Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hamas yapinga fikra ya kupelekwa askari wa kimataifa Ukanda wa Gaza

    Hamas yapinga fikra ya kupelekwa askari wa kimataifa Ukanda wa Gaza

    Feb 28, 2017 12:38

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa harakati hiyo haitakubali harakati yoyote ya kutuma askari wa kimataifa katika eneo la Ukanda wa Gaza.

  • Hamas yasisitiza umuhimu wa mkutano wa kuiunga mkono Intafadha ya Palestina

    Hamas yasisitiza umuhimu wa mkutano wa kuiunga mkono Intafadha ya Palestina

    Feb 19, 2017 11:28

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesisitiza umuhimu mkubwa wa Mkutano wa Sita wa Kuiunga Mkono Intifadha na Quds katika mazingira ya sasa katika eneo na duniani kwa ujumla utakaofanyika hapa Tehran.

  • Abbas afanya mazungumzo na spika wa zamani wa Knesset

    Abbas afanya mazungumzo na spika wa zamani wa Knesset

    Feb 18, 2017 04:49

    Rais wa serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina amekutana na kufanya mazungumzo na spika wa zamani wa Bunge la Israel, Knesset katika mji wa Ramallah siku chache tu baada ya Waziri wa Utamaduni wa utawala huo haramu kutoa wito wa kufutwa kikamilifu Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) katika Ukanda wa Gaza.

  • Hamas yaionya Israel isijaribu kuishambulia Ghaza

    Hamas yaionya Israel isijaribu kuishambulia Ghaza

    Feb 16, 2017 00:36

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel usijaribu kuichokoza na kuanzisha vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza.

  • Hamas yateua kiongozi wake mpya Ukanda wa Ghaza

    Hamas yateua kiongozi wake mpya Ukanda wa Ghaza

    Feb 13, 2017 23:46

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina, Hamas, imemteua afisa wa ngazi za juu wa tawi lake la kijeshi kuwa kiongozi wa harakati hiyo Ukanda wa Ghaza.

  • Jumatano 25 Januari, 2017

    Jumatano 25 Januari, 2017

    Jan 26, 2017 01:01

    Leo ni Jumatano tarehe 26 Rabiuthani 1438 Hijria sawa na Januari 25, 2017.

  • Jumatano Januari 25, 2017

    Jumatano Januari 25, 2017

    Jan 24, 2017 23:26

    Leo ni Jumatano tarehe 26 Mfunguo Saba Rabiuthani 1438 Hijria sawa na Januari 25, 2017 Milaadia.

  • Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo

    Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo

    Jan 16, 2017 23:34

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) hapa Tehran amesema kuwa njia pekee ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kuendeleza muqawama na kwamba ishara ya wazi zaidi ya mapambano hayo ni Intifadha.

  • Jumanne, 17 Januari, 2017

    Jumanne, 17 Januari, 2017

    Jan 16, 2017 23:29

    Leo ni Jumanne tarehe 18 Rabiuthani 1438 Hijria sawa na tarehe 17 Januari 2017.

  • HAMAS: Mkutano wa Paris  kuhusu Palestina ni kupoteza wakati

    HAMAS: Mkutano wa Paris kuhusu Palestina ni kupoteza wakati

    Jan 16, 2017 00:21

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, mkutano wa mapatano ulioanza jana huko Paris Ufaransa ni kupoteza wakati bure na ni marudio ya mikutano ya mapatano ya huko nyuma ambayo haikuwa na matunda yoyote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS