Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hamas: Hakuna wa kutushurutisha tuvunje jeshi letu au tuitambue Israel

    Hamas: Hakuna wa kutushurutisha tuvunje jeshi letu au tuitambue Israel

    Oct 20, 2017 04:28

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema hakuna mtu mwenye uwezo wa kuishurutisha harakati hiyo ya muqawama kuvunja tawi lake la kijeshi au kuutambua utawala haramu wa Israel kama masharti ya kukubali mapatano ya kitaifa ya Wapalestina.

  • Radiamali ya Hamas kwa masharti ya utawala wa Kizayuni ili kukubali mapatano ya Wapalestina

    Radiamali ya Hamas kwa masharti ya utawala wa Kizayuni ili kukubali mapatano ya Wapalestina

    Oct 18, 2017 04:21

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema kuwa inapinga mashatri yaliyotolewa na utawala wa Kizayuni ili kukubali mapatano ya kitaifa ya Wapalestina na kusisitiza kuwa mashatri hayo ni uingiliaji wa masuala ya Palestina.

  • Hamas yasema mahasimu Palestina wafikia maelewano ya kitaifa

    Hamas yasema mahasimu Palestina wafikia maelewano ya kitaifa

    Oct 12, 2017 03:08

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetangaza kufikia mapatano ya maelewano ya kitaifa na chama cha Fat'h kwa lengo la kuhitimisha mgogoro wa kisiasa wa muongo mmoja kuhusu utawala wa Ukanda wa Ghaza.

  • HAMAS yasisitizia mapambano na Wazayuni ili kulinda matukufu ya Palestina

    HAMAS yasisitizia mapambano na Wazayuni ili kulinda matukufu ya Palestina

    Oct 10, 2017 04:38

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza kuwa suala la kupambana na Wazayuni maghasibu ambao wanayakalia kwa mabavu maeneo matakatifu ya Waislamu huko Palestina kama vile Masjidul Aqswa na Haram ya Nabii Ibrahim AS katika mji wa al Khalil wa kusini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, ni muhimu sana.

  • Jeshi la Israel lashambulia ngome za Hamas Ukanda wa Gaza

    Jeshi la Israel lashambulia ngome za Hamas Ukanda wa Gaza

    Oct 09, 2017 04:30

    Vikosi vya Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel vimeshambulia kile vinachodai kuwa ni ngome za Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas, katika Ukanda wa Gaza.

  • Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio unaopata hasara kutokana na umoja wa Wapalestina

    Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio unaopata hasara kutokana na umoja wa Wapalestina

    Oct 04, 2017 12:52

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, utawala wa Kizayuni ndio unaopata hasara zaidi unapokuwepo umoja na mshikamano kati ya Wapalestina na ndio maana utawala huo wakati wote unafanya njama za kuyazozanisha makundi ya Palestina.

  • Ismail Haniya: Hatutaweka chini silaha madamu wavamizi wangaliko ndani ya Palestina

    Ismail Haniya: Hatutaweka chini silaha madamu wavamizi wangaliko ndani ya Palestina

    Oct 03, 2017 22:52

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema: madamu wavamizi wangaliko katika ardhi ya Palestina wananchi wetu wana haki ya kuwa na silaha.

  • Hamas: Ukombozi wa Palestina unahijatia umoja wa kitaifa

    Hamas: Ukombozi wa Palestina unahijatia umoja wa kitaifa

    Sep 30, 2017 12:57

    Naibu Mkuu wa Idara ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, ukombozi wa Palestina na Quds tukufu na kukomeshwa uvamizi wa utawala haramu wa Israel kunahitaji umoja na mshikamano wa kitaifa.

  • HAMAS: Hakuna cha kuzungumzwa kuhusu silaha za muqawama

    HAMAS: Hakuna cha kuzungumzwa kuhusu silaha za muqawama

    Sep 29, 2017 04:07

    Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kwamba katika mazungumzo na harakati ya Fat-h, Hamas haikukubaliana na wazo la kuwapokonya silaha wanamuqawama na kwamba suala hilo halikujadiliwa katika mazungumzo yaliyopita wala halitojadiliwa katika mustakabali.

  • Hamas yaipongeza UN kwa kuiweka Israel katika orodha nyeusi

    Hamas yaipongeza UN kwa kuiweka Israel katika orodha nyeusi

    Sep 25, 2017 04:22

    Harakari ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza hatua ya Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ya kuiweka Israel katika orodha nyesi ya nchi zinazokiuka haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS