Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Jenerali Mzayuni akiri nguvu za makombora za HAMAS huko Palestina

    Jenerali Mzayuni akiri nguvu za makombora za HAMAS huko Palestina

    Apr 29, 2019 23:42

    Jenerali mmoja Mzayuni amekiri kuwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ina nguvu kubwa za makombora ambazo zinaweza kusambaratisha maisha ya wakazi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Mamlaka ya Ndani ya Palestina sio mwakilishi wa Wapalestina

    Hamas: Mamlaka ya Ndani ya Palestina sio mwakilishi wa Wapalestina

    Apr 17, 2019 09:51

    Mahmoud al-Zahar, mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa, Mamlaka ya Ndani ya Palestina sio mwakilishi wa Wapalestina.

  • Hamas: Serikali mpya ya Abbas itasahilisha utekelezaji wa

    Hamas: Serikali mpya ya Abbas itasahilisha utekelezaji wa "Muamala wa Karne"

    Apr 14, 2019 02:56

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imekosoa uundwaji wa serikali mpya Palestina inayotawaliwa na wanachama wa chama chake cha Fath, ikisisitiza kuwa serikali ya namna hiyo itawepesisha utekeleza wa njama za Marekani dhidi ya Wapalestina zilizopewa jina "Muamala wa Karne".

  • Israel: Harakati ya HAMAS inao uwezo wa kuingia Israel na kuua askari wetu wengi

    Israel: Harakati ya HAMAS inao uwezo wa kuingia Israel na kuua askari wetu wengi

    Mar 11, 2019 04:33

    Waziri wa Elimu na Mafunzo wa Utawala Haramu wa Kizayuni wa Israel, Naftali Bennett amekiri uwezo mkubwa wa kijeshi wa Harakati ya Kiislamu ya Palestina HAMAS.

  • Harakati ya Hamas yakosoa siasa za Rais Mahmoud Abbas

    Harakati ya Hamas yakosoa siasa za Rais Mahmoud Abbas

    Feb 25, 2019 23:08

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina anakubaliana na mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" lakini viongozi wa Fat'h wanataka kumuonyesha kiongozi huyo kwamba, anaupinga mpango huo.

  • HAMAS: Taifa la Palestina limethibitisha kwamba, Masjidul Aqswa ni mstari mwekundu

    HAMAS: Taifa la Palestina limethibitisha kwamba, Masjidul Aqswa ni mstari mwekundu

    Feb 23, 2019 04:02

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, msikiti wa al-Aqswa ni mstari mwekundu wa Umma wa Kiislamu.

  • Hamas: Kujiuzulu kamanda wa makomandoo wa Israel ni ishara ya nguvu ya Wapalestina

    Hamas: Kujiuzulu kamanda wa makomandoo wa Israel ni ishara ya nguvu ya Wapalestina

    Feb 20, 2019 04:36

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kujiuzulu kamanda wa vikosi maalumu vya makomandoo wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kushindwa na Wapalestina katika oparesheni ya Khan Yunus ni ishara ya nguvu kubwa za harakati za kupigania ukombozi Palestina au muqawama na kusambaratika mahesabu ya wakuu wa utawala wa Kizayuni.

  • Mpalestina afa shahidi gerezani Israel baada ya kunyimwa matibabu

    Mpalestina afa shahidi gerezani Israel baada ya kunyimwa matibabu

    Feb 07, 2019 03:51

    Mfungwa Mpalestina amekufa shahidi akiwa katika gereza la utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya kunyimwa matibabu.

  • HAMAS yakaribisha kufanyika uchaguzi mkuu wa Palestina katika ngazi zote

    HAMAS yakaribisha kufanyika uchaguzi mkuu wa Palestina katika ngazi zote

    Jan 26, 2019 23:07

    Mjumbe mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitizia kufanyika uchaguzi wa Palestina katika ngazi zote ukiwemo wa Bunge, Rais wa Mamlaka ya Ndani na Baraza la Taifa.

  • HAMAS yasisitizia kuundwa muungano wa nchi zinazoihami Palestina

    HAMAS yasisitizia kuundwa muungano wa nchi zinazoihami Palestina

    Jan 18, 2019 00:24

    Mahmoud Az-Zahar, mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, adui wa Lebanon, Syria na Gaza ni utawala ghasibu wa Kizayuni tu; na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni muungaji mkono wa wanamapambano wa muqawama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS