-
Hamas yapinga fikra ya kupelekwa askari wa kimataifa Ukanda wa Gaza
Feb 28, 2017 12:38Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa harakati hiyo haitakubali harakati yoyote ya kutuma askari wa kimataifa katika eneo la Ukanda wa Gaza.
-
Hamas yasisitiza umuhimu wa mkutano wa kuiunga mkono Intafadha ya Palestina
Feb 19, 2017 11:28Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesisitiza umuhimu mkubwa wa Mkutano wa Sita wa Kuiunga Mkono Intifadha na Quds katika mazingira ya sasa katika eneo na duniani kwa ujumla utakaofanyika hapa Tehran.
-
Abbas afanya mazungumzo na spika wa zamani wa Knesset
Feb 18, 2017 04:49Rais wa serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina amekutana na kufanya mazungumzo na spika wa zamani wa Bunge la Israel, Knesset katika mji wa Ramallah siku chache tu baada ya Waziri wa Utamaduni wa utawala huo haramu kutoa wito wa kufutwa kikamilifu Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) katika Ukanda wa Gaza.
-
Hamas yaionya Israel isijaribu kuishambulia Ghaza
Feb 16, 2017 00:36Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel usijaribu kuichokoza na kuanzisha vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
-
Hamas yateua kiongozi wake mpya Ukanda wa Ghaza
Feb 13, 2017 23:46Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina, Hamas, imemteua afisa wa ngazi za juu wa tawi lake la kijeshi kuwa kiongozi wa harakati hiyo Ukanda wa Ghaza.
-
Jumatano 25 Januari, 2017
Jan 26, 2017 01:01Leo ni Jumatano tarehe 26 Rabiuthani 1438 Hijria sawa na Januari 25, 2017.
-
Jumatano Januari 25, 2017
Jan 24, 2017 23:26Leo ni Jumatano tarehe 26 Mfunguo Saba Rabiuthani 1438 Hijria sawa na Januari 25, 2017 Milaadia.
-
Mwakilishi wa Hamas Tehran: Iran ni muungaji mkono wetu pekee katika eneo
Jan 16, 2017 23:34Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) hapa Tehran amesema kuwa njia pekee ya kukabiliana na utawala wa Kizayuni ni kuendeleza muqawama na kwamba ishara ya wazi zaidi ya mapambano hayo ni Intifadha.
-
Jumanne, 17 Januari, 2017
Jan 16, 2017 23:29Leo ni Jumanne tarehe 18 Rabiuthani 1438 Hijria sawa na tarehe 17 Januari 2017.
-
HAMAS: Mkutano wa Paris kuhusu Palestina ni kupoteza wakati
Jan 16, 2017 00:21Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, mkutano wa mapatano ulioanza jana huko Paris Ufaransa ni kupoteza wakati bure na ni marudio ya mikutano ya mapatano ya huko nyuma ambayo haikuwa na matunda yoyote.