Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hamas yasifu msimamo wa Malaysia wa kupinga kuhuisha uhusiano na adui Mzayuni

    Hamas yasifu msimamo wa Malaysia wa kupinga kuhuisha uhusiano na adui Mzayuni

    Jan 17, 2019 04:32

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amepongeza msimamo wa Malaysia wa kupinga njia zote za kuhuisha uhusiano kati ya nchi hiyo na utawala wa Israel unaoikalia Quds kwa mabavu.

  • Ujumbe wa HAMAS wakutana na viongozi wa Kanisa la Othodoksi katika Ukanda wa Gaza

    Ujumbe wa HAMAS wakutana na viongozi wa Kanisa la Othodoksi katika Ukanda wa Gaza

    Jan 09, 2019 23:19

    Ujumbe wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ukiongozwa na Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo umeonana na viongozi wa Kanisa la Othodoksi katika Ukanda wa Gaza.

  • Zarif: Kuiunga mkono Palestina ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Zarif: Kuiunga mkono Palestina ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Dec 23, 2018 11:51

    Waziri wa Mambo ya Nje Mohammad Javad Zarif amesema: Kuiunga mkono Palestina ni katika siasa kuu na za msingi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Hamas yalaani azma ya Abbas ya kulivunja Bunge la Palestina

    Hamas yalaani azma ya Abbas ya kulivunja Bunge la Palestina

    Dec 23, 2018 03:47

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekosoa vikali mpango wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahoud Abbas wa kulivunja Bunge, ikisisitiza kuwa kitendo hicho hakitakuwa na matokeo mengine ghairi ya kushadidisha migawanyiko miongoni mwa makundi ya Palestina.

  • Palestina yazitaka nchi za Kiarabu na Kiislamu zikate uhusiano wao na Australia

    Palestina yazitaka nchi za Kiarabu na Kiislamu zikate uhusiano wao na Australia

    Dec 19, 2018 11:47

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekataa msaada wa dola milioni 10 iliyopatiwa na Australia na kuzitaka nchi za Kiarabu na Kiislamu zikate uhusiano wao na nchi hiyo kutokana na uamuzi wake wa kuitambua Quds kama mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.

  • Hamas: Kushiriki kwa wingi Wapalestina katika maadhimisho ya kuasisiwa harakati hiyo ni ishara ya kuungwa mkono muqawama

    Hamas: Kushiriki kwa wingi Wapalestina katika maadhimisho ya kuasisiwa harakati hiyo ni ishara ya kuungwa mkono muqawama

    Dec 17, 2018 04:52

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza kuwa, kushiriki kwa wingi mamia ya maelfu ya watu katika maadhimisho ya mwaka wa 31 tangu kuasisiwa harakati hiyo ni ishara mpya ya uungaji mkono wa wananchi wa Palestina kwa mapambano ya ukombozi dhidi ya Wazayuni maghasibu.

  • Hamas yaadhimisha kuanzishwa kwake kwa kuzindua makombora mapya

    Hamas yaadhimisha kuanzishwa kwake kwa kuzindua makombora mapya

    Dec 16, 2018 11:59

    Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, imeadhimisha mwaka wa 31 tokea kuanzishwa kwake kwa kuzindua makombora mapya katika Ukanda wa Ghaza.

  • Hamas yalipiza kisasi baada ya wanachama wake 2 kuuawa na jeshi la Israel

    Hamas yalipiza kisasi baada ya wanachama wake 2 kuuawa na jeshi la Israel

    Dec 13, 2018 10:24

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imewaangamiza Wazayuni wawili kwa kuwafyatulia risasi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, chini ya masaa 24 baada ya jeshi katili la Israel kuwaua shahidi Wapalestina watatu, wakiwamo wanachama wawili wa harakati hiyo ya Muqawama.

  • Hamas: Israel ndiyo itakayobeba lawama za lolote baya litakalomtokea Mahmoud Abbas

    Hamas: Israel ndiyo itakayobeba lawama za lolote baya litakalomtokea Mahmoud Abbas

    Dec 12, 2018 12:49

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel ndio utakaobeba jukumu na lawama za jambo lolote baya litakalomtokea Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina.

  • Makundi ya Muqawama Palestina: Marekani, Israel zimepata pigo kubwa UN

    Makundi ya Muqawama Palestina: Marekani, Israel zimepata pigo kubwa UN

    Dec 07, 2018 11:07

    Makundi ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina ya Hamas na Jihadu Islami yamesema kupigwa mweleka katika Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa muswada wa kuilaani Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na kuitaja kama kundi la kigaidi ni pigo kubwa kwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS