kizayuni.
-
Iran: Muqawama lazima uifanye Israel ilipe gharama kubwa kwa uvamizi
Jun 20, 2024 22:47Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema makundi ya muqawama yanapasa kutumia nguvu na uwezo wao wote kuufanya utawala wa Kizayuni wa Israel ulipe gharama kubwa kutokana na uvamizi na mashambulizi yake dhidi ya Ukanda wa Gaza.